Zitto achoka kuvumilia

Zitto achoka kuvumilia

Kwa kuwa Zito Zuberi Kabwe naye ni mwana ccm
acha aseme kwa kuwa ameyaona.
 
kwa vile maandamano yetu na vilio vyetu tunavifanyia kwenye mitandao ya twiter,facebbok na JF wao wanafanya LIVE kwenye tukio hadi hapo tutakapobadilika.period
 
Mwigilu damu hizi zimekukosea nini? yaani kuikomoa CDM unaamua kumwaga damu za watu wasio na hatia? tufike mahali tuogope Mungu!!! Roho ngumu namna hiyo kiasi sasa watu watakuogopa hata kusalimiana na wewe.
 
View attachment 98232

Sijui niseme Chadema tumekua wapole sana au ni kwasababu tumekuwa watu wakutoa matamko kiasi kwamba imefika mahali Serekali ya CCM imeshatuzoea kwamba hatuna lolote zaidi ya kutoa matamko?

Hii imekua ni sawa na Panya kumzoea Paka, kiasi kwamba panya anaweza kumchezea paka kwa kila mchezo huku paka akiwa hachukui hatua yoyote ile zaidi ya kulia kwake.

Ifike mahali Chadema tuseme "enough is enough" haiwezekani kila siku tumekuwa watu wakuonewa kiasi hichi. Watu wanauliwa na wengine kujeruhiwa vibaya kila siku.
Sasa zimekuwa ndizo sera za serikali ya ccm, kila mahali wanapozuiwa kupora wanawaua raia kwa kuwatumia wanajeshi na polisi. hayo ya Arusha na Mtwara yanatisha zaidi, njooni mutuone tunavyopigwa na kuuawa na hao wanajeshi JW na Polisi Hakika hatuna nchi nzuri tena
 
Kuua na kutesa ndizo sera mbadala ya serikali ya ccm, Mtwara nako vipigo kwa raia wema kutoka kwa jeshi la wananchi (JW) na Polisi vimeshamiri kila uchwao. kuna vifo na majeruhi wengi mno lakini vyombo vya habari vimekaa kimya. Heri yenu hata Arusha mambo yametangazwa
 
Tangu lini polisi akawa rafiki ya mtanzania,ukienda polisi wewe mdai ndiyo unatoa pesa ili mwizi akakamatwe.Hata kama ni ndugu yako polisi siii mtuuu
 
Tunahangaishwa na matokeo ya kukubali wenye akili ndogo wawe viongozi wetu,majanga ya kila namna yatatuandama Watu wasio na hoja wahalalisha kuaa madarakani kwa njia hizi-msikie ,nchemba,nchimbi,nape,igp,lukuvi nk Hawa na aina yao ndio mkosi na laana kwa nchi hii.Bado tutalia sana mpaka pale watakaposimamishwa kuwa walivyo na kufanya wanayofanya.
 
Nakumbuka jino kwa jino CHADEMA nao wakiitumia haponi gamba yoyote na mapolisi.
 
Hayo ndiyo mambo na vijimambo vya ccm, wameamua kutufanyia unyama watanzania wenzao, Arusha munayo bahati kuwa mambo yenu yanatangazwa, lakini Mtwara wanatuua kimya kimya kila siku tunapigwa na kuteswa na vyombo vya ulinzi na usalama eti kwa sababu ya kutetea haki ya gesi
 
daima ukweli utatuweka huru,

mapambano yanaendelea, hakuna kukata tamaa!
 
Kiukweli naendelea kuwalaumu ndugu zangu waliochagua kazi ya upolisi,mimi since mdogo
i hate u polisi.Why mnakubali kutumiwa kama pedi?!!!!!!!!!!!
 
Lkn mbona aashindwa kumshauri rafiki yake mr dhaifu au wale usalama wa taifa? Zitto naye yupo km bendera vile ni km anasubiri upepo tu.......
 
Nadhani kuna haja ya kuangalia mfumo wa teuzi ndani ya vyama vya siasa unasababisha kuleta viongozi wa kitaifa wabovu sana ambao kimsingi hawawezi kusimamia uongozi. Pawepo na mfumo utakaohakikisha vyama vyote vinakuja na wagombea ambao matured na wana sifa za kuwa viongozi wa kitaifa. Maana mfumo ulioko sasa wa vyama utakuja kutuletea viongozi mfano wa mwigulu au nape na hatimaye nchi kuzidi kuteketea "dissolved"
 
Mtatuliza boli wenyewe,lalamikeni mpaka hasira ziishe halafu mrudi makazini kujenga nchi.
 
attachment.php
 
Inaumiza sana.
Ukisikia watu walioumia tukio la kinyama Arusha inaumiza. Mtoto anaona
Mtu aliyevaa nguo za polisi anampiga Risasi, mtoto huyu daima
atawaonaje polisi. Mpaka lini unyama huu utaendelea? Halafu watu
wanafanya siasa. Raia wamekufa. Tuvumilie kweli?


View attachment 98229
ZITTO : facebook na twitter.

Zitto sikumwona pale Uwanjani sijui alikuwa wap kamanda.
 
acheni porojo hizo,mambo mfanye wenyewe halafu muanike mambo mazito mitandaoni. mtoto anajua wapi risasi?
Inaumiza sana.
Ukisikia watu walioumia tukio la kinyama Arusha inaumiza. Mtoto anaona
Mtu aliyevaa nguo za polisi anampiga Risasi, mtoto huyu daima
atawaonaje polisi. Mpaka lini unyama huu utaendelea? Halafu watu
wanafanya siasa. Raia wamekufa. Tuvumilie kweli?


View attachment 98229
ZITTO : facebook na twitter.
 
Baada tu ya kugundua wameshachafua jiji la Arusha amekimbilia Dodoma na kuongea upupuuu usiokua na kichwa wala miguu.Nchi ikiendelea kuongozwa na watu kama hawa ambao hawatu utu wala hisia na maumivu ya wengine Tanzania haitakaa iwe na utulivu tena. Inaumiza sana na watanzania wanaonyesha kuchoshwa na uonevu unaofanyika kila iitwayo leo
 
Back
Top Bottom