zitto hana madaraka kwa sasa ni yepi hayo unaongelea?
Kwani zitto ni nani tena CDM?
Kilewo ana matatizo ya akili!
Mkuu, huoni kama unawadhalilisha polisi kwa kumuhoji mtu zaidi ya saa 2 wakati mtu mwenyewe kumbe hana akili? Nahisi hapa utakua umedhalilisha chombo cha dola already!Kilewo ana matatizo ya akili!
zito, your name does not reflect what you would have been.a lot of nonsense has been spoted since you were voted out from leadership by the chadema cc.it has proven to us the normal marginalised of the earth that you after your own and not otherwise.
Duhhhh
Huyu huyu aliyesema eti kwao wako fit sana kindumba leo naye anatishiwa kuuawa?
"Natoka Kigoma, nimeaga kwetu! Kifo
changu kikitokana na mkono wa mtu,
huyo hata panya hatabaki nyumbani
kwao"- Zitto Zuberi Kabwe
Mkuu tuheshimiane hunijui sikujui mjinga mkubwa toa hoja acha ushabiki tumbo uharo!kama unasukumiwa gogo
anasafisha miku.du ya vikongwe wa kiingledha!!
Hivi tukiweka siasa pembeni,Zitto atajisikiaje akiona CHADEMA imesambaratika na yeye akiwa ndo chanzo?
Zito, your name does not reflect what you would have been.A lot of nonsense has been spoted since you were voted out from leadership by the chadema cc.It has proven to us the normal marginalised of the earth that you after your own and not otherwise.
Viongozi wa CDM wamepatw na ugonjwa gani? Kila kitu kwenye mitandao hata vilvyo vya binafsi kwenye mitandao. Fikeni mahali baadhi ya mambo yafanywe kwenye mfumo wa chama ili kuruhusu kuchuja nini kiende kwa jamii na nini kisiende kwaajili ya uhai na usalama wa chama.
[h=5]Henry Kilewo[/h]57 minutes ago via Mobile
Ndiyo nimetoka kuhojiwa na jeshi la polisi mahojiano yaliyochukua takribani lisaa limoja na mabishano yaliyochukua lisaa limoja kabla ya kuanza maelezo.
Cha msingi ni kuwa mtu mmoja aitwaye zitto kabwe ametishiwa kuuwawa, lakini maelezo yangu kwa jeshi la polisi leo ni kuwa waangalie mambo ya msingi ya mnchi hii kuliko kukimbilia upuuzi wa wanasiasa uchwara waliyoporomoka kisiasa na sasa wanatafuta kicki ya kurudia.
Jeshi la polisi limeniachia kwa kujidhamini mwenyewe bila mashariti yeyote yale...
Ahsanteni na mungu awabariki... we shall overcome,never say never
haha hjahah haha hahah hahaha hahahahhahso what????? Rubbish
:party: