Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Samahani wasomaji wa JF, jana kipindi hakikuruka hewani kwa sababu ya kupisha mkutano wa Jangwani.
Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy, ambaye kwa kweli amenipa ushirikiano wa hali ya juu. Yeye hakujivuta vuta saana kukubali mwaliko wangu kama Mzee wa Mapouzi Bishanga. Mahojiano yangu na Aunt Lizzy yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.
Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Aunt Lizzy swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.
Kwa kuanza ninayo maswali kumi ambayo ningependa kumuuliza Aunt Lizzy:
1. Je umezaliwa msimu gani?
2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na kupika pika utotoni?
3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata wa kuchombeza?
4. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
5. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
6. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
7. Je unapenda chakula cha aina gani?
8. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mheshimiwa Godbless Lema aliyekuwa Mbunge wa Chadema jimbo la Arusha, utamshauri nini?
9. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
10. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….
Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Aunt Lizzy atakuja kuyajibu maswali yenu.
Karibuni sana
Leo mjengoni nipo na Aunt Lizzy, ambaye kwa kweli amenipa ushirikiano wa hali ya juu. Yeye hakujivuta vuta saana kukubali mwaliko wangu kama Mzee wa Mapouzi Bishanga. Mahojiano yangu na Aunt Lizzy yatasawiri zaidi kwenye maisha yake binafsi na kazi zake za mapema.
Line za ku-post Comments ziko wazi, Mwana JF yeyote anaweza kutumia fursa hii kumuuliza Aunt Lizzy swali lolote na yeye bila shaka atayajibu maswali yenu kwa kadiri atakavyopata muda.
Kwa kuanza ninayo maswali kumi ambayo ningependa kumuuliza Aunt Lizzy:
1. Je umezaliwa msimu gani?
2. Je Ulishawahi kucheza mchezo wa baba na mama na kupika pika utotoni?
3. Je umeolewa? Kama umeolewa, Je una watoto wangapi, na kama hujaolewa, ina maana huna hata wa kuchombeza?
4. Je ni tukio gani liliwahi kukuhuzunisha sana?
5. Je ni tukio gani liliwahi kukufurahisha sana
6. Je unapenda kuvaa nguo za aina gani?
7. Je unapenda chakula cha aina gani?
8. Ukipata fursa ya kupata staftahi na mheshimiwa Godbless Lema aliyekuwa Mbunge wa Chadema jimbo la Arusha, utamshauri nini?
9. Je ni jambo gani umewahi kulifanya kwa faida ya nchi yako na ambalo hata ukifa litabaki kama kumbukumbu kwa vizazi vijavyo?
10. Una ushauri gani kuhusu hiki kipindi cha Zinduna Talk Show…….
Haya nakaribisha maswali yenu wadau na hivi punde Aunt Lizzy atakuja kuyajibu maswali yenu.
Karibuni sana