Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,374
- 28,046
[QUOTE="K M S, post: 19195909, member: 404570"]Mwenyekiti wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameitaka Serikali itangaze hali ya hatari kwa upande wa chakula kwani hali ni mbaya kulingana na upungufu wa wa chakula uliopo nchini.
Kama ni kweli je ni sahihi kwa serikali mpaka isukumwe na wanasiasa katika mambo muhimu kama chakula? Kwanini kama chakula hakuna nchini tusiambiwe ili tujiandae?[/QUOTE]
Labda mimi nimepitwa na wakati, kumbe Zitto ndo mwenyekiti wa ACT wazalendo? Kile cheo ayatollahhhkhomeney kamwachia nani?
Kama ni kweli je ni sahihi kwa serikali mpaka isukumwe na wanasiasa katika mambo muhimu kama chakula? Kwanini kama chakula hakuna nchini tusiambiwe ili tujiandae?[/QUOTE]
Labda mimi nimepitwa na wakati, kumbe Zitto ndo mwenyekiti wa ACT wazalendo? Kile cheo ayatollahhhkhomeney kamwachia nani?