Zitto afanye haya kurudisha umaarufu wake

Zitto afanye haya kurudisha umaarufu wake

kama ni kweli Zitto anauwezo mkubwa na wafuasi wengi! aanzishe chama chake!
 
Zitto ni msaliti,mnafiki,hafai tena haondoke CHADEMA tu aende kwa magamba wenzake
 
kama ni kweli Zitto anauwezo mkubwa na wafuasi wengi! aanzishe chama chake!
Why him?, kwa vile CHADEMA is the only party he had ever known, kwanini hao wengine ndio wasiondoke kumsusia chama tuone kama kitamfia!. After all wengine wana vyama vyao mpka kadi zao zimewekwa kabatini kama kumbukumbu!.
P.
 
Zitto inaelekea anawaendesha sana nyie wafuata upepo. Manake kila siku mnaweweseka tu.
 
Mie naona Zitto sasa si issue ya kujadili. Kwani hayapo mengine muhimu ya kujadili hadi tupoteze muda kwenye personalities badala ya issues jamani? Wenye uwezo mkubwa kiakili hujadili masuala. Wale wenye uwezo mdogo hujadili watu walisema wahenga.
 
​​Wanajamvi, sio kusudi langu kuingilia mtazamo wa mtu yeyote, ila kwa nia ya dhati na uelewa kuhusu uhuru wa kutoa maoni unaolenga kujenga na sio kubomoa, nimeona vema nitoe Ushauri kwa Mkuu Zitto na Kundi lake.

Nianze tu kwa kusema Ukishakataliwa na Jammiforums umekataliwa na jamii nzima ya watanzania na lazima mtu husika uwe makini na idadi ndogo (minor proportion) ya watu wanaoweza kukuhadaa eti wanakuunga mkono hapa jamvini kuliko wale wanaokupinga. Na hasa ukijua kuwa wanachama wa JF ndo wapiga kampeni huko mitaani kuhusu Chama na mwanasiasa binafsi (kumbuka hofu ya Pinda-CCM) juu ya JF.

Kwa kutambua mchango wako (Zitto), achana na hao walala hoi wanaojipendekeza, wakiwemo CCM wanaotaka kukutumia kama tissue, ningeomba haya uyafanye kutoka kwangu kama Mtanzania mpenda mabadiliko na mchukia wanafiki:
KWANZA; Ujutie kile ulichokuwa unakifanya maana huenda ulikuwa hujui ulitendalo.

PILI; Jishushe tu tuombe radhi Watanzania ambao kwa idadi kubwa ni wakulima na wafanyakazi na ambao tunaomba usiku na mchana kuona nchi yetu imekombolewa toka mikononi mwa CCM. Haimanishi ufanye mkutano wa hadhara lakini JF inatosha tu kutupa jibu nasi tutakurudisha kundini, maana kama nilivyo sema hapo juu; UKIKUBALIWA NA JAMIIFORUMS UMEKUBALIWA NA WATZ WOTE. Na kwa kinachoendelea ndani ya chama chako, ambacho umewahi sema huna mpango wa kukihama, onyesha ushirikiano na baada ya kuyamaliza huko ndo uje kwetu.

TATU; Baada ya hayo hapo juu kufanyika, tufichulie wote walioficha mpunga (fedha) huko Uswisi kama ulivyoanza vema na usikate tamaa. Na lazima hili lifanyike baada ya hayo hapo juu kwa sababu hili likitangulia bado halitakurudisha kwenye level yako ya awali. Hakika ukiyafuata haya na ukatuambia wezi tulionao nguoni mwetu tutakurudisha kwenye form fasta.

Ni mtazamo wangu wanajamvi.

Tatizo kubwa la mdogo wangu Zitto ni kupenda kusimama peke yake, anatanguliza jina lake na ndio maana wengi wanahoji juu ya hiyo tabia yake na kujiuliza kuna nini nyuma yake.
 
Mkuu kuna mamilioni ambao sio member humu na wanamchukia zitto kichizi mfano thread inaweza kuwa na member 20 lakini guest 1000 sasa huoni hiyo ni Noma

hivi asiye member anaweza kuchangia kwa kutoa comments? Kama hawezi, huo mtazamo wa kumchukia au kumpenda zito tunaujuaje? au ni assumption ?just i was thinking aloud
 
Why him?, kwa vile Chadema is the only party he had ever known, kwanini hao wengine ndio wasiondoke kumsusia chama tuone kama kitamfia!. After all wengine wana vyama vyao mpka kadi zao zimewekwa kabatini kama kumbukumbu!.
P.

Kwasababu ni mtu mwenye vitabia vya kujiona ni muhimu zaidi kwenye chama kuliko wengine!
Vitabia vya kuwa na kiburi na ubinafsi pamoja na tamaa ya Madaraka ndiyo kansa yake ya kisiasa
Ninauhakika akiondoka CHADEMA atakuwa amekwisha kabisa kisiasa.

Mw. Nyerere aliwahi kusema ukimuona mtu anakiherehere na anatamaa sana ya kwenda ikulu .................!
 
Ingekuwa umaarufu wake unatokana na kupigiwa vuvuzela, lisipopigwa ningekubali umaarufu wake ungeshuka, lakini umaarufu wa ZZK unatokana na ability!. Aombe msamaha kwa kosa gani, ajutie jambo gani?.

Ingekuwa jf ni wapiga kura, basi saa hizi Chadema ingekuwa Ikulu!. JF ina wanachama laki moja plus!. Hawa ndio Watanzania wote?.
ZZK bado ni maarufu vile vile tena umaarufu unazidishwa na hii Zitophobia kila siku thread 10 -10 za ZZK!.
P.

Maneno mazito sana haya,tena wanachama wana id fake kibao
 
Ingekuwa umaarufu wake unatokana na kupigiwa vuvuzela, lisipopigwa ningekubali umaarufu wake ungeshuka, lakini umaarufu wa ZZK unatokana na ability!. Aombe msamaha kwa kosa gani, ajutie jambo gani?.

Ingekuwa jf ni wapiga kura, basi saa hizi Chadema ingekuwa Ikulu!. JF ina wanachama laki moja plus!. Hawa ndio Watanzania wote?.
ZZK bado ni maarufu vile vile tena umaarufu unazidishwa na hii Zitophobia kila siku thread 10 -10 za ZZK!.
P.

Humtakii mema wewe!
Ila tupo time will tale.
Uzuri wengine tupo toka Jambo sasa Jamii tunawaona tu wanaenda wanrudi, wanapanda na wanashuka, Tuombe mungu!
 
Mkuu kuna
mamilioni ambao sio member humu na wanamchukia zitto kichizi mfano
thread inaweza kuwa na member 20 lakini guest 1000 sasa huoni hiyo ni
Noma

una matatizo ya kufikiri nani kakuambia kila Guest is against Zito, fikra finyu kama hizi ndizo zinawafanya mfikiri mtapata 40% mwaka 2015
 
Nitafurahi sana Zitto akiacha siasa, simpendi kwakweli sababu ya matendo yake.they say it is hard to turn a bad girl into a good girl and once a good girl has gone bad, has gone bad for ever
 
Ingekuwa umaarufu wake unatokana na kupigiwa vuvuzela, lisipopigwa ningekubali umaarufu wake ungeshuka, lakini umaarufu wa ZZK unatokana na ability!. Aombe msamaha kwa kosa gani, ajutie jambo gani?.

Ingekuwa jf ni wapiga kura, basi saa hizi Chadema ingekuwa Ikulu!. JF ina wanachama laki moja plus!. Hawa ndio Watanzania wote?.
ZZK bado ni maarufu vile vile tena umaarufu unazidishwa na hii Zitophobia kila siku thread 10 -10 za ZZK!.
P.

Bro, Which ability unaongelea hapa. Zitto Kabwe umaarufu wake unatokana na acceptance ya jamii yote ikiwemo jamii forum. Umaarufu wake unatokana na kitendo chake cha awali kuonekana ni mtetezi na mpigania haki wa wanyonge. The course has changed now. Mimi niko Iringa, the story ni doubt kubwa walionayo/tulionayo watanzania kuhusi nia ya Zitto. Hitimisho linalofanywa na kila mwenye akili timamu kuhusu huyu kijana (ambaye anafikiri umaarufu wake unatokana na kujiona maarufu kwa sababu za yeye kama yeye kuwa maarufu bila kuona mchango wa watanzania walio wengi ambao kimsingi ndo walifanya awe maarufu) ni kwamba the guy ni mbinafsi, mnafiki, mwanga na aliye tayari kufanya chochote kibaya ili mradi apate sifa (e.g Masalia) na kufikia malengo yake haramu.

Note: Hakuna asiyeelewa sasa kwamba Zitto ni sumu kwa watanzania na Taifa hili. Personally kila group ninalokutana nalo when i have time ni kumjadili huyu kijana kwa mantiki kubwa sana, hatimaye wanaoshiriki mjadala wanapewa assignment to inform others kuhusu hichi K.I.R.U.S.I - Zitto a.k.a Sangoma.
 
Back
Top Bottom