kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,280
- 4,579
Naamini siku ya jana iliisha vyema kwenu, lakini pia nawapa pole waliotumia mali na miili yao vibaya na sasa wanajuta baada ya akili kurudi.
Naomba niulize; zipi ni tamu na chungu za kuoa/kuolewa ili nijue nakabiliana vipi na ndugu na jamaa wanaotaka nioe.
Karibuni
Naomba niulize; zipi ni tamu na chungu za kuoa/kuolewa ili nijue nakabiliana vipi na ndugu na jamaa wanaotaka nioe.
Karibuni