Uchaguzi 2020 Zitto 2015 ulikataa UKAWA, why leo utake Coalition?

Benmpo

JF-Expert Member
Mar 23, 2015
450
424
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.

Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata

Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine

This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku

Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
 
Siasa ndivyo ilivyo, japo Zitto nae haaminiki kutokana na aliyowahi kuyafanya siku za nyuma, binafsi naamini hata kama patakuwa na coalition kati ya Chadema na ACT but mgombea Urais wa Tanzania Bara lazima awe mpinzani, alielelewa upinzani.
 
Siasa ndivyo ilivyo, japo Zitto nae haaminiki kutokana na aliyowahi kuyafanya siku za nyuma, binafsi naamini hata kama patakuwa na coalition kati ya Chadema na ACT but mgombea Urais wa Tanzania Bara lazima awe mpinzani, alielelewa upinzani.

ACT wanamtaka Membe jomba, na ndio maana Zitto anapigana kwa nguvu zote kuwa na coalition ili mgombea wao aungwe mkono na wengine.
 
This is Politics Buda, ni kama vile ambavyo CDM baada ya kuungwa mkono na vyama vingine na kupata kura nyingi na wabunge wa kutosha, Leo wanakula Ruzuku pekee yao.
Hivyo vyama wakati vinaingia makubaliano wa kuunda UKAWA na Chadema vilijiamini vinauwezo wa kushinda majimboni, hivyo kama wangeshinda nao wangekuwa na ruzuku zao, kuwalaumu Chadema kwa hili huwatendei haki.
 
Hivyo vyama wakati vinaingia makubaliano wa kuunda UKAWA na Chadema vilijiamini vinauwezo wa kushinda majimboni, hivyo kama wangeshinda nao wangekuwa na ruzuku zao, kuwalaumu Chadema kwa hili huwatendei haki.
Ni kweli, lakini Idadi ya Kura kilizopata chama kupitia Mgombea urais kwa kiasi kikubwa ndizo huamua kiasi Cha Ruzuku Buda. Kubalini this tym Zitto kawashika pabaya, Muungane aweke Mgombea Urais nyie muweke wabunge, ale Ruzuku nyie mbaki na Kambi rasmi ya upinzani au mkutane uwanjani yeye akiwa na Membe nyie mkiwa na Nyalandu, mengine yafahamike mbele kwa mbele!
 
Vipi kama amejifunza kutokana na hayo makosa aliyofanya wakati huo na hivyo kuhitaji hiyo coalition wakati huu?
 
CDM wana wagombea wao; kama Membe anataka aende CDM then wamfikirie...

Siioni mantiki ya CDM kuugana na mgombea urais wa ACT chama kilichokuwa ba mbunge mmoja bara...hilo litakuwa ni kosa kubwa la kiufundi.
 
Act ilikuwa changa ingeingia ukawa wasingeweza kupewa nafas hata 5 za kusimika wabunge achana na udiwani..ilikuwa lzm aijenge chama kila mkoa na jimbo na sasa act imepata kuonekana bila hivyo act ingekuwa kama chauma mpk now 2020 isingekuwa na impact yeyote..chama kimeundwa 2014 halafu 2015 ajiingize ukawa imezwe 2015 zittto alitaka exposure tu ya chama chake alikuwa anakijenga kwaajili ya 2015

Kuna watu siasa na hata logic ndogo ya siasa hamuijui ..kaazi kweri kweri aise tuna safari ndefu sana
 
ACT wanamtaka Membe jomba, na ndio maana Zitto anapigana kwa nguvu zote kuwa na coalition ili mgombea wao aungwe mkono na wengine.
Huu mchezo lazima Zitto aucheze kwa hekima, asikilize wenzake, akileta haraka zake, ataiharibu hii game hata kabla haijaanza.
 
Ni kweli, lakini Idadi ya Kura kilizopata chama kupitia Mgombea urais kwa kiasi kikubwa ndizo huamua kiasi Cha Ruzuku Buda. Kubalini this tym Zitto kawashika pabaya, Muungane aweke Mgombea Urais nyie muweke wabunge, ale Ruzuku nyie mbaki na Kambi rasmi ya upinzani au mkutane uwanjani yeye akiwa na Membe nyie mkiwa na Nyalandu, mengine yafahamike mbele kwa mbele!
Zitto hajawashika Chadema popote, Chadema wana watu wenye sifa kabisa za kugombea Urais, sifa zaidi ya Membe.

Mkianza kumvimbisha kichwa mapema ndio mtamuharibia mapema sana, tena mtamuharibia mpaka majimbo ya huko kusini ambayo ana ndoto za kuyapata, Chadema inawapiga mpaka huko kusini, ACT sina hakika mpaka leo kama wanao coz hawajawahi kuwa na mbunge huko.

Hapa mkileta habari zenu za kugawa kura CCM ashinde kirahisi, hayo mtakuwa mmetataka wenyewe kwa ujuaji wenu.
 
Shida ya CHADEMA ni kudhani wao tu ndio wanastahili kuliko wengine! Afadhali CCM mara 100 kuliko CHADEMA hii ya kibaguzi!
 
Labda ACT wataunda kambi ya kula wali maharage,lkn kambi rasmi ya upinzani hio ni dhahania tu.
ACT wanaweza kupata wabunge toka visiwani ambako ndiyo kuna mizizi ya chama. Na visiwani wananchi wanajua namna ya kudai haki zao kwa kupiga kura na kuzilinda. Pamoja na kwamba kuna Jecha no.2 lkn bado watapambana.

Chadema ngome yake kuu ni bara. Bara wananchi wapo doro. Ukichanganya na figisu zilizoandaliwa mambo yanakua mabya zaidi.
"Chadema hii ikipata wabunge 3 sijui" ----Ndugai.
 
Back
Top Bottom