Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
zitto ni my next president..ni mzalendo,mwadilifu,mtetezi wa wanyonge...high capacity ya kuchanganua mambo
uwezo wa kujieleza na kusimamia ukweli ndio siraha yake...
Ningekuwa uwanja wa taifa pale mechi ya yanga na simba ipo kati striker okwi ndio zitto kabwe..ningebeba bango lililoandikwa "plz zitto kabwe marry me"..namkubali sana huyu kijana
OMG! Homosexual au naota?
Bigirita hebu njoo niondolee huu utata!
Last edited by a moderator: