Zitto ajutia kuingia kwenye siasa?

Haya jamani wana Jf, jana na leo katika shirika la habari TBC1 kipindi cha jambo Tanzania Zito amekiri kuwa siasa halikuwa chaguo lake la kwanza, kwa maana hii mi natasfiri kwamba ni mamluki wa siasa, na anasema kuwa siasa hailipi anatamani kutoka lakini anashindwa.

Na amekiri kuwa ni kweli ameandika barua ya kujiuzulu ila tatizo ni kuwasilisha barua. Mambo mengi ameongea, ambayo amenishangaza lakini tutamchambua siku nyingine.

Kwa maana hii basi, wanasiasa wengi ni mamluki na ndo maana tunashindwa kufanya siasa.

uNATAKA UMCHAMBUE MARA NGAPI?

Ameongea sahihi na hayuko pekee
 
Haya jamani wana Jf, jana na leo katika shirika la habari TBC1 kipindi cha jambo Tanzania Zito amekiri kuwa siasa halikuwa chaguo lake la kwanza, kwa maana hii mi natasfiri kwamba ni mamluki wa siasa, na anasema kuwa siasa hailipi anatamani kutoka lakini anashindwa.

Na kama amekiri kuwa ameandika barua ya kujiuzulu ila tatizo ni kuwasilisha barua. Mambo mengi ameongea, ambayo amenishangaza lakini tutamchambua siku nyingine.

Kwa maana hii basi, wanasiasa wengi ni mamluki na ndo maana tunashindwa kufanya siasa.

Binafsi mimi sikufuatilia kipindi hiki, lakini kama anasema tena on public kwamba maamuzi ya vikao yalikuwa batili huyu kijana si makini, anahitaji kumaliza matatizo yake ndani ya vikao vyao. lakini kama karudia tena kauli zake amefanya makosa makubwa, watanzania walifanya makosa sana kumwamini huyu dogo kama mwanamapinduzi wa kweli - nafikiri hizi njaa bado ni tatizo kubwa hasa kwa wanasiasa vijana.

Hata kama umetofautiana na viongozi wako kwa namna yoyote ni mwiko kusema mambo ya siri ya chama nje, ni sawa na kusema siri na mkeo kikojizi mbele za kadamnasi inakuwa aibu ya nani? hii ni miiko ya kisiasa. kwa nini msimalize matatizo yenu humo ndani ya chama chenu? kutuambia sisi mambo yenu ndiyo tuone wewe unaonewa?

Fuaten nyayo za wanasiasa wavumilivu, uanasiasa si kuagiza kitimoto na bia baridi, kuna mifano bora mizuri ya kuiga kwa wakongwe walivyofanyiwa na chama chao
a) Mzee malechela asingekuwa mvumilivu asingekuwa hapo alipo, kwa kukatwa jina lake baada ya kazi ngumu kuzunguka nchi nzima mzee wa watu kutafuta wadhamini kungombea urais.

b) Mzee Salim asingekuwa mvumilivu asingekuwa hapo alipo baada ya kusemwa yeye ana damu ya uarabu......si mtanzania wakati kashika nyadhifa kubwa sana serikalini ya Umoja wa Nchi huru za kiafrika akitokea tanzania.

Wapo wengi tu, Zitto ndugu yangu mimi nilifikiri hutaongea tena on Public sasa umerudia kosa tena? sasa kutembea na barua mfukoni kuna maanisha nini? office za CHADEMA umezisahau zilipo kwa nini usiipeleke? au unangoja wakuite wakuulize tuhuma zako?. We unakijua CHADEMA vizuri hawatakuita ng'oo na hiyo barua itachakalia mfukoni kwako kama hutaki kuipeleka. wale jamaa wata kuignore utakuwa upoupo tu pale ofisini unazunguka.

Watu tayari washaanza kukuweka kundi moja na Mrema usipokuwa makini nduguyangu siasa ndiyo baba jeni bye bye.
 
Nimemuona zito akihojiwa TBC 1 leo asubuhi na kwa kweli sasa naamini yaliyotangulia kuelezwa,si mkweli!!
Anadai siasa sio chaguo lake la kwanza lakini anataka uenyekiti wa chama,for what?
Anapinga maamuzi ya vikao halali vya vyama hadharani wakati yeye ni kiongozi,anapotumia maneno "sikubaliani na maamuzi".
Zito ameshakuwa big headed and I believe he is going heading for a fall.
Wananchi hasa wapenda mabadiliko wanasononeka sana na kauli za Zito na masononeko yao ndio itakuwa laana kwa Zito

Mimi binafsi sijawahi kumkubali kabisa Zitto kama mtu wa maana wa kuweza kumfanyia hata "reference" kuwa kaongea jambo la maana. Mimi naona kinachochangia umaarufu wake ni jina lake lakini mengineyo.... unajua kuna majina nchi hii yamewahi kushabikiwa sana katika kada mbali mbali lakini ukikaa chini unakuta zero tu! Nimejaribu sana hata kujilazimisha lakini amini usiamini sioni kitu kabisa kwa Zitto!
 
Binafsi mimi sikufuatilia kipindi hiki, lakini kama anasema tena on public kwamba maamuzi ya vikao yalikuwa batili huyu kijana si makini, anahitaji kumaliza matatizo yake ndani ya vikao vyao. lakini kama karudia tena kauli zake amefanya makosa makubwa, watanzania walifanya kosa sana pia kumwamini huyu dogo kama mwanamapinduzi wa kweli - nafikiri hizi njaa bado ni tatizo kubwa hasa kwa wanasiasa vijana.

Hata kama umetofautiana na viongozi wako kwa namna yoyote ni mwiko kusema mambo ya siri ya chama nje, ni sawa na kusema siri na mkeo kikojizi mbele za kadamnasi inakuwa aibu ya nani? hii ni miiko ya kisiasa. kwa nini msimalize matatizo yenu humo ndani ya chama chenu? kutuambia sisi mambo yenu ndiyo tuone wewe unaonewa?

Fuaten nyayo za wanasiasa wavumilivu, uanasiasa si kuagiza kitimoto na bia baridi jamani, kuna mifano bora mizuri ya kuiga kwa wakongwe walivyofanyiwa na chama chao
a) Mzee malechela asingekuwa mvumilivu asingekuwa hapo alipo, baada kukatwa jina lake baada ya kazi ngumu kuzunguka nchi nzima kutafuta wadhamini.

b) Mzee Salim asingekuwa mvumilivu asingekuw.a hapo alipo baada ya kusemwa yeye sijui ana damu ya uarabu......

Wapo wengi tu, Zitto ndugu yangu mimi nilifikiri hutaongea tena on Public sasa umerudia kosa tena? sasa kutembea na barua mfukoni kuna maanisha nini? office za chadema unazijua kwa nini usiipeleke? au unangoja wakuite wakuulize tuhuma zako?. We unakijua chadema vizuri hawatakuita ninachokiona kazi yako itangumu zaidi na umeanza kuisha polepole.

Unaweza kuwekwa kundi moja na Mrema usipokuwa makini nduguyangu

Ushauri mzuri. Utamfaa.
 
Kwani nani amesema kuwa siasa ni kazi?? Mbona hata watu wa aina hii ndio wanafanya siasa zetu kuwa mbaya kama hivi
 
Nimemuona zito akihojiwa TBC 1 leo asubuhi na kwa kweli sasa naamini yaliyotangulia kuelezwa,si mkweli!!
Anadai siasa sio chaguo lake la kwanza lakini anataka uenyekiti wa chama,for what?
Anapinga maamuzi ya vikao halali vya vyama hadharani wakati yeye ni kiongozi,anapotumia maneno "sikubaliani na maamuzi".
Zito ameshakuwa big headed and I believe he is going heading for a fall.
Wananchi hasa wapenda mabadiliko wanasononeka sana na kauli za Zito na masononeko yao ndio itakuwa laana kwa Zito

Ushafika kigoma kamanda? mi nilibahatika kukaa kwa muda miaka ya nyuma kidogo watu wa kule bwana wana sifa kubwa ya ubishi

Kuna wakati walitaka hata kuunda dola yao sababu eti wanabaguliwa kimaendeleo- ndo maana mwalimu aliwapa adhabu.

Jamaa ni wabishi hao - hawashauriki na wanajua kila kitu, fanya utafiti utaniambia - ndiyo haya hapa.
 
inaelekea zitto kachoka na siasa ni bora aondoke mapema kuliko kufanya kazi ambayo yeye binafsi haipendi
 
inaelekea zitto kachoka na siasa ni bora aondoke mapema kuliko kufanya kazi ambayo yeye binafsi haipendi

Siasa anaipenda sana, ila kajichanganya mwenyewe. sasa yanamshinda ndiyo maana anakimbilia kusema kwa Public aone upepo utavuma vipi.
 
Dah,sijui nimpe nani pole,CHADEMA,Zito,Kigoma Kaskazini au Watanzania.
Poleni wanasiasa na wananchi,Mungu awape ujasiri na uwezo wa kung'amua mambo ili Uchaguzi wa October mfanye maamuzi sahihi.
 
Siasa anaipenda sana, ila kajichanganya mwenyewe. sasa yanamshinda ndiyo maana anakimbilia kusema kwa Public aone upepo utavuma vipi.

Nilisema sitaingilia sana mambo ya Zitto lakini ni vigumu sana kumkwepa zitto kama unaipenda tanzania...

Naona sas amekuwa classic case ya "mild grandosity" --- amalize shule aje afundishe basi! Hayo ya CHADEMA sijui.......
 
Sasa kama nakiri kwamba siasa sio chaguo lake la kwanza kwanini basi asiende kwenye chaguo lake la kwanza?
 
Wewe remmy utakuwa ni mchaga(you seems to be pro-Mbowe)

haijalishi tutamchukia Zitto kwa viwango gani,lakini ukweli unabaki kuwa ndani ya CHADEMA hakuna kichwa kama ZITTO KABWE.kiakili,kibusara,mitazamo chanya,organization,mikakati na hata mipango.

Muulizeni Mbowe alivyojikuta anakimbilia kwa wazee baada ya kuona nafasi yake ya kuchukua uenyekiti wa CHADEMA dhidi ya Zitto haiwezekani......

Mimi sio mpenzi wa CCM ila napata uchungu sana ninapoona Chadema kinapewa credits kisichostahili.damn it
 
Huyu amejichanganya sana katika maamuzi yake. Nakumbuka alishasema anatarajia siku moja kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Du kama ubunge unamshinda kweli ataweza kuwa Rais? Inabidi tuangalie watu tunaowapa majukumu ya kuliongoza Taifa. Taifa hili linahitaji watu wenye sifa Zifuatazo (Seven traits associated with leaderships)
Drive
Desire to lead
Honest and Integrety
Self confidence
Intelligence
Job relevant knowledge
Extraversion
He has to look back on his shoulders
 
Huyu amejichanganya sana katika maamuzi yake. Nakumbuka alishasema anatarajia siku moja kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Du kama ubunge unamshinda kweli ataweza kuwa Rais? Inabidi tuangalie watu tunaowapa majukumu ya kuliongoza Taifa. Taifa hili linahitaji watu wenye sifa Zifuatazo (Seven traits associated with leaderships)
Drive
Desire to lead
Honest and Integrety
Self confidence
Intelligence
Job relevant knowledge
Extraversion
He has to look back on his shoulders

It is second choice... Period!!!
 
Huyu amejichanganya sana katika maamuzi yake. Nakumbuka alishasema anatarajia siku moja kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Du kama ubunge unamshinda kweli ataweza kuwa Rais? Inabidi tuangalie watu tunaowapa majukumu ya kuliongoza Taifa. Taifa hili linahitaji watu wenye sifa Zifuatazo (Seven traits associated with leaderships)
Drive
Desire to lead
Honest and Integrety
Self confidence
Intelligence
Job relevant knowledge
Extraversion
He has to look back on his shoulders

Yeye kashapoteza trust kwa watanzania na kwa chama chake, kwa hiyo hafai hata kuwa mwakilishi wa jimbo.
 
Mara nyingi watu tunawekeza kule tunakokupenda ila ni vizuri zaidi tukawekeza kule tunakokuweza.

Kimsingi hatujui ni sifa zipi zinatakiwa ili kuwa wanasiasa.
 
Mara nyingi watu tunawekeza kule tunakokupenda ila ni vizuri zaidi tukawekeza kule tunakokuweza.

Kimsingi hatujui ni sifa zipi zinatakiwa ili kuwa wanasiasa.

Sikubaliana na hoja yako Mkuu, ukiwekeza unakokupenda hatimaye ni kuja kuweza hiyo fani. Hakuna mtu anayefanikiwa kwenye fani kwa sababu tu anaiweza kuifanya kikamilifu fani husika, lakini wakati huo huo haipendi hiyo fani.
 
Huyu amejichanganya sana katika maamuzi yake. Nakumbuka alishasema anatarajia siku moja kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Du kama ubunge unamshinda kweli ataweza kuwa Rais? Inabidi tuangalie watu tunaowapa majukumu ya kuliongoza Taifa. Taifa hili linahitaji watu wenye sifa Zifuatazo (Seven traits associated with leaderships)
Drive
Desire to lead
Honest and Integrety
Self confidence
Intelligence
Job relevant knowledge
Extraversion
He has to look back on his shoulders

Lakini hamumpi kijana a breathing space; its none stop Zitto Zitto Zitto kibaya zaidi mazuri na mabaya inabidi aji defend mwenyewe.

Chama chake akimsaidii na watanzania wanataka majibu; tofauti na viongozi wengine wenye watu chungu mtele wa kuwasaidia kujibu saa zingine.

Hii ni more than too much to swallow for a young MP give the dude a chance na Chama chake inabidi kijifunze kumtetea au kimpe altimutum ya political career either aondoke au kubali desturi yao. Uchaguzi auko mbali na huu si muda wa kulambana kwenye public ni damage kwa chama.

Kama anabaki kama anavyosema awe na timu kama wengine so far anaonekana yupo kwenye lost path career wise ana ajui aelekee wapi.
 
Back
Top Bottom