Zitto Anataka kusema nini?

Zitto Anataka kusema nini?

unaongea nini wewe kinyesi? hawa wabunge walioongezeka mpaka kufikia 22 wametoka wapi? hujui ile saccos kipindi ikiwa chama ilikuwa na wabunge 5 tu? na wabunge 2 tu wakiwa active ambao ni Zitto na slaa. au huifikirishi vizuri hiyo coconut yako juu ya shingo?

matusi na lugha chafu ulizoanza kuzitumia kwa kasi sana ZITAKULETEA MATATIZO .
 
mmmmmmmmmm, usianze kuwa na mashaka na vijana wengi, huo ndiyo ukweli kwamba vijana wanamtaka kijana kama ZITTO na si vinginevyo, wewe kama unajijua ni mzee shauri yako manake uzee siyo lazima umri, unaweza kuzeeka hata kwa fikira. Lazima kijana yoyote mpenda maendeleo amuunge mkono ZITTO KABWE.

Sio kweli kwamba vijana wote wapenda maendeleo wanamuunga mkono zitto hizo ni fikra potofu
 
Huyu Zitto Kabwe itakuwa kachanganyikiwa, anataka kuturudisha kwenye azimio la Arusha lililomshinda Nyerere?

Nyerere alikuwa "secessionist" ushahidi ni Biafra. Aliisaidia kwa hali na mali itengane na Nigeria.

Sasa nnaamini kuwa ATC haikuja kutaka kuongoza nchi imekuja kwa sababu zingine na tutazielewa tu, iko siku. Maana ni Watanzania wangapi leo hii wanaotaka siasa za Nyerere za kufunga kiwanda cha Matrekta kufunguwa kiwanda cha jembe la mkono? mwisho tukaishia kuwa wote masikini wa mwisho duniani.

Huko Zitto na wenzako humtupeleki na wala hatuwaungi mkono.

Khaa, hivi wana Kigoma nnavyowajua mimi jinsi wasivyomkubali Nyerere kwa kuwaweka nyuma kimaendeleo kwa miaka yote aliyokuwepo madarakani leo uwaambie unataka kuwarudishia siasa zake?

Wewe upo kimaslahi binafsi na si maslahi ya Watanzania.
 
Last edited by a moderator:
He is running out of time. Wasaliti wote tutawafagia na chaguzi hizi. Chadema Vema.
 
ZZK hana jeuri ya kutoka Chadema. HATOKI chadema. Nje chadema, ZZK sawa na samaki nje ya maji.
 
Zzk n m.a.t.a.k tu.mnafiki namba moja ana tamaa za kifisadI nasema Hafai na Hafai, kwa uchungu HAFAi kuwa kiongozi
 
matusi na lugha chafu ulizoanza kuzitumia kwa kasi sana ZITAKULETEA MATATIZO .
watu wengine wanabore, unashindwa hata uanzie wapi kumjibu. hakuna asiyejua kuwa hoja za nguvu za Zitto na Slaa ndani na nje ya bunge ndo zilizozaa wabunge wa chadema kufikia 23 wakuchaguliwa kutoka wabunge 5 tu wa 2005-2010. sasa mtu mwengine anapoleta porojo kwa mambo yaliyowazi,,,,,,..................?????
 
Hahahahaha lol!!! Ujue na movie inaendelea hadi uone maandishi ZE END 🙂🙂 ndio ujue movie imekwisha.

Ndio tatizo sasa, probably ameshajua the end itakuwaje. Ndio maana anabuy time kwa kuitumia mahakama!

Siku akitaka yeye mwenyewe ndo ze end ya movie.
 
Zitto, hawezi Achiba posho za PAC ki rahisi namna hiyo.....anawagilibu wakina Kitila yeye anasubiri kuvuta za Bunge la katiba kwanza na za mashirika ya umma .....NHC watamuumbua soon....

Kaa na misamiyati yako watu tunajenga chama taratibu na watu watatuwelewa tu
Sera yetu ndio silaha yetu
Kujiuzulu na kuwacha kilakitu ni 1 kati ya uwajibikaji usione hivyo vyeo ni muhimu sana wananchi ndio muhimu ndugu
 
Zitto tuko na wewe, hawakujui kuwa wewe ni mtu wa grassroot.
Ngoja watauona moto.

Ajiuzulu kama Fred Mpendazoe ili ajenge ACT. Zitto anataka vyote. Chadema anataka kwa sababu ya Ubunge, PAC ACT anataka kwa sababu ya Uenyekiti, fedha za CCM.
 
Zitto kachanganyikiwa .
Kujenga Kontinenti lenye sauti moja hakutokei kwa kuwa mbinafsi na ulichonacho.

Angekua Mwerevu nguvu zote alizotumia kuanzisha chama angewekeza CDM maana Mpinzani mwingine nchi hii hakuna.

Acha ujinga ww umeona maisha yako yote bila chadema huwishi ?
Usikii haibu kusema angeamishiya nguvu kwa cdm ujinga ww
Amejiyamini
Kama ww hujiamini tuliya usubiri kuburuzwa

Unaweza kuwa na uwezo mdogo tu kifedha
Ukazamiriya kujenga gorofa ukiweka ni nitaweza basi juwa utaweza tu
 
Mungu alifanya vizuri sana kuficha yaliyoko mioyoni mwa watu lakini naamini chadema wote wanatamani zito arudi kundini. Think tank zaidi ya padre na dj mbowe
 
Waraka huu nikutoka kwa mtiifu wa mbowe nani atakana kuwa absaloni kibanda ni mtu mtiifu wa mbowe na mfanyakazi wa gazeti laudakh la mbowe?
Kugombeya ni haki ya mtu na kutokugombeya ni hakj ya mtu ndugu hilo ndilo la kuzibgatiya
 
Huku yuko na kule yuko! sijui kwanini anashindwa kuamua kirahisi kile anachokitaka ambacho kwa sasa kiko wazi kabisa. Maana CHADEMA hawezi kuendelea kuwepo hata kama atashinda kesi kwa kuwa hakuna atakayekuwa tayari kufanya naye kazi.

Ndio tatizo sasa, probably ameshajua the end itakuwaje. Ndio maana anabuy time kwa kuitumia mahakama!

Siku akitaka yeye mwenyewe ndo ze end ya movie.
 
Huku yuko na kule yuko! sijui kwanini anashindwa kuamua kirahisi kile anachokitaka ambacho kwa sasa kiko wazi kabisa. Maana CHADEMA hawezi kuendelea kuwepo hata kama atashinda kesi kwa kuwa hakuna atakayekuwa tayari kufanya naye kazi.


Mtazamo wangu ni kwamba:
1. Anataka kukaa kaa sana ili aweze kuendelea ku-lob wanachadema kwa sababu ni rahisi kuwafikia kwa sasa kuliko akishaondoka kabisa. Ni kama anawakomoa CDM kwa kumtosa

2. Hawezi kuziacha hela za ubunge (iliwahi kumcost Mpendazoe mpaka leo nadhani akiambiwa a-reverse hawezi kufanya ule uamuzi

3. Anasikilizia ni kwa jinsi gani ACT itakama kabla ya kujicomit publicly, ili akiona famba adondokee kwingine (ikibidi kurudi CCM)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Zito akiondoka atakitikisa chama lakini hataweza kufikia lengo la kuua harakati hizi kamwe! Ataingia kwenye historia ya Mrema na atakwisha kisiasa taratibu.

He! hivi kwani bado hajaondoka? Ninawaza chama kitatikisikaje tena wakati hayupo tu muda mrefu na chama kiko ngangari, labda atakapokiri kwamba sasa anatoka ndio hiyo mitikisiko itatokea?
 
Huyu Zitto Kabwe itakuwa kachanganyikiwa, anataka kuturudisha kwenye azimio la Arusha lililomshinda Nyerere?

Nyerere alikuwa "secessionist" ushahidi ni Biafra. Aliisaidia kwa hali na mali itengane na Nigeria.

Sasa nnaamini kuwa ATC haikuja kutaka kuongoza nchi imekuja kwa sababu zingine na tutazielewa tu, iko siku. Maana ni Watanzania wangapi leo hii wanaotaka siasa za Nyerere za kufunga kiwanda cha Matrekta kufunguwa kiwanda cha jembe la mkono? mwisho tukaishia kuwa wote masikini wa mwisho duniani.

Huko Zitto na wenzako humtupeleki na wala hatuwaungi mkono.

Khaa, hivi wana Kigoma nnavyowajua mimi jinsi wasivyomkubali Nyerere kwa kuwaweka nyuma kimaendeleo kwa miaka yote aliyokuwepo madarakani leo uwaambie unataka kuwarudishia siasa zake?

Wewe upo kimaslahi binafsi na si maslahi ya Watanzania.

Anajiundia kahimaya kake kama Mrema na Cheyo. Ni na uhakika ndani ya miaka miwili kina Mwigamba na wale wote wanaotaka umaarufu watakuwa wamefukuzwa ndani ya miaka 2 baada ya uchaguzi 2015.
 
Back
Top Bottom