Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Nani alikuambia watanzania wataandamana kwa ajili ya zitto? Tuna faidi nini kwa kuandamana kufukuzwa zitto kutoka chama cha kidini, kikabila na kikanda? Mimi nashukuru zito kama akifukuzwa kwani ni kumpuzisha na kuokoa imani yake ya dini manake yupo hatarini kuimbishwa injili na kuritadishwa kabisa.
AAAAAA aaaaa AAAAA wapi!!!! Ina maana kule CDM hakuna wanachama wa dini nyingine? Hakina wanachama mikoa mingine? Poleni sana!!!! Mtendaji wako Mkuu alitakiwa aeleze ni kwa kiasi gani chama chako kilitumia maneno ya ukanda, udini, mara ukabila ili kukififisha CDM na evidence za tape za mikutano yenu ya kampeni yupo!!! Hadi leo mh. Lema alipeleka evidence, imekuwa jiiiiii!!!! Acheni propaganda!!! CDM iko mioyoni mwa watanzania!!! Subiri kidogo tu majibu yatatoka!!!
 
Mi nilidhani anawashitaki Dr au Mbowe, kumbe ni Kilewo? . Historia imeshaandikwa - katika harakati za ukombozi dhidi ya magamba kuna wasaliti wasomi walijaribu kuzitibua kwa mbinu za kimafya wakishirikiana na Mwigulu, Nchimbi na TISS
 
Nani alikuambia watanzania wataandamana kwa ajili ya zitto? Tuna faidi nini kwa kuandamana kufukuzwa zitto kutoka chama cha kidini, kikabila na kikanda? Mimi nashukuru zito kama akifukuzwa kwani ni kumpuzisha na kuokoa imani yake ya dini manake yupo hatarini kuimbishwa injili na kuritadishwa kabisa.

Kama hamfaidi kitu mbona mnashupalia usiku kucha Zitto zitto, uchnguzi uchaguzi. Nonsense kabisa!
 
We chukua time zako binti,

Who is your brother,ni behave kivipi??who are you tryng to tell me what to speak??

Chai leo haijashuka siku zote unaninunulia wewe??jike zima asubuhi asubuhi kama hii unataka kujibishana na wanaume huon hatari??una tafuta bwana au??

pole sana,me nimeshaoa n i have a very beautiful wife with happy home..!!,,muda wa kuruka ruka na viruka njia kama wewe i am sorry sitokuwa nao,sikujui hunijui,wala sijawahi kuingia anga zako hata siku moja,usiingie kwenye battle isiyo kuhusu sawa??

Kama kweli umedhikika na unatafuta bwana wa kukufaa ngoja nitakufuata PM tuzungumze may be nawez kukusaidia,but not me :busu ,,

This is just a piece of an advice to you,tokea nijiunge JF sijawahi kujibishana na binti yyte,huwa nawaheshimu sana wanawake coz najua kupitia mwanamke mimi niliweza kuja hapa dunian.,siyo siri naheshim sana mwanamke,nakupa homework tafuta humu JF huwez ona hata siku moja najibishana na mwanmke kwa namna yyte ile,

Wewe ni wa kwanza,sasa skia mind your own goddmaned biznes,

Pole kwa maneno makali na povu jingi kutoka kwangu,ila hivyo ndivyo unavyostahili kujibiwa,

I am puttin this to the shortest term known to me "i don wrestle with biach biach biach..""
Zungumzia suala la gesi acha longolongo tokea umepata vihela vya rushwa umetutelekeza
 
We chukua time zako binti,

Who is your brother,ni behave kivipi??who are you tryng to tell me what to speak??

Chai leo haijashuka siku zote unaninunulia wewe??jike zima asubuhi asubuhi kama hii unataka kujibishana na wanaume huon hatari??una tafuta bwana au??

pole sana,me nimeshaoa n i have a very beautiful wife with happy home..!!,,muda wa kuruka ruka na viruka njia kama wewe i am sorry sitokuwa nao,sikujui hunijui,wala sijawahi kuingia anga zako hata siku moja,usiingie kwenye battle isiyo kuhusu sawa??

Kama kweli umedhikika na unatafuta bwana wa kukufaa ngoja nitakufuata PM tuzungumze may be nawez kukusaidia,but not me :busu ,,

This is just a piece of an advice to you,tokea nijiunge JF sijawahi kujibishana na binti yyte,huwa nawaheshimu sana wanawake coz najua kupitia mwanamke mimi niliweza kuja hapa dunian.,siyo siri naheshim sana mwanamke,nakupa homework tafuta humu JF huwez ona hata siku moja najibishana na mwanmke kwa namna yyte ile,

Wewe ni wa kwanza,sasa skia mind your own goddmaned biznes,

Pole kwa maneno makali na povu jingi kutoka kwangu,ila hivyo ndivyo unavyostahili kujibiwa,

I am puttin this to the shortest term known to me "i don wrestle with biach biach biach..""

Mkuu umejuaje kuwa cacico ni mwanamke!!! Si anatumia hidden ID tu kama ya kwako? Sema pia hapa JF uwanza ni wazi ili mradi usitukane!!! Kwa hiyo cacico alikuwa na uhuru wa kujibizana ili mradi hakuvunjii heshima au vipi mkuu wangu the Big Show? Poa, poa tu hapa ni keyboard tu maana kuna watu wana ID za kike kumbe ni midume na ndevu zenye mvi kabisa.
 
chadema wataisoma namba,

mm chadema ikifa siwezi kulia nitaitupa mto kagera.

wabaguzi, wadini na wafitini mungu akiaangamizilie mbali chama cha wavuta bangi na malaya kama malay slaa na mbowe.

kazi kuchukua wake za watu na kuzaa nje ya ndoa zao

Wewe sio wa kwanza kusema maneno yasiyo badilika kama wimbo wa taifa, alifukuzwa kaburu katibu mkuu aje kuwa naibu ! Hakika utaendelea kuishuhudia chadema yenye nguvu na afya cha muhimu zingatia hili! "utakufa wewe na kuiacha chadema imara zaidi" .
 
ZZK anashauriwa na ccm,Picha linaendelea na sasa starring ni jini!! Huku mwigulu huku lukuvi,mbele zzk na nyumba nchimbi..! Nchi za africa na siasa zake ni Majanga matupu
 
Huyu anaitwa Yericko yohana sijui nani vile? Ni mhaya huyu jamaa kwahiyo mpunguzie mapigo anaweza kujitia kitanzi.
Cc gombesugu. Muovu na mnafiki ana mwisho mbaya ndugu yangu kwahiyo ngoja wafurahie umaarufu wa jf' kwa kuwatuhumu wengine lakini yana mwisho.

hupati raha bila kutaja kabila la mtu kwa dharau? ukabila tuuuu!
 
Last edited by a moderator:
Achana na Kikwete huyo ndio Rais ambae hata Mwenyekiti wako anasema;

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Mkuu FaizaFoxy, haya ni maneno ya kejeli!! Ninakuhakikishia hayatoko moyoni!!! Siasa ni kuchokoza na watu wakiitupa katika net basi ndiyo utaujua ukweli!!! Si rahisi Mh. Mbowe awe amedhamiria hayo uliyo quote hapo juu.
 
hupati raha bila kutaja kabila la mtu kwa dharau? ukabila tuuuu!

Usishangae mkuu, hizo ndizo propaganda za magamba!!! Walipotolewa CDM ya viongozi wao waandamizi wakitamka ukanda, ukabila na udini basi walifyata mkia hadi leo kimyaa hakuna majibu!!!
 
AAAAAA aaaaa AAAAA wapi!!!! Ina maana kule CDM hakuna wanachama wa dini nyingine? Hakina wanachama mikoa mingine? Poleni sana!!!! Mtendaji wako Mkuu alitakiwa aeleze ni kwa kiasi gani chama chako kilitumia maneno ya ukanda, udini, mara ukabila ili kukififisha CDM na evidence za tape za mikutano yenu ya kampeni yupo!!! Hadi leo mh. Lema alipeleka evidence, imekuwa jiiiiii!!!! Acheni propaganda!!! CDM iko mioyoni mwa watanzania!!! Subiri kidogo tu majibu yatatoka!!!

Hiki chama kina mapenzi ya kweli kwa waumini wa dini ya kikristo ila muislamu wa kweli aliyekamilika imani yake hawezi kukaa katika chama hiki. Nakubaliana na mipango ya makaratasini ya CDM ila jinsi viongozi wa chadema wanavyoudhihaki na kuwatukana waislamu kamwe muislamu wa kweli hawezi kaa meza moja na watu hawa. Ushahidi ninao.
 
Mfa maji haachi kutapatapa. So my comrade Kilewo vuta subira na hakika kesi hii utashinda na hatimaye litakuwa pigo lingine tena kwa Zitto na hatimaye tutamsahau kabisa kisiasa. Walikutengenezea ya UGAIDI sembuse hii. Shame on them.
Huyu kijana lazima aende na maji wataalamu wa IT wapo, ushahidi unaweza kupatikana na bila shaka yoyote unaweza kuthibitishwa hata akitumia jina bandia.

 
zitto aachane na hao hai jamaniii arudi ccm nyumba ya watanzania wote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom