Zitambue Sifa/Tabia Kuu 10 za Mwanaume Wa Kihaya hapa Tanzania

kwanza kabisa, hako kajengo umepost hapo,ni maranatha hospital ya mwanjelwa Mbeya, wala sio kahama. Kuna siku nilibishana na mhaya humuhumu sijui alikuwa ni wewe, anasema wanaume wa kihaya ni mahandsome....nilimwonea huruma sana kwasababu hajijui. ila kwa kukusaidia kuongeza tu, umesahau kuwa wanaume wa kihaya kwa asili yao, huwa hawatahiri magovi, labda wachache walioelimika kwa kuzaliwa mijini.

ungeongelea kwa wanawake, ningecomment kwasababu enzi zangu nilikuwa na wapenda sana. hadi leo ni marafiki zangu hata kama uzinzi nimeacha.

mzee usikaze fuvu, wakurya na watu wa mbeya ndo wanaongoza kwa magovi sana

wahaya hawana uchafu huo
Mbeya nakumbuka 2011, kulikuwa na kampen vua mkono wa sweta
 
Mbeya nakumbuka 2011, kulikuwa na kampen vua mkono wa sweta

Huwa tunachelewa kukata mkono wa sweta ili mboro ikue kwa usawa.

kama wakurya na wajita tu.

Angalia wanaume wa pwani na dar wana vibamia (siyo wote) ila njoo huku nyanda za juu.

Mimi binafsi nilichelewa kukata, na aliyenikata ni dokta wakike, SIKUFICHI ALINITAFUTA BAADA YA KUPONA. Na nilimnyandua pale Bugando
 
Jambo Jambo?

Huwa nashangaa watu wenye nia mbaya na Wahaya na kuwapukazia maneno ya hovyo hovyo.

Niko hapa kuelimisha umma wa watanzania namna mwanaume wa kihaya anavyotakiwa kuwa.


1. Mwanaume wa kihaya wote lazima awe na uwezo mkubwa wa akili yani intellectual na big IQ na utashi mkubwa wa ku “reason”.

2. Wanaume wa kihaya wote tuna uwezo wa kunyandua/kubandua kwa uwezo mkubwa na kumridhisha mwanamke yoyote, kutokana na asili yetu toka enzi za mababu

3. Wanaume wa kihaya hawana ulimbukeni wa kujazana kwenye magari/mabus kama wale wa kabila la “kupenda hela” kila ifikapo mwezi wa December. Na wahaya kwa uchache wao wanaoenda Kagera wengi wanachukua mwewe chapu kwa haraka.

(Disemba wenzetu wanaoenda kule “kwa wapenda hela” wanajaza mabusi ila sisi bookings za ndege kwenda Kagera ndo zinajaa)

4. Mwanaume wa kihaya anajali mke wake, Hata kama ana mchepuko hawez kamwe kumdharau mke wake wa ndoa. Siyo kama wale wa pwani.

5. Wanaume wa kihaya Wengi wetu tupo kwenye vitengo mbali mbali vizito. kuanzia Nyerer mpaka huyu mama wa sasa, kwenye list ya washauri wa raisi hakujawahi kukosa mhaya awamu zote.(Rejea jamaa yule mwenye ulemavu wa ikulu)

6. Mwanaume wa kihaya, Huwa haridhiki na mali kidgo kama wale wenye mji wa “Dar es salaam” kupata mali moja inatushawishi kufuata nyingine na kupambana zaidi ndo maana mpka sasa kwenye list ya watu wanaoishi vzr wahaya wapo baada ya waarabu.

7. Wanaume wa kihaya wengi ni waaminifu hata ukitaka kumlambisha asali lazima akatae kwasababu ana miiko na uweledi wa kazi.

8. Wahaya mbali na kujua kunyandua vizuri,pia mpaka sasa sijawahi kusikia malalamiko kutoka kwa dada zetu juu ya maumbile yao kuwa madogo au wanasema “Kibamia” kutoka kwa mwanaume wa kihaya. Hii ni asili yetu kutoka enzi na enzi.

9. Mpaka sasa sijawahi kusikia shoga aliyetoka kabila la wahaya, hiyo roho imeshindwa kupenya kwa wahaya na badala yake imetawala kwengine huko na hasahasa huko dar kwa wala chipsi.

10. Wanaume wa kihaya wanajua kushika dini sawasawa na siyo washirikina kama wale wa “Tabora” na mpka sasa sijawahi kusikia mchawi wa kihaya kakamatwa au katajwa na mtu kuwa kamroga.


View attachment 2613755


Nshomile
naripoti nkiwa
Kahama, Tanzania
11.Bila kusahau mna tabia ya kunyanduliwa pia.
 
Hawana sauti Kwa wake zao,ni wavivu,wanagongewa sana sitosahau mke wa ndugu yake wife alitoka huko kwao kuja kusaidia wakati flani wife ni mgonjwa akataka kunipa mbususu
 
Huko kwao mke kuchepuka SI dhambi sana ,halafu wanawake wao hawajui kujisitiri kabisa ,ukienda mkoa wao utashangaa Sana wamekaa kimitego mitego tuu
 
Nadhani ifikie wakati wakujadili mjitaje na makabila yenu iki tupate uzoefu nawapongeza Wahaya hawapendi kujificha sioni shida watu kutaja makabila yao.
 
Wahaya bado wana mambo ya kikoloni na ushamba mwingi ukienda huko vijijini kwao ndo utajua:-

1.ni mara chache sana ukakuta maji ya kutawaza katika vyoo vya wahaya,wenyewe ukienda kunya basi utabeba maji kidogo kwenye kigaloni kwaajili ya 'kutamba' tu.

2.haja ndogo hukojoa popote migombani.

3.Ni wakabila,hili lilinipa taabu sana wiki jana nilivyoenda huko UKWENI Kanyigo,mimi ni mswahili ila wao tukikaa wanachapa kihaya tu hata hawajali kama mimi mgeni tajisikiaje. Huu ujinga hauwezi kukuukuta kwa watu wa ukanda wa Bahari ya Hindi(Pwani).Wahaya ni wakabila mno nyambafu.


Kiufupi nisema tu shemeji zangu wahaya ni washamba.
 
Pia wahaya wanaamini sana katika shirikina ndio maana kule kijijini wao ni mwendo wa dawa za miti shamba tu.


Chakuchekesha zaidi sana;unaambiwa wahaya wana utaaalamu wa kuzui mvua hata wiki inaweza isinyeshe,kushuhudia hili nenda popote kwenye shughuli ya kijamii ya wahaya uone mvua inavyorogwa.
 
Wahaya bado wana mambo ya kikoloni na ushamba mwingi ukienda huko vijijini kwao ndo utajua:-

1.ni mara chache sana ukakuta maji ya kutawaza katika vyoo vya wahaya,wenyewe ukienda kunya basi utabeba maji kidogo kwenye kigaloni kwaajili ya 'kutamba' tu.

2.haja ndogo hukojoa popote migombani.

3.Ni wakabila,hili lilinipa taabu sana wiki jana nilivyoenda huko UKWENI Kanyigo,mimi ni mswahili ila wao tukikaa wanachapa kihaya tu hata hawajali kama mimi mgeni tajisikiaje. Huu ujinga hauwezi kukuukuta kwa watu wa ukanda wa Bahari ya Hindi(Pwani).Wahaya ni wakabila mno nyambafu.


Kiufupi nisema tu shemeji zangu wahaya ni washamba.

wewe kabila gani?
 
Point namba tatu ni sizitaki mbichi hizi
Ukweli ni kwamba bukoba/kagera ni mbali sio kwamba hawapendi kwao bali ni mbali
Tofauti na moshi/kilimanjaro ni karibu asubuhi mchana umeshafika
Kwani wakipanda Ndege wanalala njiani?
 
Back
Top Bottom