Independent-Mind
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 712
- 207
Hoja sio kuzomewa mkuu hoja ni nani Kazomea,ndio mana nimejaribu kuangalia je waliozomea ni wananchi walioenda mkutanoni? jibu ni big NO,waliozomea ni kama nilivoelezea hapo juu,hilo la kauli juu ya Chadema anakupa mfano wa jinsi gani watu walivo wazalendo wa kinafki,unamsema Ridhiwani anatembelea shangngi na wewe unatumia hilo hilo,unamsema Lucinde anachukua posho na wewe unazichukua huku ni kututania WatanzaniaHoja ni kuzomewa hayo ya idadi na Umbali aliokuwamo hukuondoi Ukweli kuwa alizomewa,
Pia kauli zake Dhidi ya chadema wakati wakuzomea ni dhihirisho la kilichopelekea yeye kuzomewa.