wananchi wa kaskazini mwa tanzania
Mbona unapanick kaka!
Hapo ujue jamaa anacheza karata zake na huna cha kumfanya, in fact amewa-check mate!
Whats CHDEMAs next move?
NOTHING!
Kuondoka ZITO CDM ni pigo kubwa sana
.nasemaga kila siku..
the man ZZK is too clever,too smart and too genius when compared to chagaboys. hizi habari zimeandikwa kwa kina kabisa gazeti la leo la RAIA MWEMA. ni swala la kusubiri kabla jeneza la chadema halijapitishwa mitaani wakiomba fedha za rambirambi za msiba wa marehemu chadema
ACT ni nyumba ndogo ya CCM.. UDINI; UKANDA; na UKABILA NDIZO SERA ZAO!Zitto ni jiwe kuu la pembeni lililowashinda waashi
Zitto Namkubari Ila Siyo Act
Viongozi taifa wa CHADEMA wajiandaa kukihama kumfuata ZITTO KABWE ambaye yuko mbioni kutangazwa kuwa Mwenyekiti wa ACT taifa. Wasomi wa vyuo vikuu wameunga mkono hatua ya ZITTO kuamua kwenda ACT na kuahidi kumpa ushirikiano kwa maendeleo ya Taifa.
Viongozi wa CHADEMA na hasa Wabunge vijana ambao wataondoka CDM na kujiunga na ACT , kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutotajwa majina yao wamesema kinachosubiriwa ni kumalizika kwa Bunge maalum la Katiba na kusisitiza kuwa mpaka mwezi februari mwakani watakuwa wameshatimiza azma yao ya kumfuata kijana ZITTO KABWE ambaye wanaamini ni mzalendo wa kweli, mpenda maendeleo na mtu mwenye kupenda kuona demkorasia ya kweli ndani ya vyama vya siasa.
Chama cha ukabila na ukanda actaha aka kigoma mwisho wa reli. Eti kabla uchaguzi huru na wademokrasia kama wanavyojinadi hawa wasaliti tayari washamtangaza mwenyekiti kuwa anatoka kigoma kwa wahaya. Wabinafsi na waroho wakubwa hawa. Mshindwe kwa Jina.la Yesu ktk ulaghai wenu wa nchi hii. Na hakika hamtasarvive.
vilago vitaondoka, CDM watabaki na MBOWE na SLAA pekee?
kwa kuanzisha Chama kingine hakika itajidhirisha wazi zito alikuwa na anatumiwa na CCM. ndio maana haongelei ESCROW Account ingawa yeye ndio Mwenyekiti wa PAC?Viongozi taifa wa CHADEMA wajiandaa kukihama kumfuata ZITTO KABWE ambaye yuko mbioni kutangazwa kuwa Mwenyekiti wa ACT taifa. Wasomi wa vyuo vikuu wameunga mkono hatua ya ZITTO kuamua kwenda ACT na kuahidi kumpa ushirikiano kwa maendeleo ya Taifa.
Viongozi wa CHADEMA na hasa Wabunge vijana ambao wataondoka CDM na kujiunga na ACT , kwa nyakati tofauti kwa masharti ya kutotajwa majina yao wamesema kinachosubiriwa ni kumalizika kwa Bunge maalum la Katiba na kusisitiza kuwa mpaka mwezi februari mwakani watakuwa wameshatimiza azma yao ya kumfuata kijana ZITTO KABWE ambaye wanaamini ni mzalendo wa kweli, mpenda maendeleo na mtu mwenye kupenda kuona demkorasia ya kweli ndani ya vyama vya siasa.
Inaelekea nawe ni kizee cha CDM, vijana waliacha bangi zamani sana.hizi bangi ni mbaya sana
CDM itabaki kuwa chama cha senile old men, a.k.a. Dr Slaa, Mtei et al.Khaa!!! " Zitto ni mwanasiasa mahiri na mwenye akili nyingi" - Dr Mtei ( Mmoja wa waasisi wa chadema)
yaani mkuu nilipoteza muda wangu mwingi sana kukashabikia haka kajamaa hasa wakati wa ile saga la Buzwagi, yaani nikakaona ni kama kana-mageuzi ka kweli - lah kumbe ni kachumia stomach tu.Mkuu hivi ni vichekesho! Kama yeye kidume sii angefuta kesi yake ili ile hukumu ya kufukuzwa itekelezeke! Huku anataka na kule anataka ndio nini sasa? Halafu fa.la mmoja anakuja kusema hapa eti anaitesa Chadema! Sii aondoke basi! Huo ubunge wake ni wa Chadema lakini hawezi hata kukanyaga ofisi za Chadema hivi haoni aibu? Ni sawa na mke aliyekwenda mahakamani kupinga talaka na ikazuiwa kutolewa lakini mume hampi chakula cha usiku maana keshamuacha.
Uchawi wake apeleke hukohuko Mwandiga.