Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Ila huyu jamaa atakuwa muuwaji kwa nini igunga ni yeye, leo kamtishia zito, plz polisi msimpe huyu mtu dhamana atafanya mauaji tena kama ya igunga....
 
huyu kilewo nadhani za kwake zimefika ngoja mtaona mengi mda siyo mrefu.
 
Zitto Anahatarisha maisha yake bila kujua. Kwa misuguano iliyopo sasa wale wapinzani wa chadema ambao wamekuwa tayari kumwaga hata damu za watu ili muradi wakidhoofishe chadema wanaweza kufanya hivyo kwake bila kujali urafiki kati yake na wao. Kwa mazingira yaliyopo sasa kama lolote baya linatokea kwa Zitto umma (hasa ule umbao ni rahisi kujazwa ujinga) utahisi chadema imehusika na hii itakipunguzia mvuto. Kama yule bwana Chemba akaiona hii ni fursa kwanini asiwa amuru vijana wake waingie kazini?. Kuna haja ya yeye kuwa makini zaidi na kuangalia hali ya usalama wake. Inawezekana kabisa kwa hali ilivyo Zitto akawa mtaji wa kisiasa.

adui wa zitto wako CCM na si chadema
 
Ok. nimeshajua kaoa yule dada beki tatu wa zamani. Nasikia kamzidi umri ila watoto wa siku hizi kwa kupenda Ubwete ndio wanaishi hata na shangazi zao.
 
kwani kileo na ZZK nani ni mkubwa kimadaraka CDM?sensibly lazima ikubalike kuwa hawa ni vifaranga huwezi mshambulia mkuu wako wa kazi hadharani ukaachwa kimya lazima kutakua kuna tatizo tu!!
HALAFU MTINDO WA KUIENDESHA CDM KWA NJIA YA MITANDAO TARAJIA KIFO CHAKE KUTOKEA KWENYE MITANDAO PIA!!what a shame

This is likely to happen when one imagines God created brains to simply fill in a cavity and not for any other purpose whatsoever! You know what they say about arguing with a fool.....................................................
 
Bujibuji umeanza siasa hivi karibuni, waulize kina naniiiii wakufundishe siasa ni nini halafu utaelewa tafsiri ya hayo maneno
 
Walikuwa na VIZA lakini walipofika na kuishi nchi za Wakristo?
Ukiisoma Historia ya Uislaam utakuta kuwa, Waislaam walipokuwa wakiteswa na ndugu zao walioupinga Uislaam hapo Makkah wakati alipoanza Mtume Muhammad SAW kuhubiri Uislaam, aliwaambia ili kuepuka mateso basi waende Habashi, na huko ilikuwa nchi ya Wakristo na Mfalme Mkristo. Tatizo ni nini?
 
kwani kileo na ZZK nani ni mkubwa kimadaraka CDM?sensibly lazima ikubalike kuwa hawa ni vifaranga huwezi mshambulia mkuu wako wa kazi hadharani ukaachwa kimya lazima kutakua kuna tatizo tu!!
HALAFU MTINDO WA KUIENDESHA CDM KWA NJIA YA MITANDAO TARAJIA KIFO CHAKE KUTOKEA KWENYE MITANDAO PIA!!what a shame

mnaendeshwa kwa hisia na majungu tu..... kifo chao hisia na majungu..... no focus..
 
Duhhhh
Huyu huyu aliyesema eti kwao wako fit sana kindumba leo naye anatishiwa kuuawa?
"Natoka Kigoma, nimeaga kwetu! Kifo
changu kikitokana na mkono wa mtu,
huyo hata panya hatabaki nyumbani
kwao"- Zitto Zuberi Kabwe

Zisi izi vere konfyuzing' kwa kweri
 
Zito, your name does not reflect what you would have been.A lot of nonsense has been spoted since you were voted out from leadership by the chadema cc.It has proven to us the normal marginalised of the earth that you after your own and not otherwise.
 
Mambo ya Chadema yanakuhusu nini??? Ukiulizwa Pili pili usiyoila inakuwashia nini??, Mmeshaumia hakuna jipya tena, sisi tunaendelea kuwafundisha na kuwapa elimu watanzania ni jinsi gani ya kukabiliana na Mamluki kama nyinyi na wote wenye nia ovu kwa mabadiliko.

Kama wewe ni mzalendo kwani unang'angania nchi za watu, au nyiye ndiyo vipandikizi.

anasafisha miku.du ya vikongwe wa kiingledha!!
 
Hivi tukiweka siasa pembeni,Zitto atajisikiaje akiona CHADEMA imesambaratika na yeye akiwa ndo chanzo?
 
Henry Kilewo

57 minutes ago via Mobile


Ndiyo nimetoka kuhojiwa na jeshi la polisi mahojiano yaliyochukua takribani lisaa limoja na mabishano yaliyochukua lisaa limoja kabla ya kuanza maelezo.


Cha msingi ni kuwa mtu mmoja aitwaye zitto kabwe ametishiwa kuuwawa, lakini maelezo yangu kwa jeshi la polisi leo ni kuwa waangalie mambo ya msingi ya mnchi hii kuliko kukimbilia upuuzi wa wanasiasa uchwara waliyoporomoka kisiasa na sasa wanatafuta kicki ya kurudia.

Jeshi la polisi limeniachia kwa kujidhamini mwenyewe bila mashariti yeyote yale...

Ahsanteni na mungu awabariki... we shall overcome,never say never

Viongozi wa CDM wamepatw na ugonjwa gani? Kila kitu kwenye mitandao hata vilvyo vya binafsi kwenye mitandao. Fikeni mahali baadhi ya mambo yafanywe kwenye mfumo wa chama ili kuruhusu kuchuja nini kiende kwa jamii na nini kisiende kwaajili ya uhai na usalama wa chama.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom