Zitto: ACT tunadaiwa milioni 300

Zitto: ACT tunadaiwa milioni 300

kudaiwa ni sifa mojawapo ya mwanaume,zitto atayashinda haya na atasurvive kisiasa na kimaisha!
 
Unafahamu paka anachofanya anapojifungua watoto wake?hula mmoja kurudisha nguvu kisha wale wengine ndio huwatafutia chakula..kwenye ruzuku huwa kuna kujikopesha nguvu [emoji15] [emoji3]
Hii ni hatari kama chama kina mwaka mmoja lakini kinadaiwa m300? balaa
 
Hapo mimi sijaona tatizo kwani kuna chama gani kisichodaiwa hapa TANZANIA?
 
Usimkatishe tamaa Zitto, muache apambane ili kupanua demokrasia. Usilazimishe kila mtu akubaliane na kuiunga mkono chadema, nayo ina mapungufu yake.

Anayeihama chadema asiwe adui, bali awe kama chachu ya kuifanya chadema ijikosoe na kujirekebisha.
Akina:-
Mkumbo,
Juliana,
Shibuda,
Abwao,
Binti wa Mashishanga,
Kafulila,
Mwigamba,
Machally,
Mkosamali,
Ole Medeye,
e.t.c
wote hawa ni wajinga?

Wote wachumia tumbo na mwenyekiti wao ni kabwe.Alizoea vya kunyonga enzi ya JK.Sasa hv ni vya kuchinja tu.Na bado hajaisoma vizuri.
 
Back
Top Bottom