Zitto aipaisha JamiiForums Ulaya!

Zitto aipaisha JamiiForums Ulaya!

zitto ni my next president..ni mzalendo,mwadilifu,mtetezi wa wanyonge...high capacity ya kuchanganua mambo
uwezo wa kujieleza na kusimamia ukweli ndio siraha yake...
Ningekuwa uwanja wa taifa pale mechi ya yanga na simba ipo kati striker okwi ndio zitto kabwe..ningebeba bango lililoandikwa "plz zitto kabwe marry me"..namkubali sana huyu kijana

OMG! Homosexual au naota?
Bigirita hebu njoo niondolee huu utata!
 
Last edited by a moderator:
we beleave in you keep on doing more than this and one day good might come for you and your nation.
 
yani mi hapa ndio huwa nachoka kabisa kuona nyie wana CCM ndio makampeni meneja wa Zzk.!
Msifanye hivyo bhana mnasababisha watu tuwe na mashaka na mbunge wetu so tuacheni wenyewe tuamue na viongozi wetu.

Mi hapa ndiyo naishiwa nguvu kabisa kum-support ZZK maana wakati CCM wakimpigia debe hadharani wala yeye haonyeshwi ku kerwa hata kidogo. Matokeo yake yale yote mazuri yake yanakuwa na a big question mark.

This can never make me believe that he is sincere and honest enough with what he is doing......A double minded person is a very dangerous person anaweza geuka wakati wowote ule depending on what he carries in his mind; ndiyo maana I fail to bank on this person maana hawezi sema 'for better or for worse' nipo na wewe, yeye ataangalia wapi kuna afadhali na pale anapopata upenyo wa kuku betray aweza fanya hivyo ama akibanwa na mazingira.....

This is just my belief not necessarily correct ila kama mpiga kura na member wa CDM I seriously need ZZK to help me clear this doubt otherwise hata mimi pia naweza tu ku-mdhibit katika siasa zake na kujikuta anakwama.....Nothing is impossible for whoever dares if my human faith cannot give what I want I can use my rightoussness faith na kama mimi nipo honest and sincere with what I am saying he is in trouble just let him be assured of this! Kama wengine wanacheza na future ya maisha ya mtanzania I am in a serious bussiness and I mean each and every statement I make!
 
Heee! Hivi Tuntemeke ni mwanamke au mwanaume? Kama mwanaume mbona anatudhalilishia kamanda wetu Zitto? Zitto amuoe dume Tuntemeke? God Forbid!

Ngoja nilog off. Role model wangu anadhalilishwa namna hii? Dah!

tuntemeke ni Semenya hahahahha wa South Africa
 
mbona zzk ni jembe sana tangu kitambo na tunamkubari sana !ila ninachoshangazwa ni pale watu wanapoanza kuleta threat za kulenga ooh angekuwa mkristo ooh kwa kuwa ni muslim ! achani unafiki au ndo mnatafuta posho yenu cozhata kwenye vitu muhim mnaleta yenu tena!????

UMEWAGUSA vizuri sana,Ujumbe murwaaaaa
 
Mkuu ZZK achana na hawa wazandiki wenye kukutafuta usiku na mchana kwa wivu tu na wengine ni wenzio kwenye chama sio siri wanakatisha sana tamaa kwenye chachu ya mabadiliko ya Tanzania. Lazima tukubali mwenyezi mungu katuumba tofauti so hata kama ninyi wote ni CCM au CHADEMA mnatofautiana kwa uelewa na kariba, ZZK ndani ya CHADEMA ana kariba ya kiuongozi na uelewa , ni ukweli mgumu kwa wapinzani wake lakini binafsi namuheshimu na nitamuheshimu sana hafanyi siasa za karne ya kumi.
ISHIA HAPO HAPO....UKIENDELEA watajinyionga.Ukweli upo wazi zitto ni mwelewa,Kiongozi safi asiyejenga majungu ndnai ya chama.Zitto for president 2015
 
jana nilikuwa naangali habari kwenye website ya new york times nikakuta link inanidirect jamii forum nilistaajabu sana. @zito anauzalendo wa kuwa rais wetu kwakweli i believe on him

zitto kabwe..ni mzalendo,mwadilifu na mtetezi wa wanyonge...zitto for president 2015
 
MCHANA MWEMA MY PRESIDENT ZITTO KABWE..JF umeweka heshima ya kipekeee kabisa.Hakika unastahili kuitwa kiongozi Bora wa Taifa hili.
 
hongera zitto kabwe kumbe kijana URAIS unakufaa hebu nenda kachukue fomu tuko nyuma yako
 
umejuaje kama ana kadi moja tu labda naye kaificha ya CUF pembeni ebu muulize kama hana kama hajakuwa na kigugumizi cha mdomo weee usiusemee moyo wa mtu weweeeeeeeee
 
Ingawa nipo bize sana siku hizi na mambo yangu, nathubutu kubofya keaboard niungane na woote wanaomkubali ndugu zzk, hakika huyu mshikaji ni jembe, japo bado kuna watu hawajachoka kumchafua, mbaya zaidi ndani ya chama i.e. CDM . bw zzk pambana sio wote watakukubali hadharani, japo nyoyoni mwao wanakili wewe ni level nyingine kabisa. well done ndg zzk, hongera saaaana, pipooooooooooozz pawaaaaaaaaaaaaaaa.
 
ingawa nipo bize sana siku hizi na mambo yangu, nathubutu kubofya keaboard niungane na woote wanaomkubali ndugu zzk, hakika huyu mshikaji ni jembe, japo bado kuna watu hawajachoka kumchafua, mbaya zaidi ndani ya chama i.e. Cdm . Bw zzk pambana sio wote watakukubali hadharani, japo nyoyoni mwao wanakili wewe ni level nyingine kabisa. Well done ndg zzk, hongera saaaana, pipooooooooooozz pawaaaaaaaaaaaaaaa.

kamanda kwa heshima kuu niliyopewa naamua kukugongea kibao cha leka dutigite for u....zitto ni zaidi ya atomic bom
 
wazo lako ni constructive sana,Nimelikubali kwamikono yote miwili.Pia naomba uwambie na wale wote wanaoshinda kumbomoa zitto humu jf kwamba ni CCM,MARA M4C,MARA MBINAFSI,MARA ANAMILIKI HAMMER N.KWAACHE MARA MOJA ILI TUJENGE CHAMA KWA NGUVU MOJA
HAO WATU WANASHINDA KUTENGENEZA MAJUNGU TU DHIDI YYA ZITTO KITU AMBACHO SI KWELI..
NIMEPENDA WAZO LAKO BUT LITAKUWA USEFULL KWA MASHARTI HAYO HAPO JUU

Jua concept solidarity tu basi hakutakuwa na walakini.
 
yani wwe huyu mtu unamfahamu nini au unataka nawe upate ubunge kuipitia mgongo wa zitto una makubwa wewe
 
Back
Top Bottom