Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Zitto Kabwe, sasa anatuhumiwa kuyumbisha Chama chake kwa kukiingiza katika mahusiano ya mashaka.
Naibu katibu mkuu huyo wa CHADEMA anafanya mawasiliano nje ya Chama chake ambayo wachunguzi wameeleza yanaweza kukigawa Chama na kukiangamiza.
1.Anamahusiano ya karibu na watuhumiwa wa ufisadi.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es salaam zinasema licha ya Zitto kuwa karibu sana na watuhumiwa wa ufisadi pia ANAJIPENDEKEZA kwa Rais (anayemtambua) jAKAYA kIKWETE.
Waziri mmoja mwandamizi katika Serikali ya Kikwete ameliambia Mwanahalisi kuwa "KUJIKOMBA KWA ZITTO KWA RAIS KUMELENGA KUGOMBANISHA BAADHI YA MAWAZIRI NA RAIS NA MAWAZIRI KWA MAWAZIRI"
"Huyu Bwana mdogo anachukua habari maneno huku anapeleka kule....Mara ameomba uwaziri. Mara hivi....Mara vile, ili mradi ni shida. Kuna siku Rais alisikika akisema Kwanini huyu bwana mdogo asiimarishe Chama Chake kuliko haya anayoyafanya?" Ameeleza waziri huyo kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini.
2. Mbali na kuwa na mawasiliano na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi, Zitto amedaiwa kuwa na Tabia ya kuwasiliana na baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari na kujiandikia habari huku wao wakitakiwa WAZIPATE KAMA ZILIVYO
Kwa mfano, katika mawasiliano yake na mmoja wa wahaririwa gazeti moja lonalotoka kila siku nchini (jina tunalo) Zitto ANAELEZA:
........"Hii ripoti inapaswa kusomwa siku ya Jumatano. Nimekutumia wewe pekee. So I expect a build up siku ya Jumatano bila ya kutoa details na stori ya Alhamis iandaliwe vizuri na kwa muda mrefu labda ikiwemo na Q and A (maswali na majibu) na mimi katikati katika kutoa elaboration. Yaani tufanye splash mbele with issues and graphs"
Akiandika kwa kuagiza kama mhariri wa gazeti, Zitto anasema, "Jumatano yaweza kuwa na stori" huku akipendekeza kichwa cha habari kuwa " ZITTO ANA SIRI NZITO.........."
Anasema, Nadhani ukishafanyia editing nimpe .......(anataja jina)..kwa stori building maana yeye ataikosa.......... Pia tumpe na .......(anataja tena jina). Hao tu"
Zitto naeleza kwa njia ya barua pepe " Nataka pia IPP media wakose kabisa na wasikie ukumbini tu ili waendelee na maspin yao ya kina Kilango.
Mawasiliano kama hayo aliwahi kuyafanya na mhariri wa gazeti la kila siku siku mbili kabla ya Rais Kikwete kuhutubia Bunge.
Katika mawasiliano yake na Mhariri hiyo Zitto anasema..............."Nimekutumia hii nyaraka, naomba uifanyie kazi. Lakini kesho unaweza kuwa na stori: Muundo wa Baraza la mawaziri. Kikwete kushirikisha wapinzani. Tamko la chadema latibua."
Katika hatua nyingine Zitto anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya karibu na ya kikazi na Maria Kejo, mtumishi wa serikali anayetuhumiwa na Chadema katika kashfa kadhaa nchini.
Soma Mwanahalisi la Leo Jumatano tarehe 1/12/2010
Naibu katibu mkuu huyo wa CHADEMA anafanya mawasiliano nje ya Chama chake ambayo wachunguzi wameeleza yanaweza kukigawa Chama na kukiangamiza.
1.Anamahusiano ya karibu na watuhumiwa wa ufisadi.
Taarifa zilizopatikana jijini Dar es salaam zinasema licha ya Zitto kuwa karibu sana na watuhumiwa wa ufisadi pia ANAJIPENDEKEZA kwa Rais (anayemtambua) jAKAYA kIKWETE.
Waziri mmoja mwandamizi katika Serikali ya Kikwete ameliambia Mwanahalisi kuwa "KUJIKOMBA KWA ZITTO KWA RAIS KUMELENGA KUGOMBANISHA BAADHI YA MAWAZIRI NA RAIS NA MAWAZIRI KWA MAWAZIRI"
"Huyu Bwana mdogo anachukua habari maneno huku anapeleka kule....Mara ameomba uwaziri. Mara hivi....Mara vile, ili mradi ni shida. Kuna siku Rais alisikika akisema Kwanini huyu bwana mdogo asiimarishe Chama Chake kuliko haya anayoyafanya?" Ameeleza waziri huyo kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini.
2. Mbali na kuwa na mawasiliano na baadhi ya watuhumiwa wa ufisadi, Zitto amedaiwa kuwa na Tabia ya kuwasiliana na baadhi ya Wahariri wa vyombo vya habari na kujiandikia habari huku wao wakitakiwa WAZIPATE KAMA ZILIVYO
Kwa mfano, katika mawasiliano yake na mmoja wa wahaririwa gazeti moja lonalotoka kila siku nchini (jina tunalo) Zitto ANAELEZA:
........"Hii ripoti inapaswa kusomwa siku ya Jumatano. Nimekutumia wewe pekee. So I expect a build up siku ya Jumatano bila ya kutoa details na stori ya Alhamis iandaliwe vizuri na kwa muda mrefu labda ikiwemo na Q and A (maswali na majibu) na mimi katikati katika kutoa elaboration. Yaani tufanye splash mbele with issues and graphs"
Akiandika kwa kuagiza kama mhariri wa gazeti, Zitto anasema, "Jumatano yaweza kuwa na stori" huku akipendekeza kichwa cha habari kuwa " ZITTO ANA SIRI NZITO.........."
Anasema, Nadhani ukishafanyia editing nimpe .......(anataja jina)..kwa stori building maana yeye ataikosa.......... Pia tumpe na .......(anataja tena jina). Hao tu"
Zitto naeleza kwa njia ya barua pepe " Nataka pia IPP media wakose kabisa na wasikie ukumbini tu ili waendelee na maspin yao ya kina Kilango.
Mawasiliano kama hayo aliwahi kuyafanya na mhariri wa gazeti la kila siku siku mbili kabla ya Rais Kikwete kuhutubia Bunge.
Katika mawasiliano yake na Mhariri hiyo Zitto anasema..............."Nimekutumia hii nyaraka, naomba uifanyie kazi. Lakini kesho unaweza kuwa na stori: Muundo wa Baraza la mawaziri. Kikwete kushirikisha wapinzani. Tamko la chadema latibua."
Katika hatua nyingine Zitto anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya karibu na ya kikazi na Maria Kejo, mtumishi wa serikali anayetuhumiwa na Chadema katika kashfa kadhaa nchini.
Soma Mwanahalisi la Leo Jumatano tarehe 1/12/2010