mwamsaku
Member
- Oct 20, 2018
- 34
- 49
Kutomtaka wewe haiwafanyi wangine wasimkubali!HANA HOJA ATATAPATAPA SANA ..ZITTO HATUMTAKI
Kutomtaka wewe haiwafanyi wangine wasimkubali!HANA HOJA ATATAPATAPA SANA ..ZITTO HATUMTAKI
Huyu mtu hapendwi hata kwao .Kumbe hizi figisu zilizoanza sasa hivi uchaguzi serikali za mitaa ni kwa kujihami baada ya ripoti ya TISS?
Lakini kulazimisha kura sio dawa Bali yeye sasa awaulize watumishi, wakulima, wafugaji, wanafunzi nk wanataka nini hasa? Aone kama watamuambia wanataka ndege basi anunue sana au kama hawataki wanataka vingine basi ndio afanye.
Aache kuwa MtuPori asiyesikia lolote la kuambiwa
akajambe uko
TISS inaongozwa na watu kama wewe.Akili za kuambiwa, changanya na zako. Anza kujiuliza Zitto anapata wapi taarifa ya nana hiyo toka TISS. Unadhani ripoti kama anayo angeacha kuirusha kwenye mitandao ili ajipatie umaarufu zaidi? Upuuzi mtupu.
Anakuwa kama Morrison hvKuna wakati zitto anakua kama hayuko timamu, hata kwa kusoma mazngira tu kungemfanya mtu afikirie hata kitunga huu upuuzi
Mwambie Mshumbusi kuna mkorogo grade one unauzwa nimpe address.Hili Zitto aliingizwa famba. Hakuna namna JPM ashindwe na atashinda kwa kishindo ambacho ni cha kihistoria ...
Acheni ujinga. Kama TISS wametoa ripoti kwamba Magufuli hawezi kushinda, Sasa wamesema anashinda Nani? Au huo utafiti unahusu Magu bila kuwa na mshindani?
SGR ni mradi mmojawapo wa miradi ya East African Community ikiwa ni sehemu ya ile ya Mombasa-Nairobi-Kampala-Kigali-Bhjumbura-Juba. Miradi mingine ni pamoja na barabara za Arusha By-pass, Arusha - Voi, Kenya (jiwe la msingi limekwisha wekwa), barabara toka mpakani Tanga hadi Bagamoyo itaunganisha Dar na Mombasa iko kwenye ujenzi. Flyover na Salender Bridge ni miradi ya Kikwete ikiendelea kutekelezwa wakati wa Awamu ya Tano, vivyo hivyo miradi ya Magufuli isipokamilika wakati wa Awamu ya Tano itakamilishwa na Awamu ya Sita au Saba.Ofcourse TISS kabla ya uchaguzi huwa wanafanya utafiti wao kujua nani anakubalika mbele ya wananchi.
Kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015, ilikuwa around 2013/2014 na kabla ya Lowasa kuhamia Chadema Ripoti ya "KITENGO" ilionyesha kuwa miongoni mwa possible candidates nchini, Magufuli anakubalika sana kwa wananchi
Sasa sishangai tena ripoti kama hiyo ya TISS kuonyesha kuwa hakubaliki, Huwa wanafanya utafiti kujua hali ya kinchi inakwendaje.
Kinachomkwamisha JPM ni Uchumi uchumi uchumi uchumi uchumi na Demokrasia na haki za binadamu
Maisha ya watu yako duni, biashara zinakufa, Kilimo ambacho kinagusa watu wengi hajakipa kipaumbele, Hali ya usalama wa raia (mambo ya utekaji) ni ya mashaka, uonevu kwa wapinzani, wananchi hawapendi mambo ya maguvumaguvu kwenye siasa, ajira kwa vijana ni ngumu, Maslahi ya wafanyakazi yamesahauliwa, Stahiki za wastaafu zinapigwa danadana etc
Amebaki kuonyesha SGR, Stieglers, Flyover, Uwanja wa Ndege Chato, Daraja la baharini la Salender etc
URAIS NI ZAIDI YA UJENZI
KWANI ALIWAHI KUSHINDA KABLA YA 2020?
HUJAMSIKIA AKIDAI HANA HAKIKA KAMA ATAKAYEKUJA ATAENDELEZA ANAYOFANYA? Mfano nani mwenye akili zake aendeleze ujenzi wa uwanja wa ndege chato na hifadhi ya mafisi burigi?SGR ni mradi mmojawapo wa miradi ya East African Community ikiwa ni sehemu ya ile ya Mombasa-Nairobi-Kampala-Kigali-Bhjumbura-Juba. Miradi mingine ni pamoja na barabara za Arusha By-pass, Arusha - Voi, Kenya (jiwe la msingi limekwisha wekwa), barabara toka mpakani Tanga hadi Bagamoyo itaunganisha Dar na Mombasa iko kwenye ujenzi. Flyover na Salender Bridge ni miradi ya Kikwete ikiendelea kutekelezwa wakati wa Awamu ya Tano, vivyo hivyo miradi ya Magufuli isipokamilika wakati wa Awamu ya Tano itakamilishwa na Awamu ya Sita au Saba.
Uchaguzi gani ulishashindwa au kushinda kabla ya kura kupigwa. Zitto una matatizo siyo bure. Nilikuwaga nakuona wa maana enzi zile tunawaona kwenye ITV mligomaga ili muongezewe bumu some one Mkili akakamatwa. Nakumbuka niliona kwenye TV na Omary na mkaka mmoja mweusi anavaa miwani mnasema Mkili must be free na kweli alitoka celo. Sasa naona umegauka na kuwa vuvuzela tu.