Jean chill
Member
- Apr 8, 2011
- 69
- 20
"Katiba haitapatikana barabarani bali kwa mwafaka wa Kitaifa. CHADEMA iliomba kukutana na Mkuu wa Nchi kwa sababu maalumu zinazohusiana na mchakato wa Katiba. Kama kuna vyama vingine navyo vinataka kumwona Rais wafuate utaratibu wao. Pia tangu lini CCM ikaanza kusemea vyama vingine? Rais ana taratibu za kukutana na raia wake. CCM na vyama vingine visidandie mkutano wa Rais na viongozi wa chama chetu @Nape" -Zitto Kabwe