Zitto: ACT tunadaiwa milioni 300

Zitto: ACT tunadaiwa milioni 300

Kwani ACT nacho ni chama cha upinzani,maana upinzani unakipinga CCM lakini ACT inawapinga wapinzani asa CHADEMA
Ili chama kije kiipite chadema lazima kiipinge pia
Mbona CDM walikuwa wana iponda CUF laki now wameungana!!?
Kuungana ina wezekana na ni jambo la msingi
 
Dawa ya deni ni kulipa tu.haitoshi kutujuza labda kama hilo ni chapuo la kuomba michango kwa jamii.
 
Mfadhili namba moja alikuwa baba lizi na alipopeleka maombi kwa mtukufu kuwa hawa vijana act ni wenzetu hivyo awakumbuke mtukufufu akachomoa. Hapo ndipo mwazo wa zitto kuisoma namba
 
Chama kina miaka miwili tu tayari kinadaiwa milioni 300, hivi kama kingelikuwa na umri kama CHADEMA na vyama vingine kingelikuwa kinadaiwa shilingi ngapi? Pole sana Zitto kuanzisha chama sio tatizo ni kumentain.
# Usione aibu kutubu na kurudi ulikotoka tutakusamehe.
Mungu atasaidia atalipa
 
Madeni kawaida na huku act wanaweka wazi sio huko kwenu yte anayajua mbowe halafu anajilipa mwenyewe
Yaani hawa vijana wa CDM unafikiri wanajua lolote hivi kuna tatizo gani kudaiwa?Balance Sheet yake ikoje?Mali za Chama zikoje
 
Akifute chama kwa msajili aanzishe chama kingine, akifuta chama na deni linafutika

Hapo mimi sijaona tatizo kwani kuna chama gani kisichodaiwa hapa TANZANIA?

Kwani ACT nacho ni chama cha upinzani,maana upinzani unakipinga CCM lakini ACT inawapinga wapinzani asa CHADEMA

Zitto ataenda wapi?

dirisha la usajiri lipo wazi

team ACT wangemuuza zitto kwa team CCM ili kupata fedha za kulipa madeni....
 
dirisha la usajiri lipo wazi

team ACT wangemuuza zitto kwa team CCM ili kupata fedha za kulipa madeni....
Wewe chama chako ni kipi ambacho hakidaiwi? Maana kuna vyama tunavijua Mwenyekiti huwa ndio anakikopesha chama na anajilipa mwenyewe kupitia ruzuku
 
Chama kina miaka miwili tu tayari kinadaiwa milioni 300, hivi kama kingelikuwa na umri kama CHADEMA na vyama vingine kingelikuwa kinadaiwa shilingi ngapi? Pole sana Zitto kuanzisha chama sio tatizo ni kumentain.
# Usione aibu kutubu na kurudi ulikotoka tutakusamehe.
Ni kheri kudaiwa kuliko kununuliwa na lowasa au kufadhiliwa na ccm
 
Pole kaza puti kiongozi wangu Zitto yataisha usikate tamaa ulipofikia si haba tunategemea mazuri yajayo
 
Usimkatishe tamaa Zitto, muache apambane ili kupanua demokrasia. Usilazimishe kila mtu akubaliane na kuiunga mkono chadema, nayo ina mapungufu yake.

Anayeihama chadema asiwe adui, bali awe kama chachu ya kuifanya chadema ijikosoe na kujirekebisha.
Akina:-
Mkumbo,
Juliana,
Shibuda,
Abwao,
Binti wa Mashishanga,
Kafulila,
Mwigamba,
Machally,
Mkosamali,
Ole Medeye,
e.t.c
wote hawa ni wajinga?
Ndio!
 
Back
Top Bottom