notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 453
una copy na ku pest sifa zinazowahusu..ACT ni nyumba ndogo ya CCM.. UDINI; UKANDA; na UKABILA NDIZO SERA ZAO!
Mbona unapanick kaka!
Hapo ujue jamaa anacheza karata zake na huna cha kumfanya, in fact amewa-check mate!
Whats CHDEMAs next move?
NOTHING!
DUH.. HATA RAIA MWEMA LEO LIMEGEUKA UDAKU..Hivi ww mbona huwezi kushirkisha hata ubongo wako unapopost kitu hapa hilo gazeti nalo unaweza ukamini udaku wake?
Hivi Mrema hagombei uraisi??
DUH.. HATA RAIA MWEMA LEO LIMEGEUKA UDAKU..
poor chadema fellas, as the time winds up mtajikuta mmebaki peke yenu kama wachawi, kila mtu kwenu ni mmbaya. tatizo zaidi ni kwamba....... mnataka kusifiwa na kudanganywa tuuu lakini mkiambiwa ukweli mnasanda
una copy na ku pest sifa zinazowahusu..
udini mnupractice ninyi, ukanda mnajua kanda mnayotoka na ukabila..... you are CHAGABOYS FO REAL
una copy na ku pest sifa zinazowahusu..
udini mnupractice ninyi, ukanda mnajua kanda mnayotoka na ukabila..... you are CHAGABOYS FO REAL
sijali na wala sijisumbui kuufikiria ushauri wako. Naamini kwa dhati kabisa kuwa.....''hakuna ushauri wa maana utakaotoka kwa mtu wa chadema''act itaimarishwa na watu wenye mentality kama hii yako? Mwenzako dotto c rangimoto amebadili approach yake yakuieneza act. Haitukani chadema kwa id yake vwrified. Ameona impact. Sasa wewe endelea kuojenga act kihuni uone
CHADEMA tunafanya uchaguzi wetu wa ndani, hatuna muda wa kuwajadili maccm na mamluki wao
ahsante kwa taarifa.
una copy na ku pest sifa zinazowahusu..
Udini mnupractice ninyi, ukanda mnajua kanda mnayotoka na ukabila..... You are chagaboys fo real
kinachonichanganyau wapambe wa ccm ndio haohao wapambe wa act,kiasi nashindwa kutofautisha wapi ccm wapi act.
chama cha waha tupu. Kabla hata ya uchaguzi washasema m.kiti anatoka kigoma na ni muha. Je hapo kuna chama au ni saccos ya waha a.k.a actaha. Waliyojifanya wanayakimbia ndo wanayatenda kuliko huko walikotoka. Ptuuuuuuuuuuu, tz kila upuuz unawazekana. Mimi katika maisha yangu huwa simwamini mhaha ni vijeujeu na wasaliti wabinafsi wapenda sifa mno.
umeniwahi mkuu... Hili ndilo swali nililotaka kuuliza na mimi.
bado nafanya utafiti sijapata jibu kwamba ni kwanini wanaccm walio wengi wanaipenda na kuishangilia sana act hasa wafuasi wa ccm mitandaoni!!!!!
talk of chama cha ukanda.....hiki ndo chama cha ukanda haswa.
Chama kipo kigoma tu baaaasiiii.
fanyeni uchaguzi wenu wa kichaga .mrema
sijali na wala sijisumbui kuufikiria ushauri wako. Naamini kwa dhati kabisa kuwa.....''hakuna ushauri wa maana utakaotoka kwa mtu wa chadema''
Atagombea urais wa Chama cha wenye Kisukari Kirua-Vunjo