Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 371
Wakuu,
me najiuliza sana kwanini JK anajipendekeza sana Ulaya na safari zake either anakimbia maovu na upuuzi wa viongozi wake au anajipendkeza huko Nje ili Human rights wasichafue Profile yake?
Maaana mpaka sasa huko ulaya G5 hawajamuuliza kwanini siku hizi nchi yake(yetu) inakumbwa na misuko suko sana?
me najiuliza sana kwanini JK anajipendekeza sana Ulaya na safari zake either anakimbia maovu na upuuzi wa viongozi wake au anajipendkeza huko Nje ili Human rights wasichafue Profile yake?
Maaana mpaka sasa huko ulaya G5 hawajamuuliza kwanini siku hizi nchi yake(yetu) inakumbwa na misuko suko sana?