bigilankana
Senior Member
- Dec 15, 2009
- 144
- 4
Si vibaya kutoka professional nyingine na kuingia katika siasa kama unawito na unapenda siasa. Hi haina tofauti sana na mtu kuhama kazi toka kampuni moja kwenda nyingine. Lakini kitendo cha Zitto kusema siasa sio chaguo lake la kwaza si kauli nzuri kama kweli aliitamka. Kauli hii inaonyesha anaibeza kazi iliyompa umaarufu pengine kwasababu sasa inamshusha umarufu huo.Kutokana na mwandishi hapo juu, kama kweli Zitto anataka kuacha siasa wala asisite kujiuzuru, wapo watu wengi sana wanaotaka nafasi hiyo atakua ametoa nafasi mhimu kwa watanzania wengine kushirika katika siasa. Namshauri hiyo barua aliyoandika aiwakilishe mapema tu na hakuna atakae mlazimisha kugombea tena.
Zitto hatawapa mnachotaka.