Talk of chama cha ukanda.....hiki ndo chama cha ukanda haswa.
Chama kipo Kigoma tu baaaasiiii.
Hujui siasa au unaufaham mdogo.ulitegemea chama kichepuke na kupendwa nchi nzima kama ilivyo kwenye vyama vingine lazima kuwe na sehemu chama kitakubalika haraka kuliko ukanda mwingine.CDM hadi Leo wanapamba kupata nguvu ukanda wa pwani ambao CCM na CUF wanapeta.wakati Kilimanjaro na Arusha hakuna CUF.