Zitto aipaisha JamiiForums Ulaya!

Zitto aipaisha JamiiForums Ulaya!

acha waumie tu,kwanini wameamua kukalia msumari wa moto ilihali wapo kama walivyozaliwa.
Zitto unanipa rahaaaa mieeeeeeeeeeee,my next president 2015

Mkuu TUNTEMEKE mbona neno kali? Hivi Zitto hana kadi ya CCM kweli?
 
Last edited by a moderator:
You can end speechless when the issue is Zitto role on JF is turned to Zitto as "the right" presidential material. MITANZANIA NDIVYO TULIVYO = Lazy everywhere especially upstairs
 
I salute you Zitto Zuberi Kabwe!! Si kila wakati wengie tukulaumu, hata kwa mema na mazuri afanyayo mtu mpe sifa na heshima yake!! You did it!!
 
nachopenda interview za wanasiasa maswali unapewa in advance..it's easy to be a poltician
Duh, sikujua hilo la kupewa maswali kabla. Nimeona ameyajibu maswali vizuri sana nikawa nashangaa kwamba kama ilikuwa ni tit for tat, basi jamaa ametisha, kumbe alipewa kabla? Ila hata kama amepewa maswali kabla bado nafikiri yupo well focussed. Nimependezwa sana na jinsi alivyozijibu hoja mbalimbali.
 
ww unayejiita tuntemeke ni unawaza kwa kutumia masaburi,unaposema dr slaa anakichafua chama km kweli ww ni kamanda umefanyaje kukisafisha na km umefanya malalamiko ya nini?si hivyo tu ninapitia comments zako nyingi inaonekana unalako jambo kwani umekuwa unamuattack dr mojamoja.vilevile unajidanganya kwani km sio dr slaa chadema kisingekuwa na nguvu ya kuihoji serikali ya magamba sasa nataka uniambie ww ambaye huna kadi ya ccm umekisaidiaje chama?na km alikuwa na kadi ya ccm na akapata kura nyingi za urais kushinda mgombea wa ccm ww huoni mchango wa dr?zito tunamjua toka chuo ni kigeu geu na hawezi kupambana na mjangili waliofanya tz ni shamba la bibi,vinginevyo mmetumwa na wasira na muuza meno ya tembo ili kuharibu chama
 
big up zzk ,
nanhii jk aliulizwa since you have been sworn in as presida what have you done so far ? jamaa kajibu I HAVE done A LOT OF THINGS I HAVE BUILT SCHOOLS MANY MANY, TARMAC ROAD MANY MANY SOURCE NI VOA STAR TV. dah
 
acha waumie tu,kwanini wameamua kukalia msumari wa moto ilihali wapo kama walivyozaliwa.
Zitto unanipa rahaaaa mieeeeeeeeeeee,my next president 2015

Mtu ambaye msimamo wako upo wazi na kila mtu anajua upo upande gani, kama kweli una nia ya kumsaidia Zitto ni bora ungetumia ID nyingine, unaweza fikiri kwamba unajenga kumbe ndio unabomoa.

Wenye akili zao ni wengi zaidi ya wenye za kuazima hasa katika jukwaa hili
 
Back
Top Bottom