Zitto Anataka kusema nini?

Zitto Anataka kusema nini?

unaongea nini wewe kinyesi? hawa wabunge walioongezeka mpaka kufikia 22 wametoka wapi? hujui ile saccos kipindi ikiwa chama ilikuwa na wabunge 5 tu? na wabunge 2 tu wakiwa active ambao ni Zitto na slaa. au huifikirishi vizuri hiyo coconut yako juu ya shingo?

Naomba unipe majibu ya haya maswali:
(1). Kama ni kweli Zitto alikuwa na nguvu ndani ya Chadema ni kwa nini viti vya madiwani vilipungua?

(2). Na kwa kuwa Zitto ananguvu ndani ya Chadema kwa nini hakuongeza mbunge hata mmoja wakawa wawili na kiendeleza mapambano ya ukombozi?
 
Kijana huyu ni mzuri katika siasa za nchi hii pia anaonekana kuwa na ushawishi kwa vijana wengi na kuvuta hisia za Umma asimamapo, amekuwa kama jiwe la pembeni walilo likataa wahashi. Lakini ameonekana kama mtu mbinafsi, mchoyo, mwenye kutaka ukuu, lakini pia mwenye maono makubwa sana yenye nia ya kujenga jamii yenye UTU na usawa vilevile mpigania umoja wa Afrika bila kusahau (NYERERESIM). Baada ya kutangaza kugombea uenyekiti kwa chama chake ilioneka kama ndiyo shida ya kutimuliwa na chama chake CHADEMA akaenda mahakamani kuweka zuio na sasa amekuwa akipost jumbe fb na kujiweka wazi kuwa tiari chama kipya na yeye ni mwanachama, cha kushangaza zaidi yeye ndiye anasubiliwa kuwa m/kiti wa ACT pia inaonekana akipewa uenyekiti wa CHADEMA anurudi ndo maana kaenda mahakamani, uku akijitambulisha kama muwazi na mkweli ila nafasi zote alizo nazo akikataa kuziachia na kujenga chama chake kipya na kwani ukianzisha chama mpaka uwe m/kiti wake? shida ni nini hasa kweli ni mzalendo na anapenda uajibikaji na uwazi!
 
Huyu ZZK ni mrafi Wa madraka tu hana lolote hacha atumiwe kama K-ondomu tu!
 
huyo ni mroho wa madaraka, mnafiki amekidalalia chama chake cha zamani (chadema)...
 
Ujerumani wanatumia Dollar? Ila sikushangai!! Hata viongozi wako wa Chadema shule iliwashinda. Mwenyekiti Mbowe alitaga mtihani wa form six, Lema form four failure, Sugu aliishia form two, Msigwa darasa la saba na Mnyika ambaye ndio jembe lenu lilifeli Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Kama viongozi wako hivyo unategemea wafuasi wao wakoje?

Wewe kenge kweli,kwani Tanzania inatumia dollar au shs? Anyaway sio tatizo lako,ni uelewa wako mdogo na akili ndogo uliyonayo
 
unaongea nini wewe kinyesi? hawa wabunge walioongezeka mpaka kufikia 22 wametoka wapi? hujui ile saccos kipindi ikiwa chama ilikuwa na wabunge 5 tu? na wabunge 2 tu wakiwa active ambao ni Zitto na slaa. au huifikirishi vizuri hiyo coconut yako juu ya shingo?
wewe ni shabiki maandazi tu,hana lolote huyo msaliti ,tuliopo site tunajua alishachuja na anatumiwa na ccm ambayo watz wameikataa na wanasubiri daftari tu liboreshwe wamkatae shetwani ccm na vibaraka vyake kama act
 
Hahahahaha lol!!! Ujue na movie inaendelea hadi uone maandishi ZE END 🙂🙂 ndio ujue movie imekwisha.

Ha ha ha! Kama movie, Starring yeye, adui yeye!
 
Ujerumani wanatumia Dollar? Ila sikushangai!! Hata viongozi wako wa Chadema shule iliwashinda. Mwenyekiti Mbowe alitaga mtihani wa form six, Lema form four failure, Sugu aliishia form two, Msigwa darasa la saba na Mnyika ambaye ndio jembe lenu lilifeli Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Kama viongozi wako hivyo unategemea wafuasi wao wakoje?

Mbowe ama Mnyika ni zaidi ya ukoo wenu wote.Una nini cha kujivunia hapa Tz buku 7 wewe unayekesha hapa jf kutetea mafisadi na vibaraka vyake? Njaa inakutesa sana njoo nikuajiri uachane na hizo buku 7 uwe mkata majani au mtunza bustani nyumbani kwangu.Usomi wako umekusaidia nini zaidi ya kuwa shabiki maandazi?
 
Mbowe ama Mnyika ni zaidi ya ukoo wenu wote.Una nini cha kujivunia hapa Tz buku 7 wewe unayekesha hapa jf kutetea mafisadi na vibaraka vyake? Njaa inakutesa sana njoo nikuajiri uachane na hizo buku 7 uwe mkata majani au mtunza bustani nyumbani kwangu.Usomi wako umekusaidia nini zaidi ya kuwa shabiki maandazi?

Kwa taarifa yako kwetu hakuna mtu mwenye historia ya kushindwa mitihani kama hao mbumbumbu wako akina Mnyika na Mbowe.
 
mmmmmmmmmm, usianze kuwa na mashaka na vijana wengi, huo ndiyo ukweli kwamba vijana wanamtaka kijana kama ZITTO na si vinginevyo, wewe kama unajijua ni mzee shauri yako manake uzee siyo lazima umri, unaweza kuzeeka hata kwa fikira. Lazima kijana yoyote mpenda maendeleo amuunge mkono ZITTO KABWE.



Zitto kesha ichanganya ile dawa ya tumbo inayoitwa safisa... safisha ni dawa mtumiaji lazima ah..are sana mpaka akili imkae vizuri..sasa kesha ichanganya na kawanywesha wagonjwa na matumbo yameshaaza kuuguruma tunasubiri uh..aro tu baaaas
 
Semeni na kuandika ninyi, wengine wakisema viazi! Siasa za nchi hii ndo mtagundua kuwa watz wanauwezo wa kuchuja, kuamua na kufuata njia waipendayo. ZZK moto mkali sana, najua hamtaamini mpaka iwachome!

Umchome yeye kwanza.
 
Nawashangaa sana watu wanaohadaika na Zitto, huyu jamaa ni mweupe sana hebu tusubiri wenyewe mtashuhudia mwisho wake.

VIVA CHADEMA.
 
Ni kati ya vibaraka wa CCM tulio nao katika zama hizi..!
 
Semeni na kuandika ninyi, wengine wakisema viazi! Siasa za nchi hii ndo mtagundua kuwa watz wanauwezo wa kuchuja, kuamua na kufuata njia waipendayo. ZZK moto mkali sana, najua hamtaamini mpaka iwachome!

Kama moto mkali si arudishe kabrasha zote za CHADEMA akaanze kujenga chama chake, uzalendo ni pamoja na kujitoa na kuachia kila alichokipata kupitia CHADEMA. Mtu gani haalikwi kwenye chochote na CHADEMA, kadi yake inashikiliwa mahakamani lakini bado hataki kujitoa? Tunawaambia siku zote, kujenga chama sio kazi rahisi kama KUVUA MIGEBUKA..ll
 
Wana JF,

Katika ukrasa wake wa facebook zito kaandika haya,


Sijui anataka kumaliziaje!

Hapo kwenye unyerere sijamuelewa anamaanisha Nyerere Msanii au marehemu Julius Nyerere? Unyerere wa vitendo ni pamoja na kuachia ngazi zote alizo nazo ikiwa ni pamoja na uenyekiti wa PAC, ambapo atapoteza na kile cheo alichopata juzi juzi kwenye kamati ya PAC za Africa, aachie Ubunge arudi Kigoma kukuza wakala wa CCM.
Hii mpya, mbona sikuiona Facebook yake au ndio kale kamchezo!
 
kwakuwa zimekua nyingi sana, way forward imekua kaputi
 
Zitto aliwekeza nguvu zakutosha ktk kuijenga cdm mkoan kgm lakin jitihada zake ziliharibiwa na Mbowe na Slaa kwakuwafukuza akina Kafulila ambao ndio walikuwa tegemezi la chama ktk majimbo yao

Mbona manapenda kuturudisha nyuma? tulishajadili sana hili kuwa Zitto tokea achaguliwe kuwa mbunge kura na number za madiwani zimekuwa zikipungua kila mwaka na uchaguzi uliopita ni bado kiodgo sana MACCM wachukue Jimbo.
 
wewe ni shabiki maandazi tu,hana lolote huyo msaliti ,tuliopo site tunajua alishachuja na anatumiwa na ccm ambayo watz wameikataa na wanasubiri daftari tu liboreshwe wamkatae shetwani ccm na vibaraka vyake kama act
utasubiri sana kwa staili hii ya ki-saccos saccos. badilikeni.
 
Hii ni kutoka facebook wall yake.
Kwa kuwa tumeamua
kupambana dhidi ya rushwa,
hongo, ufisadi, uzembe na
uvivu; Kwa kuwa tumeamua
kuhakikisha kuwa mali asili ya
Nchi yetu Tanzania ni mali ya
wananchi wote na kwamba
lazima itumike kutokomeza
umasikini nchini kwetu na kuleta maendeleo sawia na
endelevu ya kiuchumi, kijamii,
kiutamaduni na kisiasa; Kwa kuwa tumeamua kujenga
Chama cha siasa chenye lengo
la kuchochea ujenzi wa Taifa
la Kujitegemea, lisilo na
unyonyaji wala ubaguzi wa
rangi, dini, kabila, jinsia, maumbile, hali ya kipato na
lililo juu ya misingi ya haki
kwa watu wake wote; Kwa kuwa tumeamua kushiriki
katika ujenzi wa Umoja wa
Afrika ili kuwaenzi waasisi wa
ukombozi wa Mwafrika na
kujenga kontinenti lenye sauti
yenye nguvu na ushawishi katika jamii ya mataifa
ulimwenguni; Kwa kuwa tumeamua
kupigania demokrasia, uhuru
wa mawazo, umoja, utu,
uadilifu, uwajibikaji, uzalendo
kwa Taifa na Amani; Kwa kuwa kwa nia moja
tumeamua kujenga chama
cha mrengo wa kushoto
chenye kufuata misingi ya
Demokrasia ya Kijamii (Social
Democracy), Demokrasia ya Rasilimali na misingi asili
iliyoasisi Taifa letu (Unyerere)
kama Azimio la Arusha ; na Kwa wajibu tulio nao wa
kujenga, kukuza na
kuendeleza demokrasia na
utamaduni wa mfumo wa
vyama vingi Tanzania; Hivyo basi..........

My take alipaswa kusema mapema zaidi
 
Back
Top Bottom