Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Ngoja wawakate tu, itakuwa kama vile mieleka ya wawili wawili kisha jamaa aliye ndani anasubiri apewe mkono ili aliye aongeze nguvu! Hawa jamaa wakitoka lupango bunge lijalo pata chimbika na hivi serikali imefulia ndiyo itahenyeshwa kama mtoto.