AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Umeona eh? Ona waziri anavyosema:
Ina maana waziri wetu alikuwa na maana kuwa choice tunayopata kutoka kwa Wachina ndiyo hii? Kujengewa nyumba bure ndiyo choice ya Afrika siku hizi eh? Hivi tukiitwa mediocre tunawezabisha kweli?
ource: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...on-hq-puts-all-africans-to-great-shame-4.html
Ndio haswa kilichonifanya niwe surprised. Sikuwahi sikia wala kusoma mahala kuwa waziri alisema hivo... BUT alivyojibu ni aibu saana.
Na huo msaada ambao wachina wametoa ni aibu... Kuna mahala na mahala twastahili misaada; ila hayo ya kutoa msaada kwa such a big body kama AU ni aibu mno... Inatoa picha asilia, kuwa hawana mpango wa kutoka tulipo wala kujichoropoa mikononi mwa misaada ya kitaifa. Sijui waliwaza nini wawakiliishi... Yaani there is no hope for the future for small nations kama zetu...