Zitto aitesa CHADEMA

Zitto aitesa CHADEMA

Wasomi hao nao niwanafiki kama Zitto mwenyewe waondoke wote tubaki na COM yetu
 
Lumumba unachukua elfu 7, ACT unachukua bang!
 
Kilichokiua chadema ni ukanda udini na ukabila full stop.

ACHA KUPOTEZA MUDA WAKO KUPAMBANA NA CHADEMA,NENDA DODOMA UKACHUKUE UFUNDI WA KUZUIA GESI ISITOKE MTWARA




Mkuu wa Wilaya ya
Chemba, mkoani Dodoma Francis
Mtinga amelazimika kuwapa wazee
wa kimila kondoo wawili kwa ajili ya
tambiko la kuwaondoa nyoka
wanaodaiwa kuzuia miradi ya
maendeleo.
Akizungumza kwa simu jana, Mtinga
alisema uamuzi wa kuwatoa kondoo
hao ulifikiwa baada ya kubaini kuwa
makandarasi wanaofanya kazi
wilayani humo wamepunguza kasi
kutokana na kuhofia nyoka
wanaoaminika kuwa wa kishirikina.
Alisema makandarasi wanaochimba
mashimo kwa kusimika nguzo za
umeme wamekuwa wakikumbana na
nyoka, huku wale wanaofukia
mabomba ya maji wakijikuta katika
wakati mgumu baada ya mabomba
hayo kupasuka kila wanapoyafukia
ardhini.
Mtinga alibainisha kuwa wazee
wanaolalamikiwa kusababisha vioja
hivyo wanadai kwamba baadhi ya
miradi inayotekelezwa na Serikali
inapita katika maeneo yao ya
kutambikia, hivyo walitoa sharti
kuwa ili miradi iendelee lazima
wapewe kondoo.
“Wao walikuwa wanataka
tuwatambue, nimeongea nao,
nimewatambua. Nimewapa kondoo
wamechinja tena walikula bila
chumvi. Huwezi kupuuza haya
mambo, maana vibarua wamegoma
kufanya kazi wanaogopa nyoka, sasa
kazi inaanza kusuasua,” alisema
Mtinga na kuongeza:
“Ni muda mrefu mabomba yalikuwa
yanapasuka, watu walikuwa
wanalalamika kuwa waliondolewa
kupisha ujenzi wa mabomba hayo
bila kupewa fidia na wakasema
watahakikisha yanaendelea
kupasuka. Sasa tumewapa
walichokuwa wanataka tuone
sayansi yao itaishia wapi.”
Pia alibainisha kuwa ingawa Serikali
haiamini katika uchawi, historia
inaonyesha kuwa wazee hao
waliwahi kukwamisha mambo
kadhaa ya kimaendeleo baada ya
kukataliwa kupewa kitu
walichokuwa wanakitaka na
kwamba mpaka sasa mambo hayo
hayajapatiwa ufumbuzi.
Kwa upande wao wananchi
wanaoishi katika maeneo ambako
mradi wa mabomba ya maji umepita,
wamekuwa wakiilalamikia Serikali
kuwa haikuwalipa fidia, hivyo
kuahidi kufanya kila njia
kukwamisha mradi huo.
Akizungumza wakati wa kutia saini
mikataba ya ujenzi wa mifumo wa
usambazaji maji katika vijiji vitano
vya wilaya hiyo juzi, Mwenyekiti wa
Halmashauri ya Chemba,
Mweshimiwa Rajab alikaririwa na
televisheni moja akiwataka
makandarasi kwenda haraka
kuwaona wazee hao ili kunusuru
miradi hiyo isikwamishwe.
Kaimu Mhandisi wa Maji wa Wilaya
ya Chemba, Robert Mganga
akizungumza kupitia televisheni hiyo
juzi, alisema imani za kishirikina
zinakwamisha utekelezaji wa miradi
ya maendeleo katika wilaya hiyo...
“Kila wanapochimba shimo badala ya
kufukua mchanga wanafukua
nyoka,” alisema.
Hata hivyo, Mkurugenzi Mtendaji wa
Wakala wa Nishati Vijijini (Rea), Dk
Lutengano Mwakahesya alisema jana
kuwa ofisi yake haiamini katika
ushirikina na kwamba mkandarasi
yeyote atakayeshindwa kufanya kazi
kwa kisingizio cha ushirikina
atawajibishwa.
“Sisi tunachojua wakati wa kazi
wanaweza kukutana na mwamba au
jiwe gumu. Rea hawaamini hizo
imani, wananchi wanataka umeme
na siyo kitu kingine, kama mhandisi
akishindwa kutekeleza mradi
tutamtoza faini,” alisema.
 
Viongozi taifa wa CHADEMA wajiandaa kukihama kumfuata ZITTO KABWE ambaye yuko mbioni kutangazwa kuwa Mwenyekiti wa ACT taifa. Wasomi wa vyuo vikuu wameunga mkono hatua ya ZITTO kuamua kwenda ACT na kuahidi kumpa ushirikiano kwa maendeleo ya Taifa.
Viongozi wa CHADEMA na hasa Wabunge vijana ambao wataondoka CDM na kujiunga na ACT , kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutotajwa majina yao wamesema kinachosubiriwa ni kumalizika kwa Bunge maalum la Katiba na kusisitiza kuwa mpaka mwezi februari mwakani watakuwa wameshatimiza azma yao ya kumfuata kijana ZITTO KABWE ambaye wanaamini ni mzalendo wa kweli, mpenda maendeleo na mtu mwenye kupenda kuona demkorasia ya kweli ndani ya vyama vya siasa.

Democracy ya kweli haiji kwa kusupportiwa na mafisadi bali uzalendo wa kweli kusimama imara. Unafiki, rushwa, usaliti hata siku moja havileti umoja, wala democracy, wala ukombozi. ACT na zito yake kama walivyopambwa kwenye toilet paper za SAUTI HURU na TAZAMA ni kuwa haya yote ni ajenda za wanaowafadhili kujaribu kuhadaa uma na kusahau kuwa Watanzania wana uelewa kupindukia.
Waandishi wa habari kanjanja wa Magazet haya sijui walisomea wapi na naona ndio wanaonufaia na fedha za mafiadadi wanaompa Zitto na wasaliti wenzake ili tu kupindisha democracy na wenyewe wabaki wakijinufaisha kupitia migongo ya watanzania. Hata siku moja ACT hakitakua na hakitajaribu kuwatosa mafisadi wanaowasupport. ZItto Kambe na allies wake mnajulikana kwa hujuma zenu na mikakati ovu ya mauaji na usaliti. Na ndio maanda mnasifiwa na popo wa Lumumba wanaopewa vijisent na Mafisadi huku wakiuza utu wao na kusahau wanaoelekea na maisha ya watanzania. Naona pia Raiya Tanzania wameanza muvie zao wakisahau wajibu wa kufania habari zao uchunguzi wa kutosha na kuhabarisha umma unaokandamizwa na mifubo ya unyonyaji ya mafisadi wa CCM na Wawekezaji uchwara. Hata wakimfuata Zitto, wana safari ndefu isiyo na mafanikio. Wanaomfuata Zitto ni wa aina hiyo hiyo ya tamaa za fedha, na wachmia tumbo kma kitila na Mwigamba na hawafai kuwa wapambanajI VS UDHALIMU WA CCM na serikali yake
.
 
Hawa ACT ni sawa na Chungu tu hawana macho ya kung'amua mbele kuna nini, wanafaidi makapi kutoka CCM wakashiba leo ila hawaoni wanakoenda. CCM inakapo wabwaga chini kama mbung'o wafanyavyo kwa nzi, au catle greeter anapokuwa rafiki wa mifugo wakati akiwa anajua anakula tu na giza likiingia wanasepa ndo CCM itakavyowafanya Hawa ACT. hawajielewi na hawaelewi wanafanya nini. Kama ni transparence, wanapata fedha wapi? kwa nini wasifanye uchaguzi wa Mwenyekiti na katibu mkuu kidemocrasia na kuacha hekaya za kuwema wanamtaka Msaliti Zitto? Na hapa ndo migogoro inaandaliwa within a year mtashuhudia wenyewe. ACT transparence ya kichina na imechakaa.
 
Udini,ukabila,ukanda na uroho wa madaraka ni vitu hatari sana kwa maendeleo ya cdm,wasipoviacha watazidi kudidimia cku baada ya cku

Kwahiyo umeenda ACT kumfuata Zitto kwa kabila lake, dini yake na uroho wake wa madaraka? Inamaana wengine hawafai kuwa wenyeviti ila yeye tu? Kwa nini cheo kimgoje yeye tu?
 
Hawa ACT ni sawa na Chungu tu hawana macho ya kung'amua mbele kuna nini, wanafaidi makapi kutoka CCM wakashiba leo ila hawaoni wanakoenda. CCM inakapo wabwaga chini kama mbung'o wafanyavyo kwa nzi, au catle greeter anapokuwa rafiki wa mifugo wakati akiwa anajua anakula tu na giza likiingia wanasepa ndo CCM itakavyowafanya Hawa ACT. hawajielewi na hawaelewi wanafanya nini. Kama ni transparence, wanapata fedha wapi? kwa nini wasifanye uchaguzi wa Mwenyekiti na katibu mkuu kidemocrasia na kuacha hekaya za kuwema wanamtaka Msaliti Zitto? Na hapa ndo migogoro inaandaliwa within a year mtashuhudia wenyewe. ACT transparence ya kichina na imechakaa.

Mwenye mali ana rudishiwa mali yake.
 
Chama cha ukabila na ukanda actaha aka kigoma mwisho wa reli. Eti kabla uchaguzi huru na wademokrasia kama wanavyojinadi hawa wasaliti tayari washamtangaza mwenyekiti kuwa anatoka kigoma kwa wahaya. Wabinafsi na waroho wakubwa hawa. Mshindwe kwa Jina.la Yesu ktk ulaghai wenu wa nchi hii. Na hakika hamtasarvive.

Umekosea Mkuu, Kigoma Siyo Kwa Wahaya, Kuna Waha.. Hebu Omba Radhi.
 
Back
Top Bottom