Zinaa katika uislamu....

Zinaa katika uislamu....

Maneno yako yaliyo ndani ya Mabano
yananipa shaka sana katika kukujibu ww

unaposema
Ukiwa na nia ya kuuvunja Mkataba baada ya kupata nguvu

Una maanisha nn?!

Sent using Jamii Forums mobile app

Nitakujibu kwa mfano halisi. Mohammed alipokimbilia
Maneno yako yaliyo ndani ya Mabano
yananipa shaka sana katika kukujibu ww

unaposema
Ukiwa na nia ya kuuvunja Mkataba baada ya kupata nguvu

Una maanisha nn?!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni hivi; Mohammed alipohamia Madina toka Mecca hakuwa na nguvu za kijeshi na ndipo alipoingia mkataba "amani" i.e. Hudaybiyyah na hakuwahi kuwashambulia watu wa Medina hadi hapo nguvu zake kijeshi zilipoimarika. Alipopata tu nguvu akawafyekelea mbali wale wale alioingia nao mkataba.
Umeelewa sasa?
 
Kwa tafsiri hiyo, vijana ambao hawapo kwenye ndoa wakifanya ngono(wakijamiiana) hiyo mnaitaje?? Sio zinaa?

Kiufupi, zinaa ni kitendo cha kujamiiana bila kuwa kwenye ndoa, tendo la kujamiiana ni halali kwa watu waliofunga ndoa tu, ambao hawajafunga ndoa wakijamiiana hiyo ni zinaa ambayo ni dhambi kubwa mno!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Umesoma maelezo ya neno uasherati kabla ya kuandika ulichokiandika?
 
Ndio maana nilikuambia unaongea jambo usilokuwa na ELIMU nalo

Kwanza kabisa
TAQIYYAH,haitafsiriwi kwa mfano wako huo

Hili naomba uzingatie

Pili
Historia uliokuja nayo,si sahihi kabisa
Mtume wetu hakuvunja Mkataba,Bali Wao ndio waliovunja Mkataba

Soma vzr Brooooo

Kisha

Naona unaruka ruka katika mada tofauti

Naomba utulie na Mada moja ww na wenzako
kisha njooni kwa Hoja na Busara
Nitakujibu kwa mfano halisi. Mohammed alipokimbilia


Ni hivi; Mohammed alipohamia Madina toka Mecca hakuwa na nguvu za kijeshi na ndipo alipoingia mkataba "amani" i.e. Hudaybiyyah na hakuwahi kuwashambulia watu wa Medina hadi hapo nguvu zake kijeshi zilipoimarika. Alipopata tu nguvu akawafyekelea mbali wale wale alioingia nao mkataba.
Umeelewa sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiamua kuwa mwizi haitakuwa na maana na wewe iwe halali kwako kuwa mwizi. Kigezo kiwe kwenye chanzo (Biblia au Quran kulingana na imani ya mtu kwenye kitabu husika). Kwangu mimi ni lazima mtu uwe na justification ya kuamini unachokiamini kwa kuwa kitabu unachokiamini kuwa ni muongozo wako ni lazima kiwe na maelezo yasiyopingana. Sherehe na mapokeo hayawezi kuwa msingi wa kuthibitisha au kukanusha ukweli wa nguzo za imani yako.
Ndio hicho ninachokwambia sasa , ata mjinga analeta ushahidi wa kuunga unga ili mradi atetee ujinga wake , hivyo unapoambiwa jambo angalia ushahidi wenye mashiko na wenye kujieleza na kujibu maswali , ukiamua kuwa mwizi itabaki ni uamuzi wako lakini dalili zimeletwa na kufafanuliwa mbele yako
 
Mimi Naangalia UJUMBE KAMA BIBLIA TAKATIFU ILIVYO AGIZA NILIO UPATA HAPO TOKA MAANDIKO ULIYO WEKA NI USHAHIDI WA KWELI ZATU ALIKUWA NA WATOTO WENGI TU!View attachment 1010116

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajibu usiloulizwa lazima tujue uongo ni upi na ukweli ni upi , biblia Ingesema ZATU alikua na WATOTO wengi wala tusingeuliza NAMBA, lakini inapojifutua na kuandika namba zenye mashaka ili kesho tusije danganya watu kwa vinywa vyetu, aya tuambie watoto wa ZATU ni 945 au 845 au Wengi( kwa mujibu wa andiko lako) ?
 
Unajibu usiloulizwa lazima tujue uongo ni upi na ukweli ni upi , biblia Ingesema ZATU alikua na WATOTO wengi wala tusingeuliza NAMBA, lakini inapojifutua na kuandika namba zenye mashaka ili kesho tusije danganya watu kwa vinywa vyetu, aya tuambie watoto wa ZATU ni 945 au 845 au Wengi( kwa mujibu wa andiko lako) ?
Sikiza WASOMI wanacho kufundisha kwamba Zatu alikuwa na watoto wengi waukaye!; kama una Shaka na hayo rejea koloani maadam unayo! Usije utajilipua bure kwa ujinga wa kunielewa...
IMG_20190126_203015_735.jpeg
IMG_20190126_202904_062.jpeg
IMG_20190126_202803_595.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu. Invisible huu uzi mbona umeachwa na maudhui yake yanakejeli upande fulani tena kwa kutaja jina kabisa?

Wengine tunatoa nyuzi hazimtaji mtu mnafuta kwa nini?

Huu uzi mbona upo hapa mpaka sasa?
 
Mkuu. Invisible huu uzi mbona umeachwa na maudhui yake yanakejeli upande fulani tena kwa kutaja jina kabisa?

Wengine tunatoa nyuzi hazimtaji mtu mnafuta kwa nini?

Huu uzi mbona upo hapa mpaka sasa?

Mkuu Safuha, ni dhahiri kabisa kuna ubaguzi humu ya kidini. Uzi wako wa mwisho, ule Sehemu Ya Pili wa Dini Halisi ilikuwa haijataja dini na ilikuwa haina maudhui ya aina yoyote! Nashanga waliifuta! Halafu wanapoifuta uzi, unaambiwa sababu ya uzi kufutwa au wanaifyeka tu??? Pole sana ndugu yangu, na ninakushauri wapotezee tu hawa jamaa wa double-standards!
 
Sikiza WASOMI wanacho kufundisha kwamba Zatu alikuwa na watoto wengi waukaye!; kama una Shaka na hayo rejea koloani maadam unayo! Usije utajilipua bure kwa ujinga wa kunielewa...View attachment 1011221View attachment 1011222View attachment 1011224

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahaaaahahhahhaaha mimi sijakuuliza kuamini , mimi nimekuuliza idadi ya watoto wa ZATU , ukisoma Kwa Ezra na nehemia kila mtu anasema lake huyu 945 na huyu 845 Kati ya hawa mmoja ni muongo ukishanithibishia nani mkweli ndio ntaamini , tumefundisha kutoamini Uongo hahaha ahahahhha ahaahhhhhahaha
 
Mungu atake kuvuliwa nguo na kubakishwa na kachupi !!!ili iweje Mungu sio dhariri hivyo acha kufuru zako Ahahahhahahahaahjhhahaja
Umeona kuvuliwa nguo ndio issue ya kuogopa!; kuliko kushahadia KWAMBA ATAKALO MUNGU HAWEZI NA ANAE MSHAURI WA KUMFAHAMISHA HAPA NOMA NA HAPA GADO!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahaaaahahhahhaaha mimi sijakuuliza kuamini , mimi nimekuuliza idadi ya watoto wa ZATU , ukisoma Kwa Ezra na nehemia kila mtu anasema lake huyu 945 na huyu 845 Kati ya hawa mmoja ni muongo ukishanithibishia nani mkweli ndio ntaamini , tumefundisha kutoamini Uongo hahaha ahahahhha ahaahhhhhahaha
Ukijua idadi ili ufuzu? Unachekesha wa home!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom