Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,608
- 4,265
Sasa si kasema ziada hachukui au ulitaka hata haki yake agomee??!!!
Kama hachukui hiyo 'ziada' atawezaje 'kuipeleka' huko anakodai ataipeleka (bila kuichukua)?
Sasa si kasema ziada hachukui au ulitaka hata haki yake agomee??!!!
taratibu mkuu zitto hakufukuzwa, zitto alijiuzuru hivyo malipo ni halali yake. kama nahisi alifukuzwa leta ushahidi
Mbona mnalialia?Zitto kabwe hajafukuzwa ubunge kilaza ww!fuatilia mambo ndo uje hapa!
Zitto anakataa posho kwa mkono wake wa kulia na kupokea fedha za escrow kwa mkono wake wa kushoto.
Amezikataa m 238?
akiwa anatoa msaada atasema zimetoka wapi?lazima atajibu kwenye mafao yangu au?anatafuta sifa kwa fedha anazoziita haramu.
Wengine tumechoka kudanganywa.alisema mwenyewe msituamini wanasiasa,ni kweli waongo kwa asilimia 100.
Kama hachukui hiyo 'ziada' atawezaje 'kuipeleka' huko anakodai ataipeleka (bila kuichukua)?
Mbona unalialia wewe.Huyu ni bora sababu hata amelizungumzia lkn hao wanaojiita kambi rasmi ya upinzani wamenyamaza kama hakuna kitu. Lakini naomba ni washauri watanzania kama unataka mabadiliko acha kufikiria serikali,chama cha siasa wala mtu binafsi chukua hatua wewe mwenyewe. Naomba kuwasilisha
Huu ndio uzalendo
jamani hamjamuekewa zzt,kasema fedha zoto za ziada.
sasa kwenye hiyo amount ya 238 atuambie za ziada ni ngapi?
Au hizo 238 zote ni za ziada ??
zitto you can fool some people some time but you can't fool all the all the times.
kawadanganye mwandiga na lwiche sio humu.
Posho hizo ni kwa mujibu wa sheria so atapokea maana ni mafao kwa mujibu wa sheria ......awadanganye wajinga , zile za posho alisema hatapokea mara atapelekea kwenye NGO yake huko Kigoma , muulizeni ziko wapi ? NGO yake ilipokea ngapi? Mnafiki sana huyu ....
Aswaaaa hapo umenene kanjanja ZZK kwa kukwapua vihela vya mitaani hajambo, zizazojulikana anazikwepa makusudi aonekane anajari sana wananchi kumbe nyoka wa makengeza no.2Zitto anakataa posho kwa mkono wake wa kulia na kupokea fedha za escrow kwa mkono wake wa kushoto.