Kweli Maccm hamuwezi kuzibwa midomo. Mmeona nyota yenu imefifia mnaanza kuiwasha tena. Mnafikiri kuwa CDM tuna shida na mtu? Kwetu Chama kwanza mtu kesho.
ZZK hajanyimwa kuandika barua, aende hata TBCCM akapewe kipindi kule cha kujielezea, hatuna shida naye. Ajiunge upya hatuna shida naye, lakini, hapati ushirika tena humu. Hakuna kiongozi wa kubishana naye. Amemwona Shibuda? Nani anahangaika na ubunge wake? Tupa kuleeee.
ZZK is no longer an issue to us