Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Vizuri...
kumbe na wewe ni mlokole! makubwa haya..
Vizuri...
Nilikuwa sijui kama ulekole ni dini!kumbe na wewe ni mlokole! makubwa haya..
Ati ? ngoma ya mkole? we bazaz can't cease to amaze me..lolNilikuwa sijui kama ulekole ni dini!
Ukweli ni kwamba kwa watz wengi dini lebo.kama vile wachina wanaeza kutengeza jeans ya quality ya chini kueka lebo ya Cavalli au Armani. Ukiweka au ukiondoa lebo it will still remain the same bogus product.
Hebu niambieni dini inawasaidia nini watu kama akina JK,Pinda, Lowasa et al? Hakuna !!
Same to huyo Zitto wenu.
Thinker,
Unayo copy ya kitabu cha mama Lowassa? Alichoelezea ziara yake kule Israel na kupita kwenye njia ya Bwana yesu? Vilevile kama unayo copy ya kitabu cha Makamba cha rushwa.
Thinker wa 'Mtoni',
Niwe mkwleli, bninafsi sijawahi kusikia Makamba kaandika kitabu chochote, wewe ndio wa kwanza kunambia.
Hicho cha Misz Lowassa nasikia it is more of a pamphlet na binafsi sijapata mshawasha wa kupoteza dakika 20 za maisha yangu kusoma what is likely to be utumbo.
Kama Zito kaingia Ukatoliki sababu ya mwanamke, basi hakuwa na dhamira ya kweli ya kumfuata Yesu.
Makamba alitunga kitabu na kutumia mifano ya Biblia na Koran kuonyesha kuwa rushwa ni mbaya. But it has been a while since its publication. As I recall, some people went farther to suggest that the literature should be used in school as a reference material.
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/9286-kitabu-cha-yussuf-makamba-kutumika-mashuleni.html
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hatimaye mbunge machachari wa kutoka Kigoma, muheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ameamua kubadilisha dini yake kutoka kwenye uislamu kuelekea kwenye ukatoliki. Vyanzo vya karibu na muheshimiwa Zitto vimeeleza kwamba, sababu ya bwana Zitto kubadilisha dini ni sababu binafsi na wala siyo za kichama kama inavyodhaniwa na wengi. Inasemekana ndugu Zitto ana uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kikatoliki ambaye ndiyo chanzo kikubwa cha muheshimiwa huyo kuachana na uislamu na kuwa miongoni mwa kondoo watakaookolewa na bwana yesu. Kama ambavyo bwana yesu alisema kwamba "mimi ndiyo njia ya kuelekea kwa baba", inasemekana kwamba muheshimiwa Zitto amekubaliana na mpenzi wake wamwabudu Mungu kwa kupitia njia hiyo. Ingawa kuna miongoni mwa wakereketwa wa chadema wamesikika wakinung'unika kwamba hii ni janja tuu ya bwana Zitto ili aweze kukwapua madaraka ya juu kabisa ya chamahicho. Chama hicho ambacho kina wafuasi lukuki katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kimekataa kukanusha au kuthibitisha habari hizi.
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hatimaye mbunge machachari wa kutoka Kigoma, muheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe ameamua kubadilisha dini yake kutoka kwenye uislamu kuelekea kwenye ukatoliki. Vyanzo vya karibu na muheshimiwa Zitto vimeeleza kwamba, sababu ya bwana Zitto kubadilisha dini ni sababu binafsi na wala siyo za kichama kama inavyodhaniwa na wengi. Inasemekana ndugu Zitto ana uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kikatoliki ambaye ndiyo chanzo kikubwa cha muheshimiwa huyo kuachana na uislamu na kuwa miongoni mwa kondoo watakaookolewa na bwana yesu. Kama ambavyo bwana yesu alisema kwamba "mimi ndiyo njia ya kuelekea kwa baba", inasemekana kwamba muheshimiwa Zitto amekubaliana na mpenzi wake wamwabudu Mungu kwa kupitia njia hiyo. Ingawa kuna miongoni mwa wakereketwa wa chadema wamesikika wakinung'unika kwamba hii ni janja tuu ya bwana Zitto ili aweze kukwapua madaraka ya juu kabisa ya chamahicho. Chama hicho ambacho kina wafuasi lukuki katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kimekataa kukanusha au kuthibitisha habari hizi.
Usanii mtupu. Dini yake nadhani haimruhusu kubadili dini.