Zitto alivyozomewa Mbeya Mjini

Zitto alivyozomewa Mbeya Mjini

Status
Not open for further replies.
Mtoa mada umekula kweli mchana? mbona sioni hao wanaozomea bali nasikia watu wakiongea katika makundi madogo madogo.Hivi unajua maana ya kuzomea?
Huwezi kuona kwa kuwa umefungwa kifkra ila wenye Majina Yanayoanza na YONA Kama wewe huwa na Matatizo.
 
Katika hii video nimegundua hivi,
1.Wanaopiga kelele ni ka section flani ka watu wasiozidi kumi ambao inaonekana walijipanga(unaweza kusikia mmoja anamwambia mchukua video "kasimamie huku")
2.ZZK yuko distance ya mbali ambako inaonekana mkutano ukiendelea na watu wakisikiliza.
3.Kwa haraka haraka nimemsikia ZZK akisema "tunailaumu serikali kwamba wanatumia mashangingi kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni naye anaendelea kutumia kwa hela hizohizo za serikali nani Msaliti?" This is very sensible,unatakiwa upinge kitu sio kwa mameno bali kwa vitendo,ifike kipindi wananchi waamke Chadema ni scam,hakuna mwenye nia ya kweli kutoka Chadema wa kutaka kumkomboa mtanzania,hayo yanajidhihirisha kwa vitendo vyao.
 
Chachu iamuri akili yako ifikiri kwa kasi...ni kwa namna gani sauti ikaonwa na macho?

So hujasikia hzo zomeazomea?

Kuzomea ni kutoa sauti bila mpangilio zikipazwa zaidi ya sauti chanzo
Katika hii video nimegundua hivi,
1.Wanaopiga kelele ni ka section flani ka watu wasiozidi kumi ambao inaonekana walijipanga(unaweza kusikia mmoja anamwambia mchukua video "kasimamie huku")
2.ZZK yuko distance ya mbali ambako inaonekana mkutano ukiendelea na watu wakisikiliza.
3.Kwa haraka haraka nimemsikia ZZK akisema "tunailaumu serikali kwamba wanatumia mashangingi kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni naye anaendelea kutumia kwa hela hizohizo za serikali nani Msaliti?" This is very sensible,unatakiwa upinge kitu sio kwa mameno bali kwa vitendo,ifike kipindi wananchi waamke Chadema ni scam,hakuna mwenye nia ya kweli kutoka Chadema wa kutaka kumkomboa mtanzania,hayo yanajidhihirisha kwa vitendo vyao.
 
Waha mtakoma kwanini mnaanzisha ukabila kwenye siasa?

si ukabila tu bali pia na udini ndani yake.
Ogopa sana mtu anayesaka vyeo vya kisiasa kwa njia haram za kuaminisha umma kuwa yeye alionewa kwa sababu ya kabila na dini yake.
Sasa watu walishamstukia kuwa ni kijana hatari kwa ustawi wa taifa letu.
Ndo maana kila anapopita anazomewa kwa kwenda mbele.
Mzalendo anaekimbilia kumiliki hama huku wa akiaacha wagonjwa ktk jimbo lake wakifa kwa kukosa ambulance.
Sijui ni nani alimtonya wakati ndo kumekucha kuwapelekea juzijuzi.
Kipaumbele hammer kwanza then wapiga kura mwishoni sana......
Aaaaah mzalendoooooo........
 
Katika hii video nimegundua hivi,
1.Wanaopiga kelele ni ka section flani ka watu wasiozidi kumi ambao inaonekana walijipanga(unaweza kusikia mmoja anamwambia mchukua video "kasimamie huku")
2.ZZK yuko distance ya mbali ambako inaonekana mkutano ukiendelea na watu wakisikiliza.
3.Kwa haraka haraka nimemsikia ZZK akisema "tunailaumu serikali kwamba wanatumia mashangingi kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni naye anaendelea kutumia kwa hela hizohizo za serikali nani Msaliti?" This is very sensible,unatakiwa upinge kitu sio kwa mameno bali kwa vitendo,ifike kipindi wananchi waamke Chadema ni scam,hakuna mwenye nia ya kweli kutoka Chadema wa kutaka kumkomboa mtanzania,hayo yanajidhihirisha kwa vitendo vyao.
Wewe ndiyo zu-zu kweli unafikiri ufundi fundi wako wa kupanga vijineno hivyo ndiyo uta muokoa huyo saliti wako.Ime kula kwenu hiyo!
 
hata hawamsikiliz kabisa.....kila mtu anaongea kivyake
 
Aibu sana kwa kiongozi mkuu wa chama
 
Video yenyewe mbona magumashi sana imezibwa zibwa na kuchukuliwa upande mmoja? Usanii mtupu.

In electronic evidence we expert, are not much concerned with the location as to where it was made, but the authenticity of the evidence retrived from the source.
So this is admissible then.
Judgment: Zzk alizomewa mbeya.
Ningekuwa jaji maamua ya kesi hiyo ndio ingekuwa my Rationale as to my Decision
 
Dawa ya msaliti ndiyo hiyo na atavuna alichopanda
 


hii mbaya sana

Nimejaribu kuangalia sana sijaona wapi anazomewa.
http://www.youtube.com/watch?v=Sf1PaBhS2Ms iliku ni aibu ya mwaka. Zitto alipo zomewa mbeya mjini, najua atasema sio yeye lakini ushahidi huo hapo juu.
Mods mnaweza ifuta kama mtahisi inawakera kama mlivyo fanya kwenye ile ya Tunduma.Lakini ukweli hauta futika kamwe
 
Last edited by a moderator:
Katika hii video nimegundua hivi,
1.Wanaopiga kelele ni ka section flani ka watu wasiozidi kumi ambao inaonekana walijipanga(unaweza kusikia mmoja anamwambia mchukua video "kasimamie huku")
2.ZZK yuko distance ya mbali ambako inaonekana mkutano ukiendelea na watu wakisikiliza.
3.Kwa haraka haraka nimemsikia ZZK akisema "tunailaumu serikali kwamba wanatumia mashangingi kiongozi wa Kambi ya upinzani bungeni naye anaendelea kutumia kwa hela hizohizo za serikali nani Msaliti?" This is very sensible,unatakiwa upinge kitu sio kwa mameno bali kwa vitendo,ifike kipindi wananchi waamke Chadema ni scam,hakuna mwenye nia ya kweli kutoka Chadema wa kutaka kumkomboa mtanzania,hayo yanajidhihirisha kwa vitendo vyao.
mkuu una roho ngumu,nau ndiyo kupenda?
 
Kama huko ndio kuzomewa basi natamani nizomewe na Mimi. Kikundi kidogo cha watu wanaongea eti wamezomea. ...tehteheteh mbona hamsemi huyo aliyeitikia kweliiii. Acheni propaganda, kama ACT inawapa shida kaombeni msamaha
 
Katika hii video nimegundua vitu vichache kama ifuatavyo,

wanaomzomea zitto ni kikundi kidogo sana cha watu ambacho kinaonekana kimepangwa kufanya kazi hiyo,

Pili mchukua video amekaa kwenye hico kikundi kwa malengo aliyopanga wakati watu ni wengi wala haoneshi upande mwingine,

Lakini pia inaonekana kikundi hiki kipo mbali sana na zitto wala hawana habari na mkutano wao wamekwenda kuzomea tu,

chadema wanaandaa vijana wachache kumzomea zitto lakini nadhani watashindwa hawatafanikiwa.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom