Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hapo sawa, na vile kuwepo na kipengele kinasema kuwa uchaguzi ukiisha kila mtu awe kwake.Ni bora kutoungana kuliko kuungana unless lissu ndo agombee
Hapo sawa, na vile kuwepo na kipengele kinasema kuwa uchaguzi ukiisha kila mtu awe kwake.Ni bora kutoungana kuliko kuungana unless lissu ndo agombee
Salaam ameipataUlitaka wale na mamako
Hao ni watani zetu acha ageuze tu...hujamsikia Uhuru akitupiga dongo kuwa Kenya haiwezi kuficha visa vya korona sababu ni ya kidemokrasia na Ina Uhuru wa Vyombo vya habari.Sasa amerudia njiani wakati tayari kesha ingia tanzania, kanusa nini tena wakati tulisha fanya mpaka na tafrija ya kuiaga corona?![]()
Hao ni watani zetu acha ageuze tu...hujamsikia Uhuru akitupiga dongo kuwa Kenya haiwezi kuficha visa vya korona sababu ni ya kidemokrasia na Ina Uhuru wa Vyombo vya habari.
Duuu!Ulitaka wale na mamako