Very good comments na observation. Bravo Zitto.
Nakubaliana naye 100% kwenye issue ya IPTL kwa kuwa tuko kwenye CRISIS na ukizingatia tunacholose it is better tu-run IPTL at any cost kulinganisha na harasa zinazolikumba taifa kama alivyo comment.
Issue ya kutaifisha dowans iko wazi kabisa, na ilishajadiliwa hapa, nashangaa ni kwa nini serikali haichukui haya maamuzi haraka iwezekanavyo. Sijui wanasubiri nini.
Kuna wakati Daudi(kabla hajawa mfalme) na kundi lake walikuwa wanamkimbia mfalme Saulo wa Israel asiwaue nao wakaishiwa chakula. Zama hizo ilkuwa marafuku kabisa kula mikate iliyokuwa imetoewa madhabauni isipokuwa kwa makuhani tu.
Daudi na wenzake wakamwendea kuhani ni kumwambia awape mikate ile wale hata kama ni marufuku kuila wao. Kuhani akawapa ile mikate wakala wakapona njaa na kusonga mbele na safari yao.
IPTL na Dowans ni kama "mikate" ya madhabauni inayokatazwa kuliwa. Lakini watanzania tuna njaa ya umeme vibaya sana. Tumwambie "kuhani" kwamba sasa ni ruksa kuila ile "mikate" ili tupone. Kama asemavyo Kabwe "Desparate situations call for desparate measures". Kudos brother Kabwe.