Zitto aitaka serikali kutangaza njaa nchini

Zitto aitaka serikali kutangaza njaa nchini

"Serikali haina chakula cha msaada, nchi ni ya kijani." - JPM

Hivi mbona nyie Watanzania ni wagumu sana kuelewa?! Mshaambiwa hakuna chakula cha bure bali mfanye kazi, bado mnataka serikali iwatangazie!? Iwatangazie nini?!
Itangaze "hakuna chakula nchi ni ya kijani"
 
unga wa sembe na dona tayari umefikia sh.1600 kwa kg moja. hadi mwezi wa tatu utauzwa kwa sh.1800-2000.nyie fanyeni utani tu kwenye ukweli. kunawengine humu tangu wazaliwe neno njaa hawalijui,na huyo mnaemtetea mwenzenu kila kula kitu analetewa, na mkilalamika atawaambia acheni uvivu wakati nchi ina rangi ya chama chake.
 
Haya yote unayosifia kufanyqa na kikwete 80% ni pressure ya wabunge na nje ya bunge ni pressure ya upinzani na wanaharakati. Ila ukitaka kuoka ana kigugumizi ona alivyoshughulikia issue za epa,richmond,escrow n.k ndo utagundua kikwete alikuwa hawezi maamuzi magumu yote aliyafanya kwa pressure ya upinzani. Hta mawaziri wengi kutimuliwa ni baada ya ripoti za PAC kusomwa bungeni na kutishia kumng'oa waziri mkuu ndo kikwete anakuja mwishoni anasimamisha mawaziri tena kwa kigugumizi kma siku ile alipomsimamisha tibaijuka akasema eti "uwapishe kidogo maana maneno mengi" sasa hapo huoni alikuwa ana-act kwa pressure ila alikuwa hana nia ya dhati moyoni ya kushughulikia ufisadi.


Wewe hujui Siasa zinaendeshwaje!!

Zitto alipewa PAC na Kikwete na hata taarifa Nyeti za kifisadi alikuwa akipewa na Kikwete ili kuwachomoa wasiohitajika!

Unajua kwanini Jk alimuacha Prof Issa Shivji aliekuwa akitajwa sana kwny Tume ya Katiba na kuwapa Maadui zake kina Warioba na Mzee Butiku waliokuwa wanamshambulia daily kwny Kigoda cha Mwalimu Nyerere?

Siasa ni mbinu na Jakaya alitumia Bunge na Vyama vya Upinzani kutimiza Malengo yake ya Kisiasa.

Mpaka Leo Lowassa kupoteza Uwaziri Mkuu wale analia na Jk sio Bunge wala Mwakyembe.

Leo hii Mbowe na Chadema wakikumbuka walivyowezeshwa bila ya kujijua kutangaza Ufisadi wa Richmond na wa Lowassa kwa Miaka nane wanabaki kuhuzunika jinsi walivyoshindwa kung'amua Michezo ya Kisiasa.

Wewe unamjua aliempa Report ya Buzwagi Zitto Kabwe ili kumyofoa Nazir Karamagi?

Unajua kwanini Taarifa za Epa na Kagoda Agrilcuture ya Rostam Azizi alikabidhiwa Dr. Slaa na Saed Kubenea ili kummaliza Tycoon wa Siasa za Kimafia Rostam Azizi na kweli akapotea na Akina Kubenea enzi hizo wanajua Jk kapoteza Mtu muhimu Kumbe yeye ndo Architecture wa Kaburi la Kisiasa la Wanamtandao wenzake

Unajua ili kumchomoa Andrew Chenge kwny Uwaziri wa Miundombinu ilitokana na habari tu iliyoandikwa kwny Guardian la Uingereza kuhusu kuhifadhi only 1.2 Billion kwny Account za Nje unafahamu kina Nani walizisambaza hizo habari na kushadadiwa bila ya kujua Msusi wa hiyo Michezo ni Nani?

Jakaya Kikwete alikuwa akitumia mbinu ya kujifanya Dhaifu ili watu wambeze nae akawa anawatumia bila ya kujijua.


Yule Jakaya inawezekana akawa hakuwa Kiongozi Mzuri kwa maana ya Matarajio ya baadhi ya watu Ila atakaekwambia alikuwa Mwanasiasa Dhaifu huyo hajui Siasa ni nini !

May 4, 2005 Mzee Mkapa akitokea Kwny Mei Mosi Songea aliweka Kambi sehemu Kule Chamwino na kuanza kupitia Majina ya Wagombea Urais akiwa na Wazee wa System Kumbe wote walimzunguka Mzee walikuwa Vijakazi wa Jakaya na kila Mkapa akifurukuta alikuwa anapewa Vitisho hewa kuwa akimkata Jk Chama kingepasuka Kumbe ulikuwa Mkwara Mbuzi.

Sifukui Makaburi Ila hata Waliohesabu kura za Mwandosya na Dr. Salim Ahmed Salim kwny Tatu bora ya 2005 walikuwa Wanamtandao [emoji3][emoji3][emoji3] kindaki ndaki, Meneja wa Kampeni za Mwandosya alikuwa Msiri wa Jk na mpaka Leo ni Mh. Waziri kwa ushawishi wa jk.
 
Mpaka uambiwe na serikali? Kama zitto kakuambia si inatosha?
Hiyo inaonesha ni kwa jinsi gani Zitto alivo na akili sn za kiuongozi kuliko hata serikali nzima… km ni kweli kuna tatzo la njaa na wapo kimya
 
Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Serikali itangaze hali ya hatari kwa upande wa chakula kwani hali ni mbaya kulingana na upungufu wa wa chakula uliopo nchini.

15826012_238658626572231_1302258266576748941_n.jpg


MASWALI MAGUMU.


1. Kwanini wakuu wa wilaya na mikoa wanogopa kutangaza kuwa kuna upungufu wa chakula?


2. Ni jambo njema kwa wananchi kufahamu hii kama chakula hakuna tuambiwe ili tujiandae?

Mtukufu amewatahadhalisha wakuu wa mikoa na wilaya wanogopa kutangaza, maana watatumbuliwa.ukweli hawaupendi, wanapenda tu mapambio.

Asante................................
 
Kwani **** huna chakula nyumbani kwako mpk serikali ikutangazie?
 
Mungu tunusuru huyu jamaa umetuletea kutuadhibu asante Tunaomba msamaha Mungu 2020 hatutafanya kosa Mungu.



swissme
 
Hata ningekuwa mimi sitangazi,kwani nitapungukiwa na nini....... Wakati mshahara napata kama kawa.
 
Mkuu unaonaje Si ni heri kuzuia kuliko kuponya?
Ni sawa mkuu lakini kwa kujifanya hawashindwi watawazuia hata waandishi kutangaza habari za maeneo yenye njaa. habari za maeneo yaliyokumbwa na njaa tutazisikia kupitia BBC
 
Ni sawa mkuu lakini kwa kujifanya hawashindwi watawazuia hata waandishi kutangaza habari za maeneo yenye njaa. habari za maeneo yaliyokumbwa na njaa tutazisikia kupitia BBC
Hii itakua aibu kwetu kama jirani ndo wataiona njaa yetu
 
Huyu Mbunge ndio Mpinzani wa kweli Aliyebaki Tanzania nzima. hakuna mwingine zaidi yake. Kwenye ukweli Anasema ukweli na penye Uwongo anakosoa. Safi sana Mh ZITO ZUBERY KABWE.
Mungu akuongoze, hata kama Ukirugenzi wa Shirika flani Tanzania angepata.
Nampongeza sana huyu Mbunge.
 
Wewe hujui Siasa zinaendeshwaje!!

Zitto alipewa PAC na Kikwete na hata taarifa Nyeti za kifisadi alikuwa akipewa na Kikwete ili kuwachomoa wasiohitajika!

Unajua kwanini Jk alimuacha Prof Issa Shivji aliekuwa akitajwa sana kwny Tume ya Katiba na kuwapa Maadui zake kina Warioba na Mzee Butiku waliokuwa wanamshambulia daily kwny Kigoda cha Mwalimu Nyerere?

Siasa ni mbinu na Jakaya alitumia Bunge na Vyama vya Upinzani kutimiza Malengo yake ya Kisiasa.

Mpaka Leo Lowassa kupoteza Uwaziri Mkuu wale analia na Jk sio Bunge wala Mwakyembe.

Leo hii Mbowe na Chadema wakikumbuka walivyowezeshwa bila ya kujijua kutangaza Ufisadi wa Richmond na wa Lowassa kwa Miaka nane wanabaki kuhuzunika jinsi walivyoshindwa kung'amua Michezo ya Kisiasa.

Wewe unamjua aliempa Report ya Buzwagi Zitto Kabwe ili kumyofoa Nazir Karamagi?

Unajua kwanini Taarifa za Epa na Kagoda Agrilcuture ya Rostam Azizi alikabidhiwa Dr. Slaa na Saed Kubenea ili kummaliza Tycoon wa Siasa za Kimafia Rostam Azizi na kweli akapotea na Akina Kubenea enzi hizo wanajua Jk kapoteza Mtu muhimu Kumbe yeye ndo Architecture wa Kaburi la Kisiasa la Wanamtandao wenzake

Unajua ili kumchomoa Andrew Chenge kwny Uwaziri wa Miundombinu ilitokana na habari tu iliyoandikwa kwny Guardian la Uingereza kuhusu kuhifadhi only 1.2 Billion kwny Account za Nje unafahamu kina Nani walizisambaza hizo habari na kushadadiwa bila ya kujua Msusi wa hiyo Michezo ni Nani?

Jakaya Kikwete alikuwa akitumia mbinu ya kujifanya Dhaifu ili watu wambeze nae akawa anawatumia bila ya kujijua.


Yule Jakaya inawezekana akawa hakuwa Kiongozi Mzuri kwa maana ya Matarajio ya baadhi ya watu Ila atakaekwambia alikuwa Mwanasiasa Dhaifu huyo hajui Siasa ni nini !

May 4, 2005 Mzee Mkapa akitokea Kwny Mei Mosi Songea aliweka Kambi sehemu Kule Chamwino na kuanza kupitia Majina ya Wagombea Urais akiwa na Wazee wa System Kumbe wote walimzunguka Mzee walikuwa Vijakazi wa Jakaya na kila Mkapa akifurukuta alikuwa anapewa Vitisho hewa kuwa akimkata Jk Chama kingepasuka Kumbe ulikuwa Mkwara Mbuzi.

Sifukui Makaburi Ila hata Waliohesabu kura za Mwandosya na Dr. Salim Ahmed Salim kwny Tatu bora ya 2005 walikuwa Wanamtandao [emoji3][emoji3][emoji3] kindaki ndaki, Meneja wa Kampeni za Mwandosya alikuwa Msiri wa Jk na mpaka Leo ni Mh. Waziri kwa ushawishi wa jk.
Maneno meeeengi kumbe pumba tu yani hizo janja janja ndio maana ya uongozi bora... Uongozi bora hijionesha katika maisha ya wananchi. Kama maisha ya wananchi yalikuwa hovyo enzi za kikwete hawezi kukimbia kuitwa raisi mbovu
 
Back
Top Bottom