chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
zitto eeee, skia nikwambie....kwa umri wako bado una nafasi. kufanya kosa ni kosa lakini kurudia kosa ni kosa kubwa sana. fanya maamuzi magumu mdogo wangu, watafute wenzio cdm, waombe msamaha rudi kwenye chama ukapige kazi. kweli zitto nakuambia. otherwise kaka you are killing yourself politically. mbaya zaidi ni pale unaposhambulia upinzani badala ya kushambulia ssm. ujue ssm nako una maadui lukuki ambao mashambulizi yako dhidi yao bungeni yalivuruga sana mishe zao. usalama wako ni ndani ya cdm na ukawa kaka vinginevyo una hali mbaya sana. usije ukashangaa hata ubunge kighoma vijijini au mjini ukakosa na ssm ndo wapanga mikakati wakubwa kuhakikisha hurudi bungeni. maadui zako kisiasa watakuwa wengi sana. yaan hawa kina ritz ndo kabisa wanataman ufe hata leo, usione wanakushabikia kinafki hapa...labda kama umeamua kupambana na upinzani kiukweli hapo utawaona kina ritz wa maana. vinginevyo basi amua kujilipua bomu kabisa, jiunge na ssm wakakumalizie mbali vizuri.
ulikosea lakin tunaamini una uwezo. kipaji chako kinapotea bure kwa kudanganywa na kina mwigamba na kitila. rudi bomani kaombe msamaha. nakuchukia sana kwa uamuzi wako wa kugombana na upinzani tanzania, lakini pia nakusikitikia kwa hali hii, nakuonea huruma sana kutoka moyoni nikikumbuka kazi zako bungeni, wewe ndo ulinifanya niifikirie siasa mara mbili mbili na sasa mimi ni mwanasisa kamili. ulikuwa role model wangu zitto....
Zitto nani amekulogaaaaaaaa, zitto umekula maharage ya wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, rudi kundini mdogo wangu, kaombe msamaha, nina uhakika Watanzania wanamapinduzi watakuelewa. Jifunze kwa kina Wassira,....walipotea lakini baadaye walirudi. nje ya ssm wasirra asingekuwa alipo leo, nje ya cdm zitto you are just lost my young bro.
hivi kweli wewe zitto of all the people leo hii umekuwa ni wa kugombana na upinzani Tanzania badala ya kugombana na ssm????????!!!!!!! kweeeeli zitto?????!!!! unajipoteza kamandaaaa, daaaah!!! inaniuma sana!!!
Yaani miongoni mwa watu waliosema yaloyo ya moyoni ni ww but it is too late, though not such much late! Zitto kinachomwalibia ni kiburi na dharau kwa wakubwa na wadogo. Only those!
Last edited by a moderator: