Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Wakuu
Heri ya Xmass na Hongereni kwa mapumziko kwa wale mlioko mapumzikoni,naamini tumepata muda mzuri wa kutafakari kwa kina mafanikio tuliyoyapata mwaka huu yawe ya binafsi ama ya taifa.
Muda mfupi uliopita nimeona kijana Zitto mitaa ya kati lakini sikupata bahati hata ya kumsalimia tu ingawa nilitamani kufanya hivyo.Nimefurahi sana kumuona Zitto kwakuwa nadhani na pia nashauri afanye mkutano na media ili aweze kujibu tuhuma zote tulizozisikia na kuzisoma kipindi ambacho hakuwa nchini.Ni vema tukamsikia nakumuona live kwenye luninga akijibu tuhuma hizo.
Heri ya Xmass na Hongereni kwa mapumziko kwa wale mlioko mapumzikoni,naamini tumepata muda mzuri wa kutafakari kwa kina mafanikio tuliyoyapata mwaka huu yawe ya binafsi ama ya taifa.
Muda mfupi uliopita nimeona kijana Zitto mitaa ya kati lakini sikupata bahati hata ya kumsalimia tu ingawa nilitamani kufanya hivyo.Nimefurahi sana kumuona Zitto kwakuwa nadhani na pia nashauri afanye mkutano na media ili aweze kujibu tuhuma zote tulizozisikia na kuzisoma kipindi ambacho hakuwa nchini.Ni vema tukamsikia nakumuona live kwenye luninga akijibu tuhuma hizo.