Zitto adai ripoti ya TISS yaonyesha Rais Magufuli hawezi kushinda 2020

Nimekuuliza swali rahisi tu, nielezee hali ilivyokuwa kabla na baada ya Museveni na Kagame kuchukua nchi zao? Unashindwa kujibu. Sasa kati yangu mimi na wewe, nani mwerevu na nani "mjinga"?
Naomba niingilie kati kidogo. Je kwa kuitendea nchi mema katika uongozi wako (ambayo ndiyo uliombea kura). Je ni kigezo cha kunyamazisha watu wasihoji chochote juu ya utawala wako ??!!. Je hicho ni kigezo cha kuharibu katiba ili mtu atawale maisha yake yote ?!.

Umeomba kura ki democracy ili uongoze vema na ulete hayo maendeleo, si unyamazishe kila anayehoji utendaji wako ?!. Mfano wa Rwanda na Uganda ni mfano mbaya kwa Tz kuiiga .
 
Naomba niingilie kati kidogo. Je kwa kuitendea nchi mema katika uongozi wako (ambayo ndiyo uliombea kura). Je ni kigezo cha kunyamazisha watu wasihoji chochote juu ya utawala wako ??!!. Je hicho ni kigezo cha kuharibu katiba ili mtu atawale maisha yake yote ?!.

Umeomba kura ki democracy ili uongoze vema na ulete hayo maendeleo, si unyamazishe kila anayehoji utendaji wako ?!. Mfano wa Rwanda na Uganda ni mfano mbaya kwa Tz kuiiga .
Both Museveni and Kagame have been re-elected in free and fair elections by the majority of their people kwa kazi nzuri wanayofanya. Binafsi naamini kuwa Rwanda na Uganda zinawahitaji sana mabwana hawa kuongoza because they are beacons of unity and prosperity.Their retirement will result in disaster and probably another genocide.
 
Both Museveni and Kagame have been re-elected in free and fair elections by the majority of their people kwa kazi nzuri wanayofanya. Binafsi naamini kuwa Rwanda na Uganda zinawahitaji sana mabwana hawa kuongoza because they are beacons of unity and prosperity.Their retirement will result in disaster and probably another genocide.
Wataishi na kutawala mpaka lini mkuu ?! Ni vizuri nchi, ikiwa na utaratibu mzuri wa kurithishana madaraka, kutoka mtu moja hadi mwingine, na kutoka chama kimoja hadi kingine bila figisu wala hila. Haya yanawezekana tu viongozi wetu wakiacha ubinafsi, utemi, umwinyi na umangimeza na kutanguliza katiba nzuri ya wananchi.

Nakumbuka miezi michache kabla Obama hajaachia uongozi. Alipata fursa ya kuhutubia kikao cha AU Adissababa na kuwashauri viongozi wa Africa . Na aliwaambia Africa haihitaji viongozi wenye nguvu bali taasisi zenye nguvu.
 
Akisema serikali haina la kuonyesha kwa umma 2020.

Si kweli. Hata kama hatumpendi lakini si kwa design hii.
Ungetusaidia kutudokezea cha kuonyesha pamoja na kukiuka haki za binadamu na kutoheshimu bajeti iliyopitishwa. Pia uchumi kukua kwa kinyume na ulinzi wa kufa mtu kumlinda anayejijua hapendwi.
 
Akisema serikali haina la kuonyesha kwa umma 2020.

Si kweli. Hata kama hatumpendi lakini si kwa design hii.
Ungetusaidia kutudokezea cha jiwe kuonyesha pamoja na kukiuka haki za binadamu na kutoheshimu bajeti iliyopitishwa. Pia uchumi kukua kwa kinyume na ulinzi wa kufa mtu kumlinda anayejijua hapendwi.
 
Kwa uwezo nilio nao kwa sasa Zitto huwezi kuja na upuuzi huu ukanirubuni
Hahahahahahahaahaahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhaahahahahaha
Bro Kwahiyo nyuma kabla hukuwa na uwezo kama wa sasa ama??!!!!!!
Asee umenichekesha mpk nimeachia ushuzi bablai.
 
Ni kweli mimi sio kamanda hata wa sungu sungu wala siutaki na hata nikiwa nao siwezi kuongoza kwa kuishia kudukua simu zao. Uongozi ni mgumu hilo sina ubishi nalo lakini sio huu ugumu wa kila anayekukosoa uishie kuwatumia watu wasiojulikana. Na kama ni mgumu ni kipi kinafanya zitumike mbinu za kikatili na wizi wa kura wa kishenzi kuendelea kubaki madarakani? Toka nje ya box unageuzwa fala kwa kuaminishwa uongozi ni mgumu, lakini wanaosema hivyo wanapanga kukaa zaidi madarakani!
Ok , pole , jaribu kusoma historia za uongozi hasa wa kidunia ndio utaelewa japo kidogo utaacha kuloloma, soma hata vitabu vya dini , utaelewa kidogo , kudukua simu hakujaanza leo tokea simu zimevumbuliwa na udukuzi ndio ulipoanza , hivyo hakuna jipya chini ya jua, yote ni ubatili.
 
Akili za kuambiwa, changanya na zako. Anza kujiuliza Zitto anapata wapi taarifa ya nana hiyo toka TISS. Unadhani ripoti kama anayo angeacha kuirusha kwenye mitandao ili ajipatie umaarufu zaidi? Upuuzi mtupu.
 
Akili za kuambiwa, changanya na zako. Anza kujiuliza Zitto anapata wapi taarifa ya nana hiyo toka TISS. Unadhani ripoti kama anayo angeacha kuirusha kwenye mitandao ili ajipatie umaarufu zaidi? Upuuzi mtupu.
La
Ofcourse TISS kabla ya uchaguzi huwa wanafanya utafiti wao kujua nani anakubalika mbele ya wananchi.

Kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015, ilikuwa around 2013/2014 na kabla ya Lowasa kuhamia Chadema Ripoti ya "KITENGO" ilionyesha kuwa miongoni mwa possible candidates nchini, Magufuli anakubalika sana kwa wananchi

Sasa sishangai tena ripoti kama hiyo ya TISS kuonyesha kuwa hakubaliki, Huwa wanafanya utafiti kujua hali ya kinchi inakwendaje.

Kinachomkwamisha JPM ni Uchumi uchumi uchumi uchumi uchumi na Demokrasia na haki za binadamu
Maisha ya watu yako duni, biashara zinakufa, Kilimo ambacho kinagusa watu wengi hajakipa kipaumbele, Hali ya usalama wa raia (mambo ya utekaji) ni ya mashaka, uonevu kwa wapinzani, wananchi hawapendi mambo ya maguvumaguvu kwenye siasa, ajira kwa vijana ni ngumu, Maslahi ya wafanyakazi yamesahauliwa, Stahiki za wastaafu zinapigwa danadana etc

Amebaki kuonyesha SGR, Stieglers, Flyover, Uwanja wa Ndege Chato, Daraja la baharini la Salender etc

URAIS NI ZAIDI YA UJENZI
Labda kama tunaishi nchi mbili tofauti. Mi naishi kijijini kama mkulima wa kisasa. Napata feedback nzuri sana kwa wananchi. Zitto hapo kadanganya.
 
Wasiompenda Magufuri ni wakora,wapiga dili ambao mianya ya kupiga dili imezibwa ,mtu kama Zitto lazima alielie kwani bomba la pesa za bure limefungwa,yale mambo ya kuamuka asubuhi huna senti tano na kwenda Posta,bandarini jioni unarudi na milioni yamekwisha,hao ndio wanalilia.
 
Kumbe hizi figisu zilizoanza sasa hivi uchaguzi serikali za mitaa ni kwa kujihami baada ya ripoti ya TISS?
Lakini kulazimisha kura sio dawa Bali yeye sasa awaulize watumishi, wakulima, wafugaji, wanafunzi nk wanataka nini hasa? Aone kama watamuambia wanataka ndege basi anunue sana au kama hawataki wanataka vingine basi ndio afanye.
Aache kuwa MtuPori asiyesikia lolote la kuambiwa
 
Back
Top Bottom