Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 12,888
- 25,284
He! hivi kwani bado hajaondoka? Ninawaza chama kitatikisikaje tena wakati hayupo tu muda mrefu na chama kiko ngangari, labda atakapokiri kwamba sasa anatoka ndio hiyo mitikisiko itatokea?
Nahisi hivyo mkuu.