Zitto afanye haya kurudisha umaarufu wake

Zitto afanye haya kurudisha umaarufu wake

Bro, Which ability unaongelea hapa. Zitto Kabwe umaarufu wake unatokana na acceptance ya jamii yote ikiwemo jamii forum. Umaarufu wake unatokana na kitendo chake cha awali kuonekana ni mtetezi na mpigania haki wa wanyonge. The course has changed now. Mimi niko Iringa, the story ni doubt kubwa walionayo/tulionayo watanzania kuhusi nia ya Zitto. Hitimisho linalofanywa na kila mwenye akili timamu kuhusu huyu kijana (ambaye anafikiri umaarufu wake unatokana na kujiona maarufu kwa sababu za yeye kama yeye kuwa maarufu bila kuona mchango wa watanzania walio wengi ambao kimsingi ndo walifanya awe maarufu) ni kwamba the guy ni mbinafsi, mnafiki, mwanga na aliye tayari kufanya chochote kibaya ili mradi apate sifa (e.g Masalia) na kufikia malengo yake haramu.

Note: Hakuna asiyeelewa sasa kwamba Zitto ni sumu kwa watanzania na Taifa hili. Personally kila group ninalokutana nalo when i have time ni kumjadili huyu kijana kwa mantiki kubwa sana, hatimaye wanaoshiriki mjadala wanapewa assignment to inform others kuhusu hichi K.I.R.U.S.I - Zitto a.k.a Sangoma.

Unaarufu upi?
Bila kazi iliyofanywa na TINDU kwa miaaka zaidi ya kumi huko migodini na yeye kupewa desa aliwasilishe bungeni angekuwa hapo?

Bila kazi iliyofanywa na wanachadema kigoma yeye akiwa mwanafunzi, kumbuka ile makala ya kibanda kuwa alitoka shule na kukuta network ya chadema ipo na yeye kupata ungunge kiulaini, angekuwa wapi leo?
 
Matokeo halali ni yale tuu yanayotangazwa na Tume, na mshindi ndio anakuwa mshindi halali kwa utaratibu wa "the end justifies the means!".
P.

Kaka hata wewe?
Unaweza kunipa matokeo in number?
Pia Dar alipata kura ngapi mshindi?
Hata ukienda ofisini kwao hakuna matokeo.
 
Unaarufu upi?
Bila kazi iliyofanywa na TINDU kwa miaaka zaidi ya kumi huko migodini na yeye kupewa desa aliwasilishe bungeni angekuwa hapo?

Bila kazi iliyofanywa na wanachadema kigoma yeye akiwa mwanafunzi, kumbuka ile makala ya kibanda kuwa alitoka shule na kukuta network ya chadema ipo na yeye kupata ungunge kiulaini, angekuwa wapi leo?

I believe in team work especially "us team" and not "we team and I team". Nilifikiri Zitto ni good believer wa "Us team", alipokuwa bungeni na Tundu yuko nje, akampatia desa na kimsingi alicheza nalo vizuri. Kumbe hana lolote, na hilo ndo watanzania tunazidi kulielewa siku hadi siku kulingana na matendo na matamko yake vnavyojustify his true character.
 
​​Wanajamvi, sio kusudi langu kuingilia mtazamo wa mtu yeyote, ila kwa nia ya dhati na uelewa kuhusu uhuru wa kutoa maoni unaolenga kujenga na sio kubomoa, nimeona vema nitoe Ushauri kwa Mkuu Zitto na Kundi lake.

Nianze tu kwa kusema Ukishakataliwa na Jammiforums umekataliwa na jamii nzima ya watanzania na lazima mtu husika uwe makini na idadi ndogo (minor proportion) ya watu wanaoweza kukuhadaa eti wanakuunga mkono hapa jamvini kuliko wale wanaokupinga. Na hasa ukijua kuwa wanachama wa JF ndo wapiga kampeni huko mitaani kuhusu Chama na mwanasiasa binafsi (kumbuka hofu ya Pinda-CCM) juu ya JF.

Kwa kutambua mchango wako (Zitto), achana na hao walala hoi wanaojipendekeza, wakiwemo CCM wanaotaka kukutumia kama tissue, ningeomba haya uyafanye kutoka kwangu kama Mtanzania mpenda mabadiliko na mchukia wanafiki:
KWANZA; Ujutie kile ulichokuwa unakifanya maana huenda ulikuwa hujui ulitendalo.

PILI; Jishushe tu tuombe radhi Watanzania ambao kwa idadi kubwa ni wakulima na wafanyakazi na ambao tunaomba usiku na mchana kuona nchi yetu imekombolewa toka mikononi mwa CCM. Haimanishi ufanye mkutano wa hadhara lakini JF inatosha tu kutupa jibu nasi tutakurudisha kundini, maana kama nilivyo sema hapo juu; UKIKUBALIWA NA JAMIIFORUMS UMEKUBALIWA NA WATZ WOTE. Na kwa kinachoendelea ndani ya chama chako, ambacho umewahi sema huna mpango wa kukihama, onyesha ushirikiano na baada ya kuyamaliza huko ndo uje kwetu.

TATU; Baada ya hayo hapo juu kufanyika, tufichulie wote walioficha mpunga (fedha) huko Uswisi kama ulivyoanza vema na usikate tamaa. Na lazima hili lifanyike baada ya hayo hapo juu kwa sababu hili likitangulia bado halitakurudisha kwenye level yako ya awali. Hakika ukiyafuata haya na ukatuambia wezi tulionao nguoni mwetu tutakurudisha kwenye form fasta.

Ni mtazamo wangu wanajamvi.

Acha Uvivu kwani Zitto si maarufu?
 
Last edited by a moderator:
I believe in team work especially "us team" and not "we team and I team". Nilifikiri Zitto ni good believer wa "Us team", alipokuwa bungeni na Tundu yuko nje, akampatia desa na kimsingi alicheza nalo vizuri. Kumbe hana lolote, na hilo ndo watanzania tunazidi kulielewa siku hadi siku kulingana na matendo na matamko yake vnavyojustify his true character.

Ndiyo maana mimi hapo juu nimesisitiza umuhimu wa bottom focused approach instead of a top heavy apparatchik focus, grassroots instead of "role model". Na ideas/ ideals instead of individuals/ personalities.

Umaarufu si tija, hata Kikwete maarufu maradufu.
 
I believe in team work especially "us team" and not "we team and I team". Nilifikiri Zitto ni good believer wa "Us team", alipokuwa bungeni na Tundu yuko nje, akampatia desa na kimsingi alicheza nalo vizuri. Kumbe hana lolote, na hilo ndo watanzania tunazidi kulielewa siku hadi siku kulingana na matendo na matamko yake vnavyojustify his true character.

Team work kwenye manufaa tu,
Mfano kawakusanya madogo wa Chadema
kawapeleka lekatutigite kumbe kesho asubuhi frontpange mwananchi madogo wanaonekana vituko.
Fikiria ile ilikuwa Kigoma all star,
Je unajua ni mikoa mingapi wasanii wamemkana wakamkimbia na kumpa makavu kuwa unataka kututimia kwa manufaa yako?
 
Ingekuwa umaarufu wake unatokana na kupigiwa vuvuzela, lisipopigwa ningekubali umaarufu wake ungeshuka, lakini umaarufu wa ZZK unatokana na ability!. Aombe msamaha kwa kosa gani, ajutie jambo gani?.

Ingekuwa jf ni wapiga kura, basi saa hizi Chadema ingekuwa Ikulu!. JF ina wanachama laki moja plus!. Hawa ndio Watanzania wote?.
ZZK bado ni maarufu vile vile tena umaarufu unazidishwa na hii Zitophobia kila siku thread 10 -10 za ZZK!.
P.

wana jf 100000,kila mwana jf ana kijiwe ambacho kina wastani wa watu very minimal 5,ana familia yenye watu very minimal 3.pia wako mobile na kwa vile siasa iko hv basi kila aendp hukutana na wenziwe.hebu niambie madhara ya kusambaza haya ya ZZK kweny audience hiyo.mwanzo wa nguo kuchafuka ni doa,na siyo madoa ndugu!
 
Ndiyo maana mimi hapo juu nimesisitiza umuhimu wa bottom focused approach instead of a top heavy apparatchik focus, grassroots instead of "role model". Na ideas/ ideals instead of individuals/ personalities.

Umaarufu si tija, hata Kikwete maarufu maradufu.

Sasa nimekupata, the Issue in "umaarufu" ni imani yangu hata Endrew Chenge ni maarufu. But the question is, umaarufu wake uko katika misingi gani? That is the issue we have to deal with. Mwingine hapa jamvini akanena kwamba hata Hitler alikuwa Maarufu Ujerumani! Ni kweli kabisa, umaarufu katika misingi gani? Zitto alikuwa maarufu katika maswala fulani ya msingi ambayo tuliamini anayafanya na wenzake kwa manifaa ya watanzania wote. Kumbe sivyo, badala yake sasa umaarufu wa Zitto kwa watanzania unakuwa katika misingi ya watanzania kutambua kwamba Zitto ni mnafiki, mbinafsi na mshirikana.

Note: Hata babu na kikombe chake pia ni maarufu!!!!!
 
Why him?, kwa vile Chadema is the only party he had ever known, kwanini hao wengine ndio wasiondoke kumsusia chama tuone kama kitamfia!. After all wengine wana vyama vyao mpka kadi zao zimewekwa kabatini kama kumbukumbu!.
P.

Pasco we mburula sometimes!

Biblia inasema" NI HERI LAHUMU ZA WENYE HEKIMA KULIKO WIMBO WA WAPUMBAVU"

kwahiyo usimpe zitto sifa za kijuha but muelekeze njia ajifunze na sio sifa 2 kumbe unampoteza"
 
​​Wanajamvi, sio kusudi langu kuingilia mtazamo wa mtu yeyote, ila kwa nia ya dhati na uelewa kuhusu uhuru wa kutoa maoni unaolenga kujenga na sio kubomoa, nimeona vema nitoe Ushauri kwa Mkuu Zitto na Kundi lake.

Nianze tu kwa kusema Ukishakataliwa na Jammiforums umekataliwa na jamii nzima ya watanzania na lazima mtu husika uwe makini na idadi ndogo (minor proportion) ya watu wanaoweza kukuhadaa eti wanakuunga mkono hapa jamvini kuliko wale wanaokupinga. Na hasa ukijua kuwa wanachama wa JF ndo wapiga kampeni huko mitaani kuhusu Chama na mwanasiasa binafsi (kumbuka hofu ya Pinda-CCM) juu ya JF.

Kwa kutambua mchango wako (Zitto), achana na hao walala hoi wanaojipendekeza, wakiwemo CCM wanaotaka kukutumia kama tissue, ningeomba haya uyafanye kutoka kwangu kama Mtanzania mpenda mabadiliko na mchukia wanafiki:
KWANZA; Ujutie kile ulichokuwa unakifanya maana huenda ulikuwa hujui ulitendalo.

PILI; Jishushe tu tuombe radhi Watanzania ambao kwa idadi kubwa ni wakulima na wafanyakazi na ambao tunaomba usiku na mchana kuona nchi yetu imekombolewa toka mikononi mwa CCM. Haimanishi ufanye mkutano wa hadhara lakini JF inatosha tu kutupa jibu nasi tutakurudisha kundini, maana kama nilivyo sema hapo juu; UKIKUBALIWA NA JAMIIFORUMS UMEKUBALIWA NA WATZ WOTE. Na kwa kinachoendelea ndani ya chama chako, ambacho umewahi sema huna mpango wa kukihama, onyesha ushirikiano na baada ya kuyamaliza huko ndo uje kwetu.

TATU; Baada ya hayo hapo juu kufanyika, tufichulie wote walioficha mpunga (fedha) huko Uswisi kama ulivyoanza vema na usikate tamaa. Na lazima hili lifanyike baada ya hayo hapo juu kwa sababu hili likitangulia bado halitakurudisha kwenye level yako ya awali. Hakika ukiyafuata haya na ukatuambia wezi tulionao nguoni mwetu tutakurudisha kwenye form fasta.

Ni mtazamo wangu wanajamvi.

This is the most pathetic analysis of the year 2012. Eti ukikubaliwa JF umekubaliwa TZ nzima? Are you serious? ZZK amuombe nani msamaha? Kwa kosa gani?.
Eti ZZK kapoteza umaarufu? Nani kasema? Hayo mawazo yako uende ukajadili na kile kimyago cha Saanane sio watu wenye akili timamu.
Pole sana mama!.
 
Ganda la mua la jana, chungu aona kivuno!. One cannot be a hero to everybody!.
Shujaa wa mmija ni bomu kwa mwingine!.
Hata alichokifanya Osama huku wengine wakimlaani, kwa wengine ndie shujaa wao!.
Baba wa Taifa tunamuona ndiye shujaa wetu wa ukombozi dhidi ya mkoloni, wengine wanamlaumu mpaka kesho kwa kisingizio cha kuulea mfumo Kristo!.
Ukweli unabaki kuwa ZZK ni role model wa vijana kibao!.
P.

Acha kudanganya Umma wa watanzania Zitto role model wa vijana kibao wakina nani,kijana gani anataka kuiga mambo ya Kishirikina?
 
vipi slaa kupitisha hawara wake ubunge maalum ili kumziba mdomo na kuonesha upendeleo kwa watu wanaotoka kabila lake au mkoa anakotoka yeye kuwapa upendeleo maalum katika chama unalionaje

Tatizo hamtaki kujifiunza wala kuelewa,
Viti maalum nakumbuka watu hawakupewa tu na ndio maana mamayake zito alilialia sna kwa kuukosa ubunge.
Ilitumika formula na fomula aliandaa Kitila je kitila kwanini amtose mama wa rafiki yake?
 
Ingekuwa umaarufu wake unatokana na kupigiwa vuvuzela, lisipopigwa ningekubali umaarufu wake ungeshuka, lakini umaarufu wa ZZK unatokana na ability!. Aombe msamaha kwa kosa gani, ajutie jambo gani?.

Ingekuwa jf ni wapiga kura, basi saa hizi Chadema ingekuwa Ikulu!. JF ina wanachama laki moja plus!. Hawa ndio Watanzania wote?.
ZZK bado ni maarufu vile vile tena umaarufu unazidishwa na hii Zitophobia kila siku thread 10 -10 za ZZK!.
P.

Great thinker at work!!
Thank you Pasco
 
Last edited by a moderator:
ZZK...ZZK...ZZK! the man knows what he is doing! kuna tetesi kuwa ameahidiwa uwaziri katika serikali ya ccm akishakamilisha mission aliyopewa ya kuivunja vunja CHADEMA. tetesi hizi nilizikia long kabla hata J. MAKAMBA hajawa sijui naibu waziri. kama mnavyojua ZZK na J. MAKAMBA wako like friends. wote kwa mujibu wa tetesi walikuwa kwenye ahadi ya kupewa nafasi za uwaziri. sasa tayari J.MAKAMBA keshapewa. hizi ni tetesi lakini sijazifanyia uchunguzi kujua ukweli!
:target:
 
Siamini km Member wa Jukwaa la Siasa wanaochangia kila siku wanafika 1300 kati ya waliojiandikisha 104,000 na eti wamejiandikisha wote
KWA KIFUPI MM NI SHABIKI WA ZITTO popote alipo na atakapokwenda na sipo CDM
sio lazima umpigie Kura Diwani, mbunge au Rais wa Chama chako hata Nyerere alishabiga kura ya namna hiyo licha ya kutangaza hadharani kuwa Mbunge wa jimbo lake hafai
 
great thinkers 100000 sio kitu cha kubeza! Of course wapo mizigo wachache na pia wapo wazee wa vibahasha pia.

.
Nasikia mkuu Passco ni kiranja kwa wale wa zile ...... Za khaki. Yana ukweli haya?
.
 
Kaka hata wewe?
Unaweza kunipa matokeo in number?
Pia Dar alipata kura ngapi mshindi?
Hata ukienda ofisini kwao hakuna matokeo.

kwa akili zako unataka kutueleza CDM 2010 ilishinda uchaguzi wa uraisi mimi nahic ushabiki umekukaa kichwani vipi chama kimeshinda majimbo yasio zidi 50 na chengine kimeshinda zaidi ya majimbo 100 kipi kitaibuka mshindi wa uraisi kwa isabu ya haraka haraka ni yupi
 
Back
Top Bottom