Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,165
Kama anaona hastahili hiyo hela kwa nini asikatae moja kwa moja? Eti haki yangu nitachukua inayobaki nitasaidia vituo! yaani hela unayoiita haramu unaenda kuchukulia umaarufu? Hiyo mimi naita ameipokea, wajinga tu ndo watakubaliana naye! Hela ile inalipwa kwa hundi sasa ikipitia kwenye akaunti yake si ameipokea huyu?