Zitto achoka kuvumilia

Zitto achoka kuvumilia

hii ndio serikali ya mr dhaifu na policcm yake wanaendeleza ubabe as if wataishi milele
 
Kwani kila anayevaa nguo za polisi ni polisi? Mbona Zitto hapa unashindwa kutumia utashi na uchunguzi wako? Je mtoto huyo anaweza kumtambua ni polisi yupi alifanya hivyo?

Ifike wakati JF tujiulize maswali kabla hatujarukia hitimisho. Vurugu zinazo tokea nchini zinaratibiwa kwa lengo la kulidhalilisha jeshi la polis ili wananchi wakose imani nalo na hivyo kusababisha mapinduzi! Naamini waarifu wanatumia mavazi ya polisi katika kufanikisha adhima yao huku CCM na CDM wakiparuana kwa faida ya waarifu hao.

Very simple CDM na CCM hawana uzalendo hata kidogo. Kama kweli vyama hivi ni vyakizalendo vingeshirikiana kulinda amani badala ya kunyoosheana vidole. Ni ubabaishaji.

Pia kitendo cha kumwachia kwa dhamana mtu aliyeonekana akipanga mikakati ya kuvuruga amani ni kitendo cha ajabu, kusikitisha, na kuwatia moyo waarifu. Waarifu sasa wanajua hakuna serikali wala mkono wa sheria. Ungekuwapo, Murji, Lipumba, Lwakatare, Ponda, na aliyepiga bomu kanisani wangekuwa jela. Ni Tanzania tu utakuta kesi ya uuaji inaamuliwa kama kesi ya wizi wa toothpick!! Tumeharibikiwa kila sector!
 
Kumbe mkutanoni kulikuwa na watoto?????
Mengi tutayajua ila kwa ushauri tu labda ningekushashauri ZZK, Hizi siasa za chadema sio style yako. You are bigger than these cockroaches. Wakati wewe unaongea kwa uchungu juu ya vifo vya watu, wenzio wanashangilia kujipatia umaarufu kupitia mauti ya watanzania. Chunga kauli zako ZZK though i know you are smartness ukilinganisha na mburura waliokuzunguka. Wenzako wakiona damu za watu wanaona ikulu magogoni badala ya kuona kichefuchefu
 
Inaumiza sana. Ukisikia watu walioumia tukio la kinyama Arusha inaumiza. Mtoto anaona Mtu aliyevaa nguo za polisi anampiga Risasi, mtoto huyu daima atawaonaje polisi. Mpaka lini unyama huu utaendelea? Halafu watu wanafanya siasa. Raia wamekufa. Tuvumilie kweli?

View attachment 98229
ZITTO : facebook na twitter.

Umbeya wa fb uacheni hukohuko; nyie Chadema mahodari wa kuvalisha watu sare za polisi na jeshi sasa mnashangaa kitu gani? mambo myatengeneze wenyewe kulaumu mlaumu serikali! yeye Zitto anajuwa wazi Chadema hatakiwi kuna mambo mengi nyeti ya kidhalimu hashirikishwi ajiulize katibu hayupo yeye ndiye anayoikaimu nafasi hiyo kwa vitendo??
cc Mamndenyi; Ritz; Chilisosi
 
Last edited by a moderator:
attachment.php
 
Sijui niseme Chadema tumekua wapole sana au ni kwasababu tumekuwa watu wakutoa matamko kiasi kwamba imefika mahali Serekali ya CCM imeshatuzoea kwamba hatuna lolote zaidi ya kutoa matamko?

Hii imekua ni sawa na Panya kumzoea Paka, kiasi kwamba panya anaweza kumchezea paka kwa kila mchezo huku paka akiwa hachukui hatua yoyote ile zaidi ya kulia kwake.

Ifike mahali Chadema tuseme "enough is enough" haiwezekani kila siku tumekuwa watu wakuonewa kiasi hichi. Watu wanauliwa na wengine kujeruhiwa vibaya kila siku.


mimi nasubiri route tunaanzia wapi kwa akina nani na tunamalizia wapi, hakuna uvumilivu
 
Kwani kila anayevaa nguo za polisi ni polisi? Mbona Zitto hapa unashindwa kutumia utashi na uchunguzi wako? Je mtoto huyo anaweza kumtambua ni polisi yupi alifanya hivyo?

Ifike wakati JF tujiulize maswali kabla hatujarukia hitimisho. Vurugu zinazo tokea nchini zinaratibiwa kwa lengo la kulidhalilisha jeshi la polis ili wananchi wakose imani nalo na hivyo kusababisha mapinduzi! Naamini waarifu wanatumia mavazi ya polisi katika kufanikisha adhima yao huku CCM na CDM wakiparuana kwa faida ya waarifu hao.

Very simple CDM na CCM hawana uzalendo hata kidogo. Kama kweli vyama hivi ni vyakizalendo vingeshirikiana kulinda amani badala ya kunyoosheana vidole. Ni ubabaishaji.

Pia kitendo cha kumwachia kwa dhamana mtu aliyeonekana akipanga mikakati ya kuvuruga amani ni kitendo cha ajabu, kusikitisha, na kuwatia moyo waarifu. Waarifu sasa wanajua hakuna serikali wala mkono wa sheria. Ungekuwapo, Murji, Lipumba, Lwakatare, Ponda, na aliyepiga bomu kanisani wangekuwa jela. Ni Tanzania tu utakuta kesi ya uuaji inaamuliwa kama kesi ya wizi wa toothpick!! Tumeharibikiwa kila sector!

Huyo mtoto aliyemuona polisi akimpiga risasi inabidi alindwe kama mboni ya jicho, akina Mwigulu watammalizia.
 
Hivi ni kwanini hadi sasa waziri wa mambo ya ndani na Igp hawajajiuzulu?matukio yaliyotokea yanatosha kabisa kwa wao kuwajibika wala haiitaji kuambiwa.Kila kukicha ni matukio tuuu.
 
kwanini zitto anashindwa kusema ni polis? maneno yake ni tata....zitto ni kama laki........
 
Kwani kila anayevaa nguo za polisi ni polisi? Mbona Zitto hapa unashindwa kutumia utashi na uchunguzi wako? Je mtoto huyo anaweza kumtambua ni polisi yupi alifanya hivyo?

Ifike wakati JF tujiulize maswali kabla hatujarukia hitimisho. Vurugu zinazo tokea nchini zinaratibiwa kwa lengo la kulidhalilisha jeshi la polis ili wananchi wakose imani nalo na hivyo kusababisha mapinduzi! Naamini waarifu wanatumia mavazi ya polisi katika kufanikisha adhima yao huku CCM na CDM wakiparuana kwa faida ya waarifu hao.

Very simple CDM na CCM hawana uzalendo hata kidogo. Kama kweli vyama hivi ni vyakizalendo vingeshirikiana kulinda amani badala ya kunyoosheana vidole. Ni ubabaishaji.

Pia kitendo cha kumwachia kwa dhamana mtu aliyeonekana akipanga mikakati ya kuvuruga amani ni kitendo cha ajabu, kusikitisha, na kuwatia moyo waarifu. Waarifu sasa wanajua hakuna serikali wala mkono wa sheria. Ungekuwapo, Murji, Lipumba, Lwakatare, Ponda, na aliyepiga bomu kanisani wangekuwa jela. Ni Tanzania tu utakuta kesi ya uuaji inaamuliwa kama kesi ya wizi wa toothpick!! Tumeharibikiwa kila sector!

Mjinga kama mkojo wa panya jike wewe
 
Sijui niseme Chadema tumekua wapole sana au ni kwasababu tumekuwa watu wakutoa matamko kiasi kwamba imefika mahali Serekali ya CCM imeshatuzoea kwamba hatuna lolote zaidi ya kutoa matamko?

Hii imekua ni sawa na Panya kumzoea Paka, kiasi kwamba panya anaweza kumchezea paka kwa kila mchezo huku paka akiwa hachukui hatua yoyote ile zaidi ya kulia kwake.

Ifike mahali Chadema tuseme "enough is enough" haiwezekani kila siku tumekuwa watu wakuonewa kiasi hichi. Watu wanauliwa na wengine kujeruhiwa vibaya kila siku.

Chadema ni kama mbwa anayebweka nyuma ya Bosi wake. Vipi utakuwa kamanda kwa sare tuu????? Tuingie msituni au vipi washkaji??? Tuko tayari kuyaacha makasino yetu pale Shikilango????
 
Chadema ni kama mbwa anayebweka nyuma ya Bosi wake. Vipi utakuwa kamanda kwa sare tuu????? Tuingie msituni au vipi washkaji??? Tuko tayari kuyaacha makasino yetu pale Shikilango????

Kabisa, haiwezekani tuwe ni watu wakuonewa kila wakati bila hata sisi kutake reaction.

Ifike mahali na sisi tuwe na maamuzi magumu yatakayopelekea serekali kutusikiliza.
 
chama nimekuelewa sina ubishi kuwa Zitto ni familia ya mfalme.
lakini kwanini unataka kunigombanisha na mwana wa mfalme?
Umbeya wa fb uacheni hukohuko; nyie Chadema mahodari wa kuvalisha watu sare za polisi na jeshi sasa mnashangaa kitu gani? mambo myatengeneze wenyewe kulaumu mlaumu serikali! yeye Zitto anajuwa wazi Chadema hatakiwi kuna mambo mengi nyeti ya kidhalimu hashirikishwi ajiulize katibu hayupo yeye ndiye anayoikaimu nafasi hiyo kwa vitendo??
cc Mamndenyi; Ritz; Chilisosi
 
Last edited by a moderator:
chama nimekuelewa sina ubishi kuwa Zitto ni familia ya mfalme.
lakini kwanini unataka kunigombanisha na mwana wa mfalme?
Mamndenyi
Bado najiumiza kichwa hivi Tanzania kuna mfalme? mimi najua kuna nabii ila tu nakuhakikishia kama itatokea utagombana na huyo mwana wa mfalme au sultani nibeep tu nitaismamia hiyo kesi na nakuhahakishia kwa 150% utashinda na kila kitu kitakuwa shwari!
 
Last edited by a moderator:
Chadema ni kama mbwa anayebweka nyuma ya Bosi wake. Vipi utakuwa kamanda kwa sare tuu????? Tuingie msituni au vipi washkaji??? Tuko tayari kuyaacha makasino yetu pale Shikilango????

Ahaaa haa mkuu makamanda wenzako matibabu Ujerumani wewe tafuta wapi patakufaa kwa matibabu kama ni Ilala; Temeke; Mwananyamala au Muhimbili kabla hujaingia vitani!
 
Watanzania tusiishie tu kwenye maneno. Tufanye kwa matendo. Hawa kina nape, mwigulu, nchimbi, kikwete, mwema na wengine ni wa kushughulikia mchana kweupe. Wanatuuwa mchana tukiona kisha wanatuzunguka na mabomu ya machozi wakati tunahangaikia msiba. Hawa ni viongozi wa aina gani? Hata kama ni uroho wa madaraka hadi msibani? Kwani wao hawatakufa? Ni bora tuchukue hatua za kueleweka kabisa ijulikane moja. mashenzi kweli haya maviongozi uchara ya Tanzania na liccm lao.
 
Back
Top Bottom