Zitto arejea Nchini

Amerudi kuondoa matumani ya watanzania, amerudi kuua na kudistabilize upinzani, na kumstrengthen JK na kuwapa green light CMM. His true colors may show up sooner than later.
 
Umesoma michango yake kwenye mambo ya ujenzi, mipango, na usafi wa miji? the guy ni pro kwenye hayo maneno (we acha tu).

Mwafrika,
Kibunango might be a pro kwenye hayo maeneo lakini akawa bogus kwenye maeneo mengine.Nani anayejua mwenendo wa siasa atajifanya hafahamu kuwa Zitto has some clarifications to make/questions to answer?

By the way,hata Kikwete ni pro kwenye kutengeneza ahadi juu ya ahadi lakini bogus kwenye implementation.2 sides of same coin,ins't it?
 

Nd. Kibunango,

Tuhuma hana, isipokuwa wengine tungelipenda kujua tu kama ile barua bado anatembea tembea nayo mfukoni au kaiacha huko huko Ujerumani!

Mngelipenda wewe na nani? Mtafute kwa wakati wako umuulize ebo, whether anatembea na hiyo barua au laa inatuhusu nini sie?
 
While you guys are discussing about Zitto's arrival others are doing the following. It is about time , we should stop this habit of constantly discussing this poor guy. Let's start looking at a big picture. Otherwise, we are going to be slaves in our own country.



No more work permits, inequity for EAC citizens


Workers within the East African Community are poised for exciting times as partner states move to ratify the Common Market Protocol.

The protocol, which was signed by the five heads of state — Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda and Burundi last month, will allow East Africans to work anywhere within the region without any form of discrimination.
Currently, some member states require citizens from member countries to secure work permits before they can be employed in their territories.
But the Common Market Protocol, which is expected to come into force in July next year, will allow such persons to compete for jobs with citizens of the member state on equal terms.

Such employees will enjoy the freedom of association and collective bargaining for better working conditions, in accordance with the national laws of the partner states.

They will also enjoy the rights and benefits of social security as accorded to workers of the host country.

The Council of Ministers, which is the decision-making organ of the East African Community, is expected to make regulations on social security benefits.

However, free movement of labour, as stipulated in the Common Market Protocol, will hardly benefit civil servants.

According to the Protocol, only in cases — and they might be rare — where the national laws and regulations of a host partner state so permit shall the provisions apply to employment in the public service.
To make free movement of labour a reality, partner states have agreed to recognise academic and professional qualifications such as licences and certificates issued in member states.

They have also agreed to harmonise curricula, certification and accreditation of educational and training institutions.
They will also harmonise labour policies, national laws and programmes to facilitate the free movement of labour within the Community.
National social security policies, laws and systems will also be harmonised to provide for social security for self-employed persons from partner states.

“The partner states shall ensure non-discrimination of workers on the basis of their nationalities, in relation to employment, remuneration and other conditions of work and employment,” the protocol declares.
Not only will this move benefit individuals looking for employment opportunities in an expanded and a more competitive job market, it will also help private firms with cross-border operations reduce the cost of doing business since they will not be required to pay for work permits for their employees.

Source: http://www.theeastafrican.co.ke/news/-/2558/831024/-/view/printVersion/-/hd9toe/-/index.html
 
Wakuu

Heri ya Xmass na Hongereni kwa mapumziko kwa wale mlioko mapumzikoni,naamini tumepata muda mzuri wa kutafakari kwa kina mafanikio tuliyoyapata mwaka huu yawe ya binafsi ama ya taifa.

Muda mfupi uliopita nimeona kijana Zitto mitaa ya kati lakini sikupata bahati hata ya kumsalimia tu ingawa nilitamani kufanya hivyo.Nimefurahi sana kumuona Zitto kwakuwa nadhani na pia nashauri afanye mkutano na media ili aweze kujibu tuhuma zote tulizozisikia na kuzisoma kipindi ambacho hakuwa nchini.Ni vema tukamsikia nakumuona live kwenye luninga akijibu tuhuma hizo.[/QUO

sasa wewe ulitaka asirudi au?si amerudi kupumzika kwao kigoma !! hamna kipya hapa kaka...muache tu arudi na aende tena huko alikokuwa haisumbui hata kidogo.
 
Nd. Kibunango,
Tuhuma hana, isipokuwa wengine tungelipenda kujua tu kama ile barua bado anatembea tembea nayo mfukoni au kaiacha huko huko Ujerumani!


Kama Zitto anatembea na hiyo barua au la that is a moot issue; nadhani as far as CHADEMA is concerned the boy is done.!! Amekuja kutoka ujerumani likizo au ndio amekuja kumalizia kuchukua mgao wake uliobakia Dowans?
 
Code:
Wakuu

Heri ya Xmass na Hongereni kwa mapumziko kwa wale mlioko mapumzikoni,naamini tumepata muda mzuri wa kutafakari kwa kina mafanikio tuliyoyapata mwaka huu yawe ya binafsi ama ya taifa.

Muda mfupi uliopita nimeona kijana Zitto mitaa ya kati lakini sikupata bahati hata ya kumsalimia tu ingawa nilitamani kufanya hivyo.Nimefurahi sana kumuona Zitto kwakuwa nadhani na pia nashauri afanye mkutano na media ili aweze kujibu tuhuma zote tulizozisikia na kuzisoma kipindi ambacho hakuwa nchini.Ni vema tukamsikia nakumuona live kwenye luninga akijibu tuhuma hizo.
Code:

Zitto anayesemwa si ndo huyu mwenye magari matatu ya kifahari aliyoamua kutoa sadaka kwa Kilaza Kafulila?

Si ndo huyu anayepingana na katibu wake?

Au sio huyu aliyemwita mwenyekiti wake Bepari na yeye akajiita mjamaa mwenye vigari zaidi ya vitatu ilhali jimboni kwake watu hawana hata baiskeli?

Si ni Zitto huyu aliyesema atampigia kampeni Kilaza hata kama chama chake (ambacho yeye anaamini ndo chama mbadala) kitasimamisha mgombea?

Si Zitto huyu huyu aliyekuwa anatembea na barua ya kujiuzulu?

Si ni huyu anayetuhumiwa kuharibu uchaguzi wa baraza la vijana la Chadema?

Si ni huyu aliyekuwa analalamika Slaa anaingilia mawasiliano yake na wadau wake?

Au sio huyu aliyekuwa anaandikiana Email za kipuuzi zinazohusu chadema na kilaza mwingine aliyefukuzwa Chuo cha Tumaini Iringa kwa kashfa ya kughushi vyeti (anaitwa Denis Msaki)?

Si huyu aliyeongea na powerbreakfast ya clouds akajibu upupu mtupu?

Si huyu aliyesema atarudi tarehe 11 Januari?

Kama ni yeye basi tunamkaribisha zana Bongo, aendeleze UNAFIKI wake.
 
Zitto anayesemwa si ndo huyu mwenye magari matatu ya kifahari aliyoamua kutoa sadaka kwa Kilaza Kafulila?

Si ndo huyu anayepingana na katibu wake?

Au sio huyu aliyemwita mwenyekiti wake Bepari na yeye akajiita mjamaa mwenye vigari zaidi ya vitatu ilhali jimboni kwake watu hawana hata baiskeli?

Si ni Zitto huyu aliyesema atampigia kampeni Kilaza hata kama chama chake (ambacho yeye anaamini ndo chama mbadala) kitasimamisha mgombea?

Si Zitto huyu huyu aliyekuwa anatembea na barua ya kujiuzulu?

Si ni huyu anayetuhumiwa kuharibu uchaguzi wa baraza la vijana la Chadema?

Si ni huyu aliyekuwa analalamika Slaa anaingilia mawasiliano yake na wadau wake?

Au sio huyu aliyekuwa anaandikiana Email za kipuuzi zinazohusu chadema na kilaza mwingine aliyefukuzwa Chuo cha Tumaini Iringa kwa kashfa ya kughushi vyeti (anaitwa Denis Msaki)?

Si huyu aliyeongea na powerbreakfast ya clouds akajibu upupu mtupu?

Si huyu aliyesema atarudi tarehe 11 Januari?

Kama ni yeye basi tunamkaribisha zana Bongo, aendeleze UNAFIKI wake.

Unamwita mnafiki at the same time ndiye katibu mkuu wa chama, umemtuhumu tuhuma kibao ndani ya chadema, ina maana wao chadema wajinga mpaka wakampa uongozi? nyie baadhi ya chadema mbona mna akili mgando? kama ana tuhuma nani wa kumchukulia hatua, ? si chama? kwa nini hawamwezi? unabaki kutoka povu hapa?
 
Code:
Unamwita mnafiki at the same time ndiye katibu mkuu wa chama, umemtuhumu tuhuma kibao ndani ya chadema, ina maana wao chadema wajinga mpaka wakampa uongozi? nyie baadhi ya chadema mbona mna akili mgando? kama ana tuhuma nani wa kumchukulia hatua, ? si chama? kwa nini hawamwezi? unabaki kutoka povu hapa?
Code:

Kwanza Zitto sio katibu Mkuu, ni Naibu Katibu Mkuu.

Besides, unapokuwa katibu Mkuu ndio kinga ya kutotuhumiwa?
 
Zitto anayesemwa si ndo huyu mwenye magari matatu ya kifahari aliyoamua kutoa sadaka kwa Kilaza Kafulila?

Si ndo huyu anayepingana na katibu wake?

Au sio huyu aliyemwita mwenyekiti wake Bepari na yeye akajiita mjamaa mwenye vigari zaidi ya vitatu ilhali jimboni kwake watu hawana hata baiskeli?

Si ni Zitto huyu aliyesema atampigia kampeni Kilaza hata kama chama chake (ambacho yeye anaamini ndo chama mbadala) kitasimamisha mgombea?

.

Si Zitto huyu huyu aliyekuwa anatembea na barua ya kujiuzulu?

Si ni huyu anayetuhumiwa kuharibu uchaguzi wa baraza la vijana la Chadema?

Si ni huyu aliyekuwa analalamika Slaa anaingilia mawasiliano yake na wadau wake?

Au sio huyu aliyekuwa anaandikiana Email za kipuuzi zinazohusu chadema na kilaza mwingine aliyefukuzwa Chuo cha Tumaini Iringa kwa kashfa ya kughushi vyeti (anaitwa Denis Msaki)?

Si huyu aliyeongea na powerbreakfast ya clouds akajibu upupu mtupu?

Si huyu aliyesema atarudi tarehe 11 Januari?

Kama ni yeye basi tunamkaribisha zana Bongo, aendeleze UNAFIKI wake.

Haya ndoniliyokuwa nataka ayajibu.Nashukuru kwa kuyafafanua kwa kina
 
Wakuu

Heri ya Xmass na Hongereni kwa mapumziko kwa wale mlioko mapumzikoni,naamini tumepata muda mzuri wa kutafakari kwa kina mafanikio tuliyoyapata mwaka huu yawe ya binafsi ama ya taifa.

Muda mfupi uliopita nimeona kijana Zitto mitaa ya kati lakini sikupata bahati hata ya kumsalimia tu ingawa nilitamani kufanya hivyo.Nimefurahi sana kumuona Zitto kwakuwa nadhani na pia nashauri afanye mkutano na media ili aweze kujibu tuhuma zote tulizozisikia na kuzisoma kipindi ambacho hakuwa nchini.Ni vema tukamsikia nakumuona live kwenye luninga akijibu tuhuma hizo.

Kitu gani kimekufurahisha sasa baada ya kumuona huyo jamaa???!!
Yaani umuone tu ufurah!!!!inashangaza sana...
 
and then asipojibu au kuchukuliwa hatua kutokana na tuhuma hizo udhaifu unakuwa wa Zitto au wa chama??

Waberoya umefuliaaa. Toka zako kaanzisheni chama chenu cha wahuni na Mwenyekiti wako Zitto.
Mkakiite Chama Cha Demokrasia ya Kihuni (CHADEKI)
Mtapata wahuni wengi tu.
Usituandikie upuuzi humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom