Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Kichwa cha habari kinaweza kubadilishwa lakini na watanzania tuache kuwa "watabiri" kabla mtu hajaongea.
Nimesoma utabiri wa kila mtu hadi nacheka mwenyewe. Ngoja tuone atapoongea kitu tofauti tutarejea kwa style gani hapa... Huenda tukaelekea alikofikia Masatu kwa kumwomba radhi Mhe. Zitto.
Tumpe muda aongee kwanza kisha tukidadavue alichokiongea!
Hii sikutegemea kutoka kwako Kiongozi, mbona umeishahukumu?