Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
do!kazi kweli kweli
Zitto anamaanisha nini hasa pale anaposema Katiba haitapatikana barabarani?
...........Jamani hii nchi kwa sasa inatawaliwa na CCM lakiniinaongozwa na CHADEMA. .........
"Katiba haitapatikana barabarani bali kwa mwafaka wa Kitaifa. CHADEMA iliomba kukutana na Mkuu wa Nchi kwa sababu maalumu zinazohusiana na mchakato wa Katiba. Kama kuna vyama vingine navyo vinataka kumwona Rais wafuate utaratibu wao. Pia tangu lini CCM ikaanza kusemea vyama vingine? Rais ana taratibu za kukutana na raia wake. CCM na vyama vingine visidandie mkutano wa Rais na viongozi wa chama chetu @Nape" -Zitto Kabwe
Anamaanisha CDM iachane na upuuzi wa MAANDAMANO ya kijinga.
Badala yake wahamasishe wafuasi wao wafanye kazi kulijenga taifa letu.
Huyu jamaa mara nyingine huwa simulewagi kabisa, nahisi anamaanisha kuwa katiba haipatikani kwa kuandamana. Kwa mtazamo wangu kwa Zitto katiba mpya sio muhimu kwa sasa kwa kuwa hajafikisha umri wa kugombea urais na ameishaprove kuwa hachakachuliki katika ubunge baada ya kushinda mara mbili. Na hata wenzie walipotoka bungeni siku ile JK anazindua bunge yeye alionekana kuwaponda. Lets wait and see but the guy is very controversial.
"Watakwenda, watarudi. Hawana mwingine wakumlilia kwa yao ,hawana mwingine wakuomba yao yatimie isipokuwa serikali ya chama cha mapinduzi, ambayo mie ndo rais wake"
Jakaya Kikwete 18-11-2010
Kauli tata toka kwa huyu mtu hazijaanza leo. Huyu amewahi kuandika humuhumu akiwaambia wenzake wasimsakame na kudai kuwa walimtenda kwa pamoja Wangwe, sijui walimtenda nini.Zitto nafikiri bado yuko kwenye maruweruwe ya madawa ya usingizi wakti akifanyiwa operesheni kule India!
Katiba nyingi duniani zimepatikana kwa MAANDAMANO. Watu walipinga mfumo fulani mahali fulani na kukafanyika mageuzi yaliyopelekea kuundwa ka Katiba Mpya.
"Katiba haitapatikana barabarani bali kwa mwafaka wa Kitaifa. CHADEMA iliomba kukutana na Mkuu wa Nchi kwa sababu maalumu zinazohusiana na mchakato wa Katiba. Kama kuna vyama vingine navyo vinataka kumwona Rais wafuate utaratibu wao. Pia tangu lini CCM ikaanza kusemea vyama vingine? Rais ana taratibu za kukutana na raia wake. CCM na vyama vingine visidandie mkutano wa Rais na viongozi wa chama chetu @Nape" -Zitto Kabwe
Zitto kweli ni msela tena kapinda kwelikweli huyu si mtu wa kumwamini kabisa ni mtu aliefilisika kisiasa hana lolote si chochote.Kupitia maandamano baada ya kashfa ya buzwagi ndo CHADEMA ikaanza kukubalika kanda ya ziwa sasa anapodai kuwa katiba inapatikana kwa majadiliano ni nani ni kweli? . .Mimi nadhani zitto bado anakinyongo na viongozi wa Chama chake kwamba analipiza kisasi kwa kupiga vijembe kila anapopata nafasi.Tulipokuwa TOSAMAGANGA haka kamtindo alikuwa nako sana na tulizoea kumuita Popo chakushangaza hadi tunamaliza UDSM haja onyesha kuachana na hii tabia kwani ina mcost sana na ndiomana hata demu wake jack alimtosa si mtu wa kumwamini asilimia mia moja.Waswahili walisema Ngoma ikilia sana basi inakaribia kupasuka hadi kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo kamanda ana zidi kupotea kwenye ukumbi wa siasa. It's a mutter of time let us wait and see. .! !
Simuamini kabisa Kabwe, ni mafiki sana.............. TUNATAKA MAANDAMANO period.:embarassed2: