Zitto amrushia 'kijembe' Prof. Muhongo

Zitto amrushia 'kijembe' Prof. Muhongo

Kama CCM watakuwa wa kuendelea kuongoza nchi, basi na waache porojo nyingi na wamsimamishe Prof. Muhongo. Huyu muhemishimiwa yuko makini (smart) sana katika utendaji na katika kupangilia mikakati.

Kama ulisikiliza hotuba yake ya kutangaza nia, tukio ambalo halikuwa na makuu, kwa watu makini watakubaliana na yeye kuwa nchi yoyote duniani haiwezi endelea bila tafiti. Hili ni suala ambalo viongozi ama wanasiasa wengi wamekuwa wakilipa uzito mdogo sana na kujikita zaidi kwenye mambo ambayo ni ya kufunika kombe (cosmetic), ambayo mara nyingi yanakuwa sio endelevu
 
Hata hiyo miaka kumi inatosha kumaliza shida zetu?

Urais ni miaka mitano not 10 na miundombinu haijakamilika, uchimbaji bado madeni ya makampuni husika kuisha siyo leo. Ningemuelewa kama angejikita kwenye ukusanyaji kodi na kupunguza gharama za serikali
 
Kama CCM watakuwa wa kuendelea kuongoza nchi, basi na waache porojo nyingi na wamsimamishe Prof. Muhongo. Huyu muhemishimiwa yuko makini (smart) sana katika utendaji na katika kupangilia mikakati.

Kama ulisikiliza hotuba yake ya kutangaza nia, tukio ambalo halikuwa na makuu, kwa watu makini watakubaliana na yeye kuwa nchi yoyote duniani haiwezi endelea bila tafiti. Hili ni suala ambalo viongozi ama wanasiasa wengi wamekuwa wakilipa uzito mdogo sana na kujikita zaidi kwenye mambo ambayo ni ya kufunika kombe (cosmetic), ambayo mara nyingi yanakuwa sio endelevu

Huyo mtafiti atakua anafanya kazi na nani? Dawa ya tz ni kubadilisha mfumo mzima.
 
km kweli basi nina hakika zitto alikuwa anauza sura tu.....ALIISHA SEMA AMECHOKA SASA SIJUI ANATAKA NINI TENA. Natamani bora nimsikilize TUMBILI atakuwa na kitu kipya. zitto is just an opportunist

Yaan BAWACHA utawajua tu watu wanajadili mada wew umekomaaa na ZITTO, ZITTO jibu hoja huko wew vipi
 
Zitto ni mnafiki mkubwa! Aache majungu, na yeye atangaze nia, maana yeye ni nuru na mungu wa ACT
 
Yaan BAWACHA utawajua tu watu wanajadili mada wew umekomaaa na ZITTO, ZITTO jibu hoja huko wew vipi

Inaonesha una PHD (Pure Head Damage)....hujielewi!!!!
Unataka njibu hoja kwani kuna hoja gani ng'ombe wewe
 
Kama CCM watakuwa wa kuendelea kuongoza nchi, basi na waache porojo nyingi na wamsimamishe Prof. Muhongo. Huyu muhemishimiwa yuko makini (smart) sana katika utendaji na katika kupangilia mikakati. Kama ulisikiliza hotuba yake ya kutangaza nia, tukio ambalo halikuwa na makuu, kwa watu makini watakubaliana na yeye kuwa nchi yoyote duniani haiwezi endelea bila tafiti. Hili ni suala ambalo viongozi ama wanasiasa wengi wamekuwa wakilipa uzito mdogo sana na kujikita zaidi kwenye mambo ambayo ni ya kufunika kombe (cosmetic), ambayo mara nyingi yanakuwa sio endelevu
Acha ukora wewe. Tafiti gani alizofanya huyu Muongo zenye manufaa kwa taifa?. Huyu hana haiba ya uongozi. Ni mpigaji kama wapigaji wengine tu. Amepiga escrow kiujanjaujanja halafu anatuambia nini. Shiit!!!!!
 
Jamaa anawadharau sana watz eti kwa vile muda mwingi ameishi na kusoma ujerumani. Alifikia hata kuongea kijerumani cha kuokoteza, tunaokijua tulikuwa tunamsikiliza tu kwani hakukuwa na nafasi ya kuuliza maswali

Sista Julie acha fixi
 
Acha ukora wewe. Tafiti gani alizofanya huyu Muongo zenye manufaa kwa taifa?. Huyu hana haiba ya uongozi. Ni mpigaji kama wapigaji wengine tu. Amepiga escrow kiujanjaujanja halafu anatuambia nini. Shiit!!!!!

Simaanishi kuwa he is the best lakini ukimlinganisha na wenziwe watangaza nia yeye ana nafuu
 
Huyu Kijana ni msaulifu sana hakumbuki yeye alikuwa kwenye tume ya Bomani? Atuwekee report ile ili tumuamini..Kama kuna mtu wa kulaumiwa nchi hii kuhusu mahandaki ya dhahabu ni Zito.. Toka mgodi wa dhahabu wa Buzwagi kumbukumbu zangu hazionyeshi ni wapi aliwahi kulizungumzia suala la dhahabu kwa kina
 
Muhongo siyo kiongozi hawezi uongozi sense akufundishe. Sisi with wa Mtwara hatumpendi hata kidogo. Hivi mnajua kuwa gesi yote anyotambia huyo prof ipo Mtwara na Lindi sisi tunasema hafai. Iketokea akawa raisi lazima umwagaji wa damu utatokea

Hivi Mtwara ipo nchi gani?
 
Zitto ni team lowaaa huyu alfu anajikomba kwa.mengi baada ya kuharibu kule
 
PROF. MUHONGO AMENIKUMBUSHA ULE WIMBO WA PROFESSOR MWENZAKE JOSEPH HAULE
aka PROFESSOR J.

WIMBO: "NDIYO MZEE"
 
Muhongo siyo kiongozi hawezi uongozi sense akufundishe. Sisi with wa Mtwara hatumpendi hata kidogo. Hivi mnajua kuwa gesi yote anyotambia huyo prof ipo Mtwara na Lindi sisi tunasema hafai. Iketokea akawa raisi lazima umwagaji wa damu utatokea

Mpeni slaa hiyo gesi na mengi kama muhongo hafai
 
Back
Top Bottom