Zitto amburuza Kilewo polisi

Zitto amburuza Kilewo polisi

Status
Not open for further replies.
Zitto ni kanda mbili za chooni kumfanyia vituko Kamanda kilewo ni katika kujaribu kupooza ishu zake za kusaliti chadema ,huwezi ukawa unawekewa pesa na kina kimei kwenye account zake atueleze hizo pesa ni za nini pili ni mchoyo shibuda na upimbi wake anrushiwa tigo pesa laki moja inamfanya aropoke kama mwehu,tatu atueleze kwenye hotel ya golden tulip alikuwa anafanya makubaliano ya kusaliti chama kwa kuahidiwa mamilioni ambayo atakutanishwa na kibosile wa CRDB Bank ,nne dolla elfu 20 ambazo zilitumwa na mwanamama mjerumani kila mwezi kwa west union ni za shughuli gani,zitto tumekuchoka nenda zako
 
Leo imeariifiwa kuwa Zitto Z.Kabwe amemripoti Polisi Kilewo-wa-Dar. Inasemwa kuwa Zitto anamlalamikia Kilewo-wa-Dar kusambaza 'Waraka wa Siri' uliomchafua Zitto kama msaliti ndani ya CHADEMA. Malalamiko ya Zitto ni kuchafuliwa jina /kushushiwa hadhi (defamation).

Kisheria, 'defamation' ni kosa la madai. Halihusishi Polisi kwa namna yoyote ile.Polisi huhusika na makosa yote ya jinai. Si ya madai kama alilomlalamikia Kilewo-wa-Dar. Kwa malalamiko haya, Zitto alipaswa kuandaa Hati yake ya Malalamiko (Plaint) na kuiwasilisha Mahakama husika. Si Polisi.

Labda kama Zitto amelalamika kijinai kama vile kuibiwa,kutukanwa;kutishiwa kutekwa/kuuwawa na kadhalika. Vinginevyo, alipoipeleka kesi si mahala pake. Kwa mambo jinsi yanavyoripotiwa,Zitto ameteleza kwa kuelekea uelekeo tofauti. Polisi hawahusiki na 'defamation'.

Itoshe kusema kuwa Zitto anahitaji kuwa na Mshauri kabla ya maamuzi yake. Mihemuko na jazba zitamuanika na kumuacha 'vibaya'. Lakini, ni haki ya kila raia wa nchi hii kutumia vyombo vya dola na Mahakama kutafuta haki yake.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
 
according to waraka wa mabadiliko 2013, kati ya weakens ya MM ni hasira za karibu.
 
Waache polisi wenyewe waseme kama hawahusiki.

Wasiwasi wa nini?

Kilewo atatusaidia kujua waraka umetoka wapi...
 
AfoBCGYpxumDQAAAABJRU5ErkJggg==



Jamaa kakimbilia kutoa ile "report ya siri".
 
vuta nikuvute, acha utabiri wa nyota. wewe sio polisi wala mahakama, kosa la kileo ni la kijinai
 
Yani kumsafisha ni sawa na kuosha kanzu kwa mkaa Usitegemee anasafishika mwaka aliuanza kwa kutuomba radhi bila kutaja makosa ikiwa ni wakati mjadala wa masalia ulikuwa umepamba moto 2013 ndo yameibuka ya siri na waraka hayatamweka salama kama anaenda na huko huu mwaka wasaliti hawatakaa USAHAU kwani NI MWAKA WA HUKUMU inasomwa tulioanza isikiliza mwaka jana kwa ushahidi wa beni, sho na habibu HUKUMU ni mwaka huu ANADEAL NA KILEO kama ssmu na vilevile halafu asalimike tena na kama chadema sio ya tumaini jipya na ya maamuzi magumu.
 
according to waraka wa mabadiliko 2013, kati ya weakens ya MM ni hasira za karibu.
Waraka ambao akiamua kuwaachia mziki akina kitila kesi amna na kuitia aibu kamati kuu kwa siasa za wivu na chuki (cowardice).

as far as we know waandishi wamekiri ausiki ajitoe tu katikati, awaachie waandishi maana wao ndio wenye mashitaka si yeye anaonewa tu kwakutajwa.
 
zitto anafanya sahihi kuitafuta haki yake kwa njia ya kisheria
 
Leo imeariifiwa kuwa Zitto Z.Kabwe amemripoti Polisi Kilewo-wa-Dar. Inasemwa kuwa Zitto anamlalamikia Kilewo-wa-Dar kusambaza 'Waraka wa Siri' uliomchafua Zitto kama msaliti ndani ya CHADEMA. Malalamiko ya Zitto ni kuchafuliwa jina /kushushiwa hadhi (defamation).

Kisheria, 'defamation' ni kosa la madai. Halihusishi Polisi kwa namna yoyote ile.Polisi huhusika na makosa yote ya jinai. Si ya madai kama alilomlalamikia Kilewo-wa-Dar. Kwa malalamiko haya, Zitto alipaswa kuandaa Hati yake ya Malalamiko (Plaint) na kuiwasilisha Mahakama husika. Si Polisi.

Labda kama Zitto amelalamika kijinai kama vile kuibiwa,kutukanwa;kutishiwa kutekwa/kuuwawa na kadhalika. Vinginevyo, alipoipeleka kesi si mahala pake. Kwa mambo jinsi yanavyoripotiwa,Zitto ameteleza kwa kuelekea uelekeo tofauti. Polisi hawahusiki na 'defamation'.

Itoshe kusema kuwa Zitto anahitaji kuwa na Mshauri kabla ya maamuzi yake. Mihemuko na jazba zitamuanika na kumuacha 'vibaya'. Lakini, ni haki ya kila raia wa nchi hii kutumia vyombo vya dola na Mahakama kutafuta haki yake.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Washauri wenyewe ni wakina CHAMVIGA Ngariba ZeMarcopolo na Boko haram unategemea kitu hapo?
 
Last edited by a moderator:
Leo imeariifiwa kuwa Zitto Z.Kabwe amemripoti Polisi Kilewo-wa-Dar. Inasemwa kuwa Zitto anamlalamikia Kilewo-wa-Dar kusambaza 'Waraka wa Siri' uliomchafua Zitto kama msaliti ndani ya CHADEMA. Malalamiko ya Zitto ni kuchafuliwa jina /kushushiwa hadhi (defamation).

Kisheria, 'defamation' ni kosa la madai. Halihusishi Polisi kwa namna yoyote ile.Polisi huhusika na makosa yote ya jinai. Si ya madai kama alilomlalamikia Kilewo-wa-Dar. Kwa malalamiko haya, Zitto alipaswa kuandaa Hati yake ya Malalamiko (Plaint) na kuiwasilisha Mahakama husika. Si Polisi.

Labda kama Zitto amelalamika kijinai kama vile kuibiwa,kutukanwa;kutishiwa kutekwa/kuuwawa na kadhalika. Vinginevyo, alipoipeleka kesi si mahala pake. Kwa mambo jinsi yanavyoripotiwa,Zitto ameteleza kwa kuelekea uelekeo tofauti. Polisi hawahusiki na 'defamation'.

Itoshe kusema kuwa Zitto anahitaji kuwa na Mshauri kabla ya maamuzi yake. Mihemuko na jazba zitamuanika na kumuacha 'vibaya'. Lakini, ni haki ya kila raia wa nchi hii kutumia vyombo vya dola na Mahakama kutafuta haki yake.

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

Kiongozi Mtimuliwa aanza kujikanyaga mwenyewe siku 14 ndio jibu.
 
Defamation in some circumstances can amount to criminal case. I think it will depend on the gravity of the matter! Nafikiri yupo sahihi japo inaweza kuwa ngumu ku-establish his case!
 
Mwacheni kijana wa watu, pengine yuko ktk critical moment of his life.

Ni wazi (by mere observations) tabia na hulka za wafuasi wake lazima atahakikisha anajaribu kuiumiza CHADEMA kadiri awezavyo; so we'll see similar things like that + Masalia-esque pollution.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom