Zitto Anataka kusema nini?

Zitto Anataka kusema nini?

Zito ni mnafiki sana na anawaadaa tu,hivi haujui kuwa mwakani bunge linavunjwa kuelekea uchaguzi mkuu?.ana kiinua mgongo kama milion 100 hivi,hawezi kitu anachofanya ni uhuni tu,yaani anaendesha chama kingine huku ni mwanachama wa chadema pia,nadhani chadema wanamvumilia sana,tena sana,ana violence na huo ni uhuni ambao sidhani chadema wataendelea kuvumilia.
Hata hivyo alishatamka mwenyewe kuwa akimaliza kipindi chake cha ubunge atatafuta chuo anachoweza kuajiriwa na kuanza kufundisha.
 
Kwa bandiko hilo tu,ZZK ameitenda dhambi ile ile kama walioitenda akina Nape na Mwakyembe wakati ule.Amepoteza rasmi sifa za kuwa mwanachama wa CHADEMA!
 
Anamkimbia JJ Mnyika na TA Lissu,hana lolote:
Si alisema atakuwa wa mwisho kuondoka cdm?
 
Hivi uliisha wahi kujiuliza kwanini hakwenda kupeleka mashataka jimboni kwake badala yake alikwenda Kasuru? Umeisha wahi pia kujiuliza, kwanini kina Mwigamba wameenda tena Kasuru kumnadi zzk na sio jimboni kwake kule Kigoma vijijini? For your inform, mimi nimeolewa huko kwao, ninavyojua hata akibaki CDM, jimboni kwake hawezi kupata KURA za kwezesha kushinda uchaguzi, amenusa na pua yake imempa jibu sahihi!

Ungekua umeolewa Kigoma usingeshindwa kujua kama hakuna wilaya inayoitwa Kasuru. Sisi ndo wenye Kigoma yetu usitake kujipendekaza. For your information, hata kama angekwenda Rais Obama wa Marekani hawezi kumshinda Zitto katika jimbo la Kigoma Kaskazini. Siasa za Kigoma huzijui hivyo huna haki ya kuandika utumbo wako.

Zitto hana haja ya kushitaki kwa wapiga kura wake. Wao wanajua kila kitu Mbunge wao alichotendewa na hao wendawazimu Chadema. Ngoja nikwambie kitu, Zitto ni nembo ya Kigoma. Kama kweli umefika Kigoma ungekua unajua hilo. Kila pembeni mwa barabara limeandikwa jina lake. Zitto mbali na kuwa Mbunge keshasimikwa kama Mwami Ruyagwa wa Kasulu.

Utamjua Zitto vizuri akishatangaza kuondoka Chadema. Huo utakua mwisho wa Chadema Kigoma. Nakuhakikishia mwaka ujao si Chadema wala NCCR ambao watakua na chao Kigoma. Politics in Kigoma is built around Mwami Ruyagwa ZZK.
 
Zitto tuko na wewe, hawakujui kuwa wewe ni mtu wa grassroot.
Ngoja watauona moto.

Mwanzo na mwisho wa Zito ni Kigoma - maana mtu ni kwao. CCM iliyomrubuni itamwacha peke yake baada wa kufanikisha lengo lao. Mifano ni mingi, yetu macho
 
CHADEMA ni lazima mjiandae kisaikolojia, huyu kijana ni tishio kwa msatakabali wa chama chenu ambacho mwanzoni mlijivua nguvu ya vijana, nguvu ambayo hapana shaka sasa inayumba yumba ikisubiri kuona ZITTO KABWE anaweka wapi mizizi.

sasa ndugu sijakuelewa hapa.... je chama chenu kimeanzishwa ili kushindana na chadema?!.... kama ndivyo basi hiki chama ni tawi la ccm. ipo cku Mungu atawaumbua. kwa nini mshindane wapinzani kwa wapinazni?... chama hiki hakitakuwa ma muda mrefu. ni suala la muda tu... Mungu ibariki Tanganyika.
 
Mwanzo na mwisho wa Zito ni Kigoma - maana mtu ni kwao. CCM iliyomrubuni itamwacha peke yake baada wa kufanikisha lengo lao. Mifano ni mingi, yetu macho

Ndio maana huwa mnaitwa misukule. Umeaminishwa na hao Chagadema kuwa Zitto anatumika. Mungu hakikupa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele. Tumia kichwa kufikiria ili uchanganye na za kwako.

Chagadema watawadanganya watu kama wewe tu lakini sisi wenye akili timamu watakwama.

Zitto ndio Mbunge pekee ambaye hawezi nunulika ndio maana hata posho ya vikao vya bunge hachukui. Mr. Zero naye alijaribu kuacha gari la Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni lakini akazunguka tena kimya kimya kulichukua. Kuiga siyo kuzuri it need to come from the heart.
 
Nipe takwimu 2005 chadema ilikua na madiwani wangapi na wabunge wangapi mkoa wa kigoma. Na sasa 2010 wapo wangapi?

Hilo swali la pili ni kuwa wale wabunge wa nccr wahesabu kama wa chadema ila mliwakataa na kuwafukuza kwa kuwaita sisimizi wale wote walitokana na ushawishi wa ZITO kwa wanakigoma na kampeini aliwapigia.

Usitumie jeuri na kiburi cha dk.Slaa kwa kumu-hukumia Zito.
Kwa hilo wala hana hatia. Na slaa kura za urais kigoma walimpa nyingi sana kuliko arusha na kilimanjaro.
Tumia jicho la tatu kuangalia.
Nakubaliana na utetezi wako wote kuhusu Zitto ila hapo huweki record sawa. Wana kigoma sidhani kama wanamkubali Zitto kihivyo maana kwenye urais alimnadi Jk, kwahiyo watu hawamsikilizi yeye bali chama na hata kura alizopata zimezidi kupungua. Kama nyinyi ni washauri wake muambieni ukweli record yake kigoma haimpi kijidai. Ila Zitto ni mwanasiasa mzuri akifanyia kazi mapungufu yake.
 
Zitto aliwekeza nguvu zakutosha ktk kuijenga cdm mkoan kgm lakin jitihada zake ziliharibiwa na Mbowe na Slaa kwakuwafukuza akina Kafulila ambao ndio walikuwa tegemezi la chama ktk majimbo yao
Hawana majibu wameishia kukaririshwa.
 
Nakubaliana na utetezi wako wote kuhusu Zitto ila hapo huweki record sawa. Wana kigoma sidhani kama wanamkubali Zitto kihivyo maana kwenye urais alimnadi Jk, kwahiyo watu hawamsikilizi yeye bali chama na hata kura alizopata zimezidi kupungua. Kama nyinyi ni washauri wake muambieni ukweli record yake kigoma haimpi kijidai. Ila Zitto ni mwanasiasa mzuri akifanyia kazi mapungufu yake.

Usipende kusikia mambo ya kuambiwa. Hakuna hata sehemu moja huko Kigoma ambapo Zitto alimpigia Kikwete Kampeni. Babu Slaa kura alizopata zilitokana na ushawishi wa Zitto.

Hili linaweza kuthibitishwa na ziara aliyoifanya hivi karibuni baada ya kuwa na mgogoro na Zitto. Kuna sehemu kabisa alishindwa kuhutubia kwa kukosa watu. Kasulu walienda mbali zaidi kwa kumshusha jukwaani na kumpa kipigo kama mbwa mwizi. Ashukuru askari polisi kwa kumuokoa. Kwa sasa angeshabadilika jina na kuitwa marehemu.

Mwaka ujao siyo mbali. Kama huyo babu Slaa akipitishwa na Chagadema atawajua watu wa Kigoma. Labda asiende kabisa huko.
 
Ungekua umeolewa Kigoma usingeshindwa kujua kama hakuna wilaya inayoitwa Kasuru. Sisi ndo wenye Kigoma yetu usitake kujipendekaza. For your information, hata kama angekwenda Rais Obama wa Marekani hawezi kumshinda Zitto katika jimbo la Kigoma Kaskazini. Siasa za Kigoma huzijui hivyo huna haki ya kuandika utumbo wako.

Zitto hana haja ya kushitaki kwa wapiga kura wake. Wao wanajua kila kitu Mbunge wao alichotendewa na hao wendawazimu Chadema. Ngoja nikwambie kitu, Zitto ni nembo ya Kigoma. Kama kweli umefika Kigoma ungekua unajua hilo. Kila pembeni mwa barabara limeandikwa jina lake. Zitto mbali na kuwa Mbunge keshasimikwa kama Mwami Ruyagwa wa Kasulu.

Utamjua Zitto vizuri akishatangaza kuondoka Chadema. Huo utakua mwisho wa Chadema Kigoma. Nakuhakikishia mwaka ujao si Chadema wala NCCR ambao watakua na chao Kigoma. Politics in Kigoma is built around Mwami Ruyagwa ZZK.

Labda uwadanganye lumumba ili waongeze dau,kama ni maarufu hivyo kwa nini albaki na madiwani 2 tu katika jimbo lake huku alikabidhiwa jimbo likiwa na madiwani 14? Hana lolote kigoma alishachujuka!
 
Ndio maana huwa mnaitwa misukule. Umeaminishwa na hao Chagadema kuwa Zitto anatumika. Mungu hakikupa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele. Tumia kichwa kufikiria ili uchanganye na za kwako.

Chagadema watawadanganya watu kama wewe tu lakini sisi wenye akili timamu watakwama.

Zitto ndio Mbunge pekee ambaye hawezi nunulika ndio maana hata posho ya vikao vya bunge hachukui. Mr. Zero naye alijaribu kuacha gari la Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni lakini akazunguka tena kimya kimya kulichukua. Kuiga siyo kuzuri it need to come from the heart.

Atachukuaje posho huku madollar ya Ujeremani yanaingia kutoka lumumba? Hiyo ni tabia ya wanafiki na wasaliti.Huyo mamluki hana jipya na ndio maana hata mashabiki wake ni wale vijana wachumia tumbo kama wewe na wale mabuku 7. Huu ndio mwanzo wa mwisho wake!
 
Usipende kusikia mambo ya kuambiwa. Hakuna hata sehemu moja huko Kigoma ambapo Zitto alimpigia Kikwete Kampeni. Babu Slaa kura alizopata zilitokana na ushawishi wa Zitto.

Hili linaweza kuthibitishwa na ziara aliyoifanya hivi karibuni baada ya kuwa na mgogoro na Zitto. Kuna sehemu kabisa alishindwa kuhutubia kwa kukosa watu. Kasulu walienda mbali zaidi kwa kumshusha jukwaani na kumpa kipigo kama mbwa mwizi. Ashukuru askari polisi kwa kumuokoa. Kwa sasa angeshabadilika jina na kuitwa marehemu.

Mwaka ujao siyo mbali. Kama huyo babu Slaa akipitishwa na Chagadema atawajua watu wa Kigoma. Labda asiende kabisa huko.

Hivi mnadhani Kigoma wote wapumbafu kama nyinyi buku 7? CDM aliikuta na ameiacha itaendelea kuwepo na sasa chaguzi zinaendelea kama kawa kusafisha mamluki toka ccm na waganga njaa.CDM sio chama cha wachumia tumbo na wasaliti.
 
Zitto aliwekeza nguvu zakutosha ktk kuijenga cdm mkoan kgm lakin jitihada zake ziliharibiwa na Mbowe na Slaa kwakuwafukuza akina Kafulila ambao ndio walikuwa tegemezi la chama ktk majimbo yao

Angewekeza nguvu angekuwa na madiwani 2 tu ktk jimbo lake? Acheni unafiki,umamluki wake na kutumiwa na ccm ndio umemfikisha hapo alipo.Huu ni mwanzo wa mwisho wake!
 
Huo mrembo was kushoto maana yake ni mfumo wa ACT na hata misingi anayo ongelea ya arusha ni ya ACT.
In short amalizie kwa kusema nahamia ACT ila asiseme tuna hamia ACT
 
Wana JF,

Katika ukrasa wake wa facebook zito kaandika haya,


Sijui anataka kumaliziaje!

Hapo kwenye unyerere sijamuelewa anamaanisha Nyerere Msanii au marehemu Julius Nyerere? Unyerere wa vitendo ni pamoja na kuachia ngazi zote alizo nazo ikiwa ni pamoja na uenyekiti wa PAC, ambapo atapoteza na kile cheo alichopata juzi juzi kwenye kamati ya PAC za Africa, aachie Ubunge arudi Kigoma kukuza wakala wa CCM.

Kama anaamini katika hayo,je anafanya nini CDM? Hivi Nyerere naye alikuwa mnafiki kama yeye? Aache kujificha facebook ajitokeze hadharani tumuone,mimi nilishasema na narudia kuwa ''Huyu ni mnafiki na msaliti mkubwa tena mchumia tumbo tu na ndio maana kang'ang'ania CDM aendelee kufaidi posho na masurufu ya ubunge tu''
 
Atachukuaje posho huku madollar ya Ujeremani yanaingia kutoka lumumba? Hiyo ni tabia ya wanafiki na wasaliti.Huyo mamluki hana jipya na ndio maana hata mashabiki wake ni wale vijana wachumia tumbo kama wewe na wale mabuku 7. Huu ndio mwanzo wa mwisho wake!

Ujerumani wanatumia Dollar? Ila sikushangai!! Hata viongozi wako wa Chadema shule iliwashinda. Mwenyekiti Mbowe alitaga mtihani wa form six, Lema form four failure, Sugu aliishia form two, Msigwa darasa la saba na Mnyika ambaye ndio jembe lenu lilifeli Chuo kikuu cha Dar es Salaam.

Kama viongozi wako hivyo unategemea wafuasi wao wakoje?
 
Zitto sikia kijana uache kuwageuza watu mazuzu hasa wale wenye IQ ndogo ambao ni wengi sana hapa nchini, wewe tiari umejitambulisha kwa chama chako kipya sasa kwa nini usiende unasubili nini kama kweli we ni mtumishi na mzalendo acha na fanya haya: Achana na CHADEMA kwa maana ya kufuta kesi yako mahakamani, pia achana na nafasi zote ulizopewa kama ahsante bungeni, achana na ubunge na uende kujenga chama kabla uchaguzi mkuu lakini pia kujiandaa kuwa mwenyekiti maana ndo shida yako unashangaza sana kijana unakuwa mnafiki sana achana na mshaara wako nenda kajenge chama chako na kama unaamini katika unyerere yeye aliacha mshaara wake akaenda kuijenga TANU wewe nini sasa acha tabia za watoto wa kambo.
 
Back
Top Bottom